Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Kwa hela gani alizokuwanazo
Huyu kujenga tu barabara makabe kwenda msakuzi mpaka sahvi anakaribia miaka 2
Sahvi uwizi tu kwenye miradi

Ova
20231011_175439.jpg
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!...
Tangu lini CCM ikaanzisha mradi na kuukamilisha kikamilifu? Hawa majitu ni ovyo kabisa. Panaya wakubwa!
 
CCM si ndio walikuwa wanajisifia kwenye vipeperushi ma matangazo kuwa serikali ya "mwafulani" imeleta sijui esijiara...
 
Nchi ya kipumbavu kuwahi kutokea katika dunia hii. Sijawahi kuona nchi ya kiquma kama hii tangu nizaliwe.
Sahv kwenye miradi watu wanapiga tu..hakuna wanachokifanya

Ova
 
Hata usipokamilika sawa tuu maana hauna faida yeyote.

Mwisho Kigogo anaongea ujinga kutaka kumtetea mkandarasi wa mchongo aliyefilisika.
BRT stands, mmesha-compromise standards set ili mhondomole minoti, kaanzie Mbagala kule, kwanini haijazindulia ile mpaka leo?

Superdoll anafyatua trailers kwa kasi ya MWANGA, mabasi yanaingizwa kwa vurugu, mara BM, mara Abood, mara Ester...pale Riverside na huku Loyola sec, malori ya mizigo kama msafara wa siafu

Kila mwizi anaendesha gari siku hizi, hamna hamna, 47m ilihali mshahara wake haufiki 18m kwa mwaka!

Unataka SGR ikamilike ili iwe NINI labda?
 
BRT stands, mmesha-compromise standards set ili mhondomole minoti, kaanzie Mbagala kule, kwanini haijazindulia ile mpaka leo?

Superdoll anafyatua trailers kwa kasi ya MWANGA, mabasi yanaingizwa kwa vurugu, mara BM, mara Abood, mara Ester...pale Riverside na huku Loyola sec, malori ya mizigo kama msafara wa siafu

Kila mwizi anaendesha gari siku hizi, hamna hamna, 47m ilihali mshahara wake haufiki 18m kwa mwaka!

Unataka SGR ikamilike ili iwe NINI labda?
Unaandika ujinga kama sio takataka.Mahitaji ya Nchi hii sio Sgr ni Barabara.

Kwani Sgr inajengwa kuua sekta binafsi?

Wenzako wanakamatia fursa wewe unaleta majungu,hakuna mtumishi anategemea salary Bali mikopo na fursa zinazoleta pesa.

Mwisho kabisa mama alipandisha salary,madaraja,alifuta wizi wa Bodi ya Mikopo ,alipandisha posho na amerudisha seminars nk vyote hivyo vimeongeza pesa Kwa mtumishi na on top of that utitiri wa miradi umetupa fursa za kupata pesa zaidi.

Wilaya yangu Bajeti ilikuwa 1b na Sasa ni 4b wewe Kwa Yako unadhani utaongeza Bajeti ya kaiz bila Bajeti ya usimamizi? Samia ni namba nyingine
Screenshot_20231008-072421.jpg
 
"NANI YUKO NYUMA YA KUFA KWA MRADI WA SGR".

Ni swali zuri sana mkuu 'peno hasegawa'.

Hili swali, kidogo lingefanana na lile ambalo sote tungejiuliza "Ni Nani Alitaka Kuuua Mradi wa Bwawa la Umeme, la Mwalimu Nyerere." Huku ikaonekana watakuwa wamejifunua kiasi kikubwa mno, hadi nyeti zao kuwa nje nje; wakaona siyo neno, wakaachia kwa shingo upande.

Kwa hiyo, ukitaka kupata jibu la maswali yote mawili, sidhani kuwa itakuwa vigumu kwako kupata jibu.

Serikali ya Samia inaendeshwa na genge linalozoa kila kitu. Genge hili halina simile na chochote, na wala halina aibu kufanya chochote linapodhamiria kukifanya.
Mfano mzuri ni wa DP World na IGA yake. Mtu mwenye uadilifu hata kidogo, hawezi kamwe kushiriki katika mpango wa aina ile.

Kwa hiyo hapa kwa SGR, tutalia sana endapo serikali ya huyu mama itaendelea kuwepo madarakani. Huo mradi itakuwa ni aibu kubwa sana kwa taifa letu.

Nikisoma yaliyo andikwa ndani ya mada hii sioni lolote la tofauti na yale mengine yooote tunayolia nayo kila siku chini ya hawa watu; lakini nimevutiwa sana na hilo swali, na nadhani ingekuwa na faida zaidi kujaribu kujibu hilo swali kwa usahihi zaidi, kuliko machozi yote haya uliyomwaga hapa.
Kabisa mkuu, tungekuwa na umoja kama nchi bila shaka huu upumbavu unaoendelea tungekuwa tumechukua hatua kali sana dhidi ya genge dogo la wahuni ila kwa nature yetu na hali halisi ilivyo kwakweli inakatisha tamaa sana.
 
Watu wakiwajibishwa na kufilisiwa mali zao kila kitu kitakuwa bayana...wala sio kuogopana ni kawaida ya maccm kuiba na kupenda 10%ndio kunatufikisha hapa tulipo . Kwanza tujiulize mchina amefikia %ngapi na ubora wake wa Kazi upoje??
Kupayuka bila kuwataka ni fitina na uzushi wa kipuuzi
 
Mafisadi papa yanamiliki malori. Kamwe hayawezi kuruhusu SGR ikwmilike halafu biashara yao ya malori ife. Never and never ever.

Hamasi hata hapa Tanzania wapo, wao hawarushi mabomu ili kuua watu, bali wanaua kwa kula rushwa na kukwa.misha miradi kama SGR.
Mnatumia makalio kufikiri.75% ya mzigo unaenda Sadc ,hiyo 25% ndio inagawanyika kuanzia Uganda,Rwanda,Burundi,Malawi Sasa hao mafisadi wanawezaje kuhangaika na kusiko na mzigo waache kuhangaika na njia ya Tunduma?

Kuweni na akili,ndio maana mlidanganywa na Mwendazake kwamba alijenga Bandari ya Kasanga na Barabara Malori yataacha kwenda Tunduma 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tangu lini CCM ikaanzisha mradi na kuukamilisha kikamilifu? Hawa majitu ni ovyo kabisa. Panaya wakubwa!
Mradi utakamilika ila hauna haraka, deadline yake ni 2030.

Mwisho Sgr sio kipaombele na baada ya kukamilika mjiandae maumivu maana huu ni mradi tembo mweupe
 
Back
Top Bottom