Hali ya mjini hapa Dar es Salaam ni tofauti na nilivyofikiria

Bado sijakupata
 
stage nyingine umeshaipanga kuwa utafanya bizness gan ya kukufanya uvimbe zaidi au utafukiria baada ya kupata basic needs?
Mda huu napambana kupata basic need..
Kuna permanent work ambayo nafukilia baada ya kupata hizi basic need
 
 
Hongera Mkuu 🙏

Vijana wengi wanafeli kwenye uaminifu, na kwakukosa kwao uaminifu imepelekea washindwe kuaminika Kila mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…