Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
- Thread starter
-
- #401
Na kama wakifanikisha bhas kwa mbinde laleq 😂😂😂Mkuu minnakaza usinichukukie poa.
Hao watakaotaka jicho la tatu waanze kuniua kwanza la si hivyo...
Takufa mikono ikiwa imeng'ang'ania suluali yangu ya jinsi kmmke
Hamna kufanikiwa kaka an nyoka alambi unga Do or Die....Na kama wakifanikisha bhas kwa mbinde laleq 😂😂😂
Bado sijakupataUnajua issue inayotukost cc wa , tz africa ni kwamba kila mtu anataka kuwa mchuuzi na si ______, mwishoe nini kinaenda kutokea?
Na wengi hawajui hii kitu na kama wanajua basi hawajua zaidi ni kipi bidhaa gan za _____. WALIOFANIKIWA KUFANYA HAYO NDIO MABILIONEA ALL OVER THE WORLD.
Natafuta pesa ya kupata basic needslabda niku challenge, unataka kuwa maisha ya kufika level gan? uwe na pesa kiasi gan ?, unatafuta hela ya kula pekeake au kuna zaid?
Mda huu napambana kupata basic need..stage nyingine umeshaipanga kuwa utafanya bizness gan ya kukufanya uvimbe zaidi au utafukiria baada ya kupata basic needs?
Nyie waweka movie nnsgonga sana wanafunziMkuu nilichogundua hawa wanwake sijui wana nguvu za namna gani..
Hapa naweza kukubaliana na wewe kuwa nitakua nakaza ila cha ajabu akifika tuu na kuanza kucheka aisee mi tayari nashindwa kabisa kukaza sasa sijui nifanyaje mkuu wangu
Mimi siwezi mkuu ni kijana wa kufata miiko ya DR HAYA LAND ....Nyie waweka movie nnsgonga sana wanafunzi
Habari wana JF
Nauza vifaaa vya kufanyia biashara ya chips pamoja na locationya kufanyia kazi kama ifuatavyo.
1. Kabati la aluminium ngazi 3
2. Jiko la gesi
3. Kalai
4. Jiko la kuchomea mishikaki
5. Jiko la kuweka malanda
6. Viti vya plastick
7. Mtungi una gesi kidogo yakuanzia
Vifaaa vingine ntampatia kama ofaa baada ya kufikia muafaka vifaa ivo kuna vyombo, mabeseni, sahani, flampen, mabeseni madogo, chujio ya mafuta, taaa kubwa, jalo kubwa, mfagio,ndoo ziko 5 , vifaaa viko kinondoni Manyanya.
Kwa maelezo nicheki PM.(0620297013)
Hongera Mkuu 🙏Amin mkuu nipo pamoja na wewe bega kwa bega .kwa sisi vijana wapambanaji tubapopata fursa lengo letu kubwa linakua ni kufanya kitu ili kilete matokeo mazuri.
Ili katika project zijazo tupate shavu zaidi
Unapoona mtu mpigaji jua kuna mawili 1. Elimu chache
2. Malezi
Anatumika kuwatoa kwenye reli mbugira wa kibongo.Yule ni nani mkuu mbona unataka maisha yaonekane magumu
mlee kwa njia ya mtandao, a.k.a Online😭😭Lishangazi mimi nimehamia Dodoma, nawalea vijana wa bodaboda
Dah fakeni nimecheka Hadi nimesaha kujaza gari langu mafuta.Inategemeana na Bahati ya mtu, mfano mimi nilianzisha biashara ya kuuza madafu, baada ya mwezi nikapata tenda ya kuuza madafu ikulu. Ikulu dafu moja wananunua laki 3 .
Kwa mshahara wa 260,000 utafanya kazi?Mkuu mkuu napambana sana...
Kufika huko hapana kwa kweli bora waniue kwanza ndo wafanikishe hilo jambo
😂Sasa hapo tafuta demu kausha damu hapo mtaani kwako awe anakupa stress za vizinga ili akili ichangamke zaidi
Ni mimi mkuuNini wewe
Mac Ali
Unachanganya mambo binafsi na biashara? UtaumiaMkuu hapa mtaani watoto wapo kama wote ila sasa naona kama taweka rehani biashara yangu.
Maana jana tu nimechekea mdada kasepa na flash 32GB kwa 5k mpya.
Nikabaki nacheka tuu
Hahaha unarusha singeli kwenye memory na flashKweli mkuu wala sio uwongo....
Sema mi nipo sehemu hapa nemetega ki library ili nipate chochote kitu ila sasa naona kama wananchi wa hapa wanafanya life iwe ngumu sasa aahahah