Hali ya SGR ni mbaya na mradi haujulikani utakamilika lini

Kwanza nani alianzisha tabia ya kutukana watangulizi zaidi ya Mwendazake? Na yeye lazima apewe vidonge vyake , yatamfikia huko huko kaburini ila hawezi kutamka kujitetea.

Mwisho solution imeshawekwa hakuna kilichosima ila ukilaumu utaambiwa yaani ujenge msingi hovyo uje kulaumu anaeweka Kuta?

Africa hakuna ambae anaondoka kwenye serikali Kwa hiari kwanza Ukiharibu kufanya hivyo bila hiari ya Rais Unaweza potea.
 
Nikiendelea kujibizana na wewe nitaonekana kuwa chizi kama ulivyo wewe.
Huna lolote la maana unaloongeza katika mabandiko chungu nzima unazojaza humu.

Mfano mzuri kabisa ni haya uliyoweka hapa. Mtu mwenye akili timamu kamwe hawezi kuwa na fikra za kichizi kama hizi unazozionyesha wewe.
Na yote haya ya kujitoa akili, ni kwa sababu tu ya makombo unayotupiwa hapo chini kama mbwa koko?
Hopeles Kabisa.
 
Utaninibu Kwa lipi wakati wewe ni mweupe na akili za Uchumi huna? Si utaishia kujifariji Kwa kutukana hovyo tuu
 

Ukishaona wizara kapelekwa mbarawa jua kinachoendelea ni upigaji. Jamaa nasikia ni mtaalam sana eneo hilo
 
Utaninibu Kwa lipi wakati wewe ni mweupe na akili za Uchumi huna? Si utaishia kujifariji Kwa kutukana hovyo tuu
Hivi na wewe unajitangaza kuwa ni msomi, halafu eti "mchumi"? Ndiyo maana nchi inazama kwa kutegemea watu wa aina yako. Hapo ulipo unajaza takataka humu ili uonekane na upewe uteuzi na hao hao wenye ma-PhD ya kuhongwa.
 
Hivi na wewe unajitangaza kuwa ni msomi, halafu eti "mchumi"? Ndiyo maana nchi inazama kwa kutegemea watu wa aina yako. Hapo ulipo unajaza takataka humu ili uonekane na upewe uteuzi na hao hao wenye ma-PhD ya kuhongwa.
Wewe huna akili usinichoshe,kama huna guts za Uchumi tafuta ma layman wenzio mkadanganyane.

Wewe Kwa akili Yako mbovu Sgr itakusaidia nini ikiwa Kenya waliojenga Sgr kwenye eneo lenye uchumi mkubwa Bado wanakula hasara? Ndio Ije iwe huko Kanda ya maskini Mwanza, Kigoma na Burundi?
 
Mwendazake pamoja na ukichaa wake, alikuwa na uthubutu. Kama asingekuwa yeye hata hizi alama zilizopo sasa zisingekuwepo.
Kitu pekee anachojua huyo mama yako ni kunadi tu mali za waTanzania. Kama ulivyo wewe, hana lolote kichwani alijualo. Yeye ni kuendeshwa tu na genge lililomshikilia, genge linalokuwezesha wewe kutwa nzima ukishinda humu na kujaza takataka zisizo na mlengo wowote.
 
Uthubutu wa kufanya maamuzi ya hasara ni upumbavu
 
Jizi limekwiba fedha zote na limeshajifia zake sasa labda mkalidai kaburi.
 
Kwa hiyo kwa kuwa huoni faida ya SGR, ndiyo maana mnataka kuiua?
Na kwa vile uchizi umekujaa kichwani, hata hukumbuki ulivyokuwa ukililia hiyo hiyo SGR ielekezwe huko kwenu!
Nikisema wewe ni mtupu kabisa kichwani huwezi kuelewa ninachokwambia.
 
Kwa hiyo kwa kuwa huoni faida ya SGR, ndiyo maana mnataka kuiua?
Na kwa vile uchizi umekujaa kichwani, hata hukumbuki ulivyokuwa ukililia hiyo hiyo SGR ielekezwe huko kwenu!
Nikisema wewe ni mtupu kabisa kichwani huwezi kuelewa ninachokwambia.
Nani aliyeiua? Mkandarasi wenu wa mchongo kafilisika,mbona humtaji aliyeua hicho ki Sgr chenu
 
Kwa hiyo wewe ulitaka uamzi ukishafanyika, mara hiyo hiyo uingeze faida?
naelewa najibishana na kichaa, lakini hiki chako naona kimezidi kiwango.
Wakoloni walianza projects ndio wakajenga reli,nyie nyumbu mnajenga reli Ili mpigie picha.Akili au makamasi?
 
Wakoloni walianza projects ndio wakajenga reli,nyie nyumbu mnajenga reli Ili mpigie picha.Akili au makamasi?
Halafu unadai wewe ni msomi wa "uchumi", na akili za kipumbavu kama hizi?
Hapo hapo unatafuta uwe 'opinion leader' wa wapumbavu waliojazana kwenye serikali mbovu hii!
 
Halafu unadai wewe ni msomi wa "uchumi", na akili za kipumbavu kama hizi?
Hapo hapo unatafuta uwe 'opinion leader' wa wapumbavu waliojazana kwenye serikali mbovu hii!
Wewe huna akili usinichoshe.

Mkoloni hakujenga reli kama pambo,nyie mbumbumbu mnajenga reli huko Kanda ya Ziwa ikafanye nini?
 
Mkuu haya maneno mazuri kama almasi umeyapata wapi? Hebu rudia tena kwa sauti: ''Tanzania kuamua kutumia kiswahili kama lugha ya Taifa ilikuiwa kosa kubwa sana''. Kuna watu wataona kama ni ulimbukeni kusema hivi na watadai iwe kiswahili, iwe kiingereza zote ni lugha tu. Mimi naweza kuapa kabisa kuwa kiswahili kimefanya watu wadumae akili, wasisome, wasitafakari na wawe kama nyumbu tu. Kuna siku nikipata nafasi nitaelezea kwa kirefu.
 
Wewe Kwa akili Yako mbovu Sgr itakusaidia nini ikiwa Kenya waliojenga Sgr kwenye eneo lenye uchumi mkubwa Bado wanakula hasara? Ndio Ije iwe huko Kanda ya maskini Mwanza, Kigoma na Burundi?
Ni mambo kama haya yanayokuondolea hata hiyo heshima ndogo wasiojua kitu wanayo weza kukupa wewe pamoja na ukichaa wako.
Hiyo mistari uliyoandika hapa inaonyesha wazi huna ufahamu wa lolote unaloandika juu yake.
Kama kweli wewe ni "mchumi" kama unavyodai mwenyewe, basi fani hiyo haina maana yoyote, ni ujinga mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…