Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Kama imeshindwa kukamilika au ajulikani lini itakamalilika watuondelee huo uzio wa fence uliozuia watu wa pande mbili kuonana maana wamegawa mji pande mbili bila sababu yeyeto ya kujali pande mbili za reli Pana muingiliano wa asili hata kama ya reli
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
Great thinkers wa siku hizi ni shida kabisa. Wenzako wakiwa na tuhuma kama hizi huwa wanafunguka na ushahidi. Sasa wewe mwanzo mwisho unalalama na umbea na hisia zako za ki UFIPA. Hao Yapi Markezi waliposema Hawana fedha walieleza pia fedha hizo zilikuwa? Kwanini mada yako isingekuwa ni kuiomba tu ofisi ya CAG kufanya uchunguzi na sio kuja na conclusion kwamba fedha zimeibiwa bila ya kuwa na ushahidi. Bure kabisa
 
Great thinkers wa siku hizi ni shida kabisa. Wenzako wakiwa na tuhuma kama hizi huwa wanafunguka na ushahidi. Sasa wewe mwanzo mwisho unalalama na umbea na hisia zako za ki UFIPA. Hao Yapi Markezi waliposema Hawana fedha walieleza pia fedha hizo zilikuwa? Kwanini mada yako isingekuwa ni kuiomba tu ofisi ya CAG kufanya uchunguzi na sio kuja na conclusion kwamba fedha zimeibiwa bila ya kuwa na ushahidi. Bure kabisa
Magufuli alikuwa na zaidi ya milion 30, wafuasi wanao muamini kwa ufuatiliaji na usimamizi.

Je wanavyoona vitu vya ajabu vikifanyika mionyoni mwao wanawaza nini?

Kuna mgawanyiko mkubwa ambao nchi ikifika 2030 ikiwa mikononi mwa yule bibi , bongo itakuwa nchi ya kwanza africa kwa umaskini.

SGR hadi leo haijaanza hata kutoka Dar kwenda Morogoro?
Its shame!!
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
Sio mkandarasi hana fedha bali serikali haina fedha!
 
Kampuni ya Yapi Markezi haina uwezo tena wa kifedha kuendeleza huu mradi na ni wazi kuna mambo yanafichwafichwa sana juu ya nini chanzo na nani yuko nyuma ya hili jambo baya kabisa kuwahi kutokea. Yaani hela za mradi zimeibwa halafu tunakwenda kukopa nyingine kufidia zilizoibwa!.

Mradi huu una mikopo lukuki na yote tulitangaziwa hapa na tunajua fedha zote za kukamilisha mradi huu zilipatikana zote na ili kuweka angalizo kwa watanzania tunawakumbusha kuwa huu ni mkopo na watakaolipa ni watanzania hawa masikini.

Leo mradi umesimama na mkandarasi kaweka wazi kuwa hana fedha!. tunachukulia jambo hili kiwepesi sana na kama ni jambo dogo na hakuna shida yoyote lakini leo nataka niseme kuna WIZI MKUBWA sana umefanyika kwenye huu mradi mpaka mkandarasi kakosa fedha kuendelea na mradi na kazi imesimama. Hii ni kashfa kubwa sana na hatuwezi kukaa kimya hata iweje.

Vyanzo vyetu vinasema MAJIZI hayo yakichukua hela yao "in advance" mara tu mkataba uliposainiwa na ndiyo maana Yapi Markezi wamefika mahali hela waliyotoa rushwa kwa lazima imeleta nakisi kwenye utekelezaji.

Hatuwezi kulitazama hili kirahisi tu na kuona ni jambo la kawaida na sasa tunatafuta nkopo mwingine kama nchi ili kumalizia mradi! Swali ni kuwa nani kaina fedha za mwanzo? Nani yuko nyuma ya hii michezo kiasi kwamba anaogopwa kutajwa na kushughulikiwa mpaka nchi inaingia kwenye mchakato wa kutafuta mkopo mwingine kumalizia mradi? Huyu MWIZI special hivi ni nani mpaka anapewa ulinzi wa hivi?

CAG hivi upo kweli? Yaani huu mradi kinachojufanya usiukague ni kitu gani? Bunge hivi mpo kabisa yaani na haya yanatokea mnaona sawa tu? Mnashindwa nini kutoa azimio la kumtaka CAG akague na kuweka wazi shida iko wapi?

Sisi tunajua nani yuko nyuma ya hasara hii kubwa kwa hili taifa na tunajua nguvu inatumika kumficha na kumlinda lakini watanzania hawa pamoja na ujinga wao na ulofa wao hawapaswi kupitishwa kwenye njia hii na kama vyombo husika hasa wewe CAG hamtachunguza hili basi tutawasaidia ifikapo 1 January 2024 siku ya mkesha wa mwaka mpya! (Siku hii utakuwa ni ukurasa mpya unafunguliwa)

Haiwezekani kuwatia watanzania kwenye shida ya deni jingine kubwa hivi huku tunamjua mtu aliye katikati ya haya madili na tunaogopa kumsema!. Watanzania siyo malofa na wajinga kiasi hicho hata kama wanakaa kimya.

Hatuwezi kukaa wa watu kama Kadogosa pale TRL badala ya kufanya kazi wao wako hapo kwa ajili ya kusaidia watu kuiba fedha za watanzania na wanaogopa kuwasema kwa kuwa wanataka kulinda nafasi zao na vyeo vyao na wengine wameahidiwa ubunge kama Kadogosa. Nyie kama mnawaogopa ni vizuri lakini sisi Kigogo Media hatujawahi kumuogopa mtu na hili linajulikana na tutasema waziwazi ili kila mtu ashinde mechi zake.

Watanzania kuna wizi na kashfa ya kutisha kwenye mradi wa SGR na chanzo cha Yapi Markezi kukwama kuendelea na kazi ni mabilioni ya fedha yamekwapuliwa na wakubwa wakati wa kuwapa tenda sasa hawana hela tena.
Si kweli kuwa mradi wa SGR una hali mbaya kihivyo.

Labda unapitia changamoto za kawaida za miradi mikubwa.

Miradi mikubwa dunia nzima huwa na changamoto zake, zingine ni kubwakubwa , haimaanishi kuwa changamoto hizo hazwezi kutatuliwa kwa namna moja nyingine.


Changamoto ambayo miradi mingi mikubwa ya Tanzania tutegemee kukukmbana nazo ni ucheleweshaji usioepukika kiwepesi kwa mfumo wetu wa Design Procurement and Build.

Mfumo huo inabidi tuwe na watu efficient sana wa kusimamia makandarasi katika hatua zote. Ikumbukwe kuwa malipo kwenye utaratibu huu huwa yanafanyika kwa kwanza makadirio halafu kwa au purchased na halafu as built.

Kuna uangalifu na umakini mkubwa sana hapo unatakiwa uwepo. Maana kipande kwanza mkandarasi na washauri wanalipwa kwaa makadirio, halafu kuna malipo ya vilivyonunuliwa, mara zote gharama huwa juu kuliko makadirio, na pakishajengwa, napo kuna malip ya as built.

Matokeo yake makadirio yanakuwa ya juu sana, ndiyi kwa mara ya kwanza Tanzania tunasikia kuna mabaki ya pesa nyingi za miradi. Nalo pia tatizo. Zikipunguwa tatizo na zikizidi Tatizo.
 
Si kweli kuwa mradi wa SGR una hali mbaya kihivyo.

Labda unapitia changamoto za kawaida za miradi mikubwa.

Miradi mikubwa dunia nzima huwa na changamoto zake, zingine ni kubwakubwa , haimaanishi kuwa changamoto hizo hazwezi kutatuliwa kwa namna moja nyingine.


Changamoto ambayo miradi mingi mikubwa ya Tanzania tutegemee kukukmbana nazo ni ucheleweshaji usioepukika kiwepesi kwa mfumo wetu wa Design Procurement and Build.

Mfumo huo inabidi tuwe na watu efficient sana wa kusimamia makandarasi katika hatua zote. Ikumbukwe kuwa malipo kwenye utaratibu huu huwa yanafanyika kwa kwanza makadirio halafu kwa au purchased na halafu as built.

Kuna uangalifu na umakini mkubwa sana hapo unatakiwa uwepo. Maana kipande kwanza mkandarasi na washauri wanalipwa kwaa makadirio, halafu kuna malipo ya vilivyonunuliwa, mara zote gharama huwa juu kuliko makadirio, na pakishajengwa, napo kuna malip ya as built.

Matokeo yake makadirio yanakuwa ya juu sana, ndiyi kwa mara ya kwanza Tanzania tunasikia kuna mabaki ya pesa nyingi za miradi. Nalo pia tatizo. Zikipunguwa tatizo na zikizidi Tatizo.
Wewe na unaowatetea wote wapuuzi
 
Mafisadi papa yanamiliki malori. Kamwe hayawezi kuruhusu SGR ikwmilike halafu biashara yao ya malori ife. Never and never ever.

Hamasi hata hapa Tanzania wapo, wao hawarushi mabomu ili kuua watu, bali wanaua kwa kula rushwa na kukwa.misha miradi kama SGR.
Wewe umemaliza kila kitu
 
This is unaccepatable huu mradi haiwezekan ukaachwa ukafa itakuwa loss kubwa ya takriban trillion 23+ sisi kama taifa hatuiwez hii hasara na fedhea
Utawafanya nini wamejiwekea kinga wasishitakiwe kwa maamuzi ya hovyo?
 
Ninachojua kwasasa watu wanajenga majumba ya gharama kwa kasi sana. Mtu m'moja ana site 6 maeneo tofauti ya mikoa tofauti na zote zipo active watu wapo kazini wanajenga.

Magari ya bei namba E yamejaa barabarani, bei tunazungumzia Milioni 45+ na kuendelea hazijulikani zimenunuliwa kwa Cash au mkopo. Mfano ni zile Land cruiser 300 series mpya, saa hii zimeanza kujaa barabarani tena kwa wingi sana.

Kwa kifupi watu wanajeuri ya pesa. Na ndicho hiki kitu mlichukia magufuri mkasema ana roho mbaya kwa kuzuia watu wachache wasijineemeshe kimaisha.

So wacha tutafune hela za miradi hadi ziishe.
Tutamwambia Mungu amfukuze huyu maza lezafea kazi na atuletee mtu mwingine atakayesimama na WA Tanzania lakini asituue ila awe anafunga MAJIZI YOTE YA SERIKALINI!
 
Hata usipokamilika sawa tuu maana hauna faida yeyote.

Mwisho Kigogo anaongea ujinga kutaka kumtetea mkandarasi wa mchongo aliyefilisika.
Tuanzie hapo. Kama Yapi Markezi ni Mkandarasi wa mchongo, Kwanini alipewa kazi ilhali hana uwezo? Vigezo gani vilitumika mpaka akawashinda wengine wote?
 
Tuanzie hapo. Kama Yapi Markezi ni Mkandarasi wa mchongo, Kwanini alipewa kazi ilhali hana uwezo? Vigezo gani vilitumika mpaka akawashinda wengine wote?
Waulize waliomleta,unamuuliza nani? Kwani humjui Rais wenu wa Wanyonge na wapambe wake?
 
Walikuwa na uharaka gani kuweka fence kutenganisha mji pande mbili kuzuia watu pande mbili kuwasiliana angali wakijua bado ukamilikaji. Fence ilitakiwa iwe ni ishu ya mwisho kabisa na Sio hii ya kuzuia shughuli za kiuchumi
 
Walikuwa na uharaka gani kuweka fence kutenganisha mji pande mbili kuzuia watu pande mbili kuwasiliana angali wakijua bado ukamilikaji.
Fence ilitakiwa iwe ni ishu ya mwisho kabisa na Sio hii ya kuzuia shughuli za kiuchumi
Tumia vivuko rasmi hamkawii.kuanza.kunya hovyo maana Wabongo sio watu
 
Potelea mbali, niliulaani huu mradi, kile kikampuni cha wachaga kilicho chini ya yepi kilimdhulumu mtoto wangu.

😎😎 Na bado mtafilisika na hayo mamikopo intawagharimu 😎😎
Pamoja na kwamba sipendi huu mradi Kwa sababu ni burden kubwa Kwa Nchi na umesababisha kuchelewa sana Kwa maendelea ya sekta zingine but kazi inaendelea Wala hakuna kilichosimama japo Baadhi ya section kama hiyo ya Makutopora-Tabora inasua sua

View: https://youtu.be/zSauMyOI2eU?si=Nv33Urv32MnmP3Uu
 
Wameimba ngonjera ya kuanza kwa safari za Dar-Moro na yenyewe imebuma, haiwezekani nchi kuingia kwenye hasara ya matrillioni na watu wakaachwa wakikenua meno tu.​
 
Back
Top Bottom