Hali ya maisha ya Mtanzania ni ngumu sana. Rais asipochukua hatua sasa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi

Kosa walilofanya walitangaza mapema kiwango cha mishahara mipya mwaka jana,so wafanyabiashara wakawahi pandisha bei kabla,walipokuja kuongeza wakaongeza mshahara mbuzi.
Bora wasingetangaza
Nani kakwambia? Hii ni dhana ya kishamba
 
Haviwezi patikana Kwa kulalamika,ingieni shambani
 
Sio kazi ya Rais kupambana Kwa level ya individual ndio maana ukieikia fursa changamkia kulalamika hakiwezi kubadili Hali ya mambo
 
Mapori still yapo mengi tza hatuna tatizo la overpopulation,watu waendelee kuzaa tu.ukitoka tu kibaha kilometer 3 nje ni mapori tupu.
Tuache kukaa mijini,fursa zipo maporini huko
Kama unajua mapori yapo na utaendelea kuzaa usilalamikie serikali shika jembe kalimie chakula Cha Watoto wako
 
Maisha yakiwa magumu sana acha kununua vifurushi vya internet nunua chakula na kama unacho watumie Hela Ndugu zako wanunue chakula
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] Wameegesha matako mjini eti wanataka mkulima akamulike Kwa jasho na shuruba then waje kuiambia serikali ilazimishe bei za mazao ya walioumua wanavyotaka wewe.

Kwa hili Huwa naunga mkono serikali mia mia na nilichukua sana sana Serikali ilipopunguza tozo kisa tuu wanaoguswa ni watu wa Mjini wakati walijua kwamba tozo ni Kwa Ajili kuwapa nafuu ya Huduma za jamii watu wa Vijijini,ila yenyewe yanataka tupangia bei za mazao yetu, pumbavu sana.
 
Wewe umeona anajengea wapi Hilo daraja kubwa? Rais anaweka Nguvu kwenye Huduma za jamii na Leo Yuko live anazindua mradi wa kupeleka umeme kwenye shule zote za Vijijini,Vituo vya Huduma za Afya na maeneo ya migodi Ili ku boost uzalishaji huko Vijijini.

Endeleeni kuzunguka mjini,jitu linaropoka kama taahira ,lile limtu lenu miaka 7 halijaajiri.Unaposema Ajira hazitolewi unamaanisha nini? Hadi Sasa chini ya miaka 2 Rais kaajiri watu zaidi ya 55,000 na kama unabisha ingia sekretarieti ya Ajira saizi..

Endeleeni kuabudu yule marehemu wenu na Bado mtaisoma namba maana mamiradi ya marehemu ukiacha kuwa expensive ni tembo mweupe na yataendelea kutumia Kodi za umma kuyaendesha badala yangeleta Tija.
 
Ambae hakuokotwa majalalani aliwatoa nyie Umma kwenye umaskini ni nani? Nitajie nifunge account jf
 
By the way watu wengi wanaishi Vijijini nyie wababgaizaji wa mjini msiotaka kazi ngumu endeleeni kulalamika..

Pili mfumuko wa bei haushushwi Kwa amri Bali unashushwa Kwa kuongeza production na kupunguza gharama za uzalishaji Sasa mambo hayo mawili sio ya overnight it takes time na itategemeana na prevailing conditions maana mambo mengine ni beyond controllable ya Nchi.
 
Kama serikali haichukui hatua chukua wewe, pia tafuta pesa nyingi ili uache malalamiko na kulialia
 
Kwa hiyo unataka watu tulime halafu tuzuiwe kwa kuuza mazao yetu kama zamani? Ukitaka njoo mikoani na wewe ulime
 
Hivi tunavyoongea maandamano yameanza kiripotiwa mataifa mbalimbali,

Endeleeni kupuuza sauti za Raia, itawatokea puani,

Mnapandisha Bei ya mbolea, na mbolea wanauziwa madalali Si wakulima halafu mnawambia wakalime,

Wakivuna mazao mnawalangua Kwa Bei chini na mnaweka Kwa maghala na kuuza nje ya nchi,

Hii ni 2023, mtatoka mapangoni mlikojificha. Hali inayoendelea haitapita hivi hivi,

HUKUMU juu ya viongozi waovu imeamriwa.

Tusubiri.
 
tatizo mnakimbilia kukaa mjini wakati hamna kipato
 
Ni ngumu na mbaya sana kupita kiasi kisichovumilika tena
 
Ukiwa chawa halafu kichwani mweupe ni mzigo....
 
Watzn sio wajinga wa kuandamana kisa njaa zako, yaani mm niandamane kisa njaa zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…