ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwani hitaji la Wananchi ni Sgr? Uko sawa kichwani? Mbadala wa ccm ni chama gani sasaBado kuna wajinga wanakwambia nchi hii haina mbadala wa CCM.
Huyu kujenga tu barabara makabe kwenda msakuzi mpaka sahvi anakaribia miaka 2Kwa hela gani alizokuwanazo
Like seriously!! Why !? Yani mantiki ya kulianzisha hili li mradi ilikuwa ni nini!??Hauna maana ungeachwa tuu,kwanza ki Sgr kimerudisha sana nyuma Nchi hii.
Tangu lini CCM ikaanzisha mradi na kuukamilisha kikamilifu? Hawa majitu ni ovyo kabisa. Panaya wakubwa!Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!...
Mlisema Magufuli amejenga Barabara Dar yote,huko makabe alikuwa hakufahamu au? 😂😂😂Huyu kujenga tu barabara makabe kwenda msakuzi mpaka sahvi anakaribia miaka 2
Sahvi uwizi tu kwenye miradi
Ova
View attachment 2784815
Nchi ya kipumbavu kuwahi kutokea katika dunia hii. Sijawahi kuona nchi ya kiquma kama hii tangu nizaliwe.Huyu kujenga tu barabara makabe kwenda msakuzi mpaka sahvi anakaribia miaka 2
Sahvi uwizi tu kwenye miradi
Ova
View attachment 2784815
Pita tandale,sinza nk uoneMlisema Magufuli amejenga Barabara Dar yote,huko makabe alikuwa hakufahamu au? 😂😂😂
Harafu usiwe unaropoka hiyo Barabara inajengwa Kwa awamu na si vinginevyo.
Tunajenga Barabara za maana kwanza achana na hivyo vichochoro
View: https://www.instagram.com/reel/Cydo08JNWJM/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Sahv kwenye miradi watu wanapiga tu..hakuna wanachokifanyaNchi ya kipumbavu kuwahi kutokea katika dunia hii. Sijawahi kuona nchi ya kiquma kama hii tangu nizaliwe.
Kwanza unatakiwa ujue kwamba DMDP 1 sio ya Mwendazake,Saizi Kuna DMDP II na Blonde la Msimbazi vinaenda kuwa game changer Kwa Dar bila kusahau BRTPita tandale,sinza nk uone
Nyie sahv kufagia tu barabara mtihani...
Ova
Pita tandale,sinza nk uone
Nyie sahv kufagia tu barabara mtihani...
Ova
Wewe umeshapiga kiasia gani Hadi Sasa maana mdomo Kila mtu anao 🤣🤣Sahv kwenye miradi watu wanapiga tu..hakuna wanachokifanya
Ova
Hili povu vipi bwashee 🤪🤪🤪🤪🤪Nchi ya kipumbavu kuwahi kutokea katika dunia hii. Sijawahi kuona nchi ya kiquma kama hii tangu nizaliwe.
BRT stands, mmesha-compromise standards set ili mhondomole minoti, kaanzie Mbagala kule, kwanini haijazindulia ile mpaka leo?Hata usipokamilika sawa tuu maana hauna faida yeyote.
Mwisho Kigogo anaongea ujinga kutaka kumtetea mkandarasi wa mchongo aliyefilisika.
Unaandika ujinga kama sio takataka.Mahitaji ya Nchi hii sio Sgr ni Barabara.BRT stands, mmesha-compromise standards set ili mhondomole minoti, kaanzie Mbagala kule, kwanini haijazindulia ile mpaka leo?
Superdoll anafyatua trailers kwa kasi ya MWANGA, mabasi yanaingizwa kwa vurugu, mara BM, mara Abood, mara Ester...pale Riverside na huku Loyola sec, malori ya mizigo kama msafara wa siafu
Kila mwizi anaendesha gari siku hizi, hamna hamna, 47m ilihali mshahara wake haufiki 18m kwa mwaka!
Unataka SGR ikamilike ili iwe NINI labda?
Kabisa mkuu, tungekuwa na umoja kama nchi bila shaka huu upumbavu unaoendelea tungekuwa tumechukua hatua kali sana dhidi ya genge dogo la wahuni ila kwa nature yetu na hali halisi ilivyo kwakweli inakatisha tamaa sana."NANI YUKO NYUMA YA KUFA KWA MRADI WA SGR".
Ni swali zuri sana mkuu 'peno hasegawa'.
Hili swali, kidogo lingefanana na lile ambalo sote tungejiuliza "Ni Nani Alitaka Kuuua Mradi wa Bwawa la Umeme, la Mwalimu Nyerere." Huku ikaonekana watakuwa wamejifunua kiasi kikubwa mno, hadi nyeti zao kuwa nje nje; wakaona siyo neno, wakaachia kwa shingo upande.
Kwa hiyo, ukitaka kupata jibu la maswali yote mawili, sidhani kuwa itakuwa vigumu kwako kupata jibu.
Serikali ya Samia inaendeshwa na genge linalozoa kila kitu. Genge hili halina simile na chochote, na wala halina aibu kufanya chochote linapodhamiria kukifanya.
Mfano mzuri ni wa DP World na IGA yake. Mtu mwenye uadilifu hata kidogo, hawezi kamwe kushiriki katika mpango wa aina ile.
Kwa hiyo hapa kwa SGR, tutalia sana endapo serikali ya huyu mama itaendelea kuwepo madarakani. Huo mradi itakuwa ni aibu kubwa sana kwa taifa letu.
Nikisoma yaliyo andikwa ndani ya mada hii sioni lolote la tofauti na yale mengine yooote tunayolia nayo kila siku chini ya hawa watu; lakini nimevutiwa sana na hilo swali, na nadhani ingekuwa na faida zaidi kujaribu kujibu hilo swali kwa usahihi zaidi, kuliko machozi yote haya uliyomwaga hapa.
Kupayuka bila kuwataka ni fitina na uzushi wa kipuuziWatu wakiwajibishwa na kufilisiwa mali zao kila kitu kitakuwa bayana...wala sio kuogopana ni kawaida ya maccm kuiba na kupenda 10%ndio kunatufikisha hapa tulipo . Kwanza tujiulize mchina amefikia %ngapi na ubora wake wa Kazi upoje??
Mbona mnajizungisha bila kumtaja aliyehujumuBashungwa ni Kafara la Mzanzibari. Mradi ulishahujumiwa.
Mnatumia makalio kufikiri.75% ya mzigo unaenda Sadc ,hiyo 25% ndio inagawanyika kuanzia Uganda,Rwanda,Burundi,Malawi Sasa hao mafisadi wanawezaje kuhangaika na kusiko na mzigo waache kuhangaika na njia ya Tunduma?Mafisadi papa yanamiliki malori. Kamwe hayawezi kuruhusu SGR ikwmilike halafu biashara yao ya malori ife. Never and never ever.
Hamasi hata hapa Tanzania wapo, wao hawarushi mabomu ili kuua watu, bali wanaua kwa kula rushwa na kukwa.misha miradi kama SGR.
Kwa hiyo baada ya kuwafahamu ikakusaidia kuongeza kipato au?Watu kama wewe nawafahamu vizuri sana, wapo wengi tu huku mtaani, majina yao marefu pia....lucas..........
POLE SANA MKUU
Mradi utakamilika ila hauna haraka, deadline yake ni 2030.Tangu lini CCM ikaanzisha mradi na kuukamilisha kikamilifu? Hawa majitu ni ovyo kabisa. Panaya wakubwa!