Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Sengeh ni mnyama mwenye mti nyama mnene na mrefu ukiwa unaenda kunya kuwa makini ukijisahau tu unazamishiwa na mnyama.
Ni mimi mnyama"Sengeh"
Inaonekana ulivyokua unaandika umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka

Sengeh
 
Inaonekana ulivyokua unaandika umekalia kitu kigumu chenye ncha butu laini kilichonyooka

Sengeh
Ni mimi mnyama"Sengeh"mwenye mb()() kimo cha urefu wa stuli,nipo chooni nakusubiri ukija kuchuchumaa kunya nakuzamishia.
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.

zimeenda kumsaidia yule dada aliyebakwa na mchungaji wake
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
Wewe ni mwongo au hujui unachoargue!
CDCF -Constitutional development catalyst fund (kama nipo sawa) ni fedha zinazotengwa kwenye bajeti ya jimbo husika kama kichocho cha maendeleo katik jimbo hilo.

Fedha zinapokelewa na Mkurugenzi wa halmashauri, zinakuwa allocated na kikao cha kamati ya mfuko wa jimbo, Mbunge akiwa mwenyekiti, afisa mipango wa wilaya DPLO akiwa katibu.

Hakuna namna yyt ambayo mbunge anakabidhiwa fedha hizo kuwa azigawe, baada ya kuziallocate katika kikao, kazi ya kuzipeleka fedha hizo kwenye miradi ni ya Mkurugenzi ambaye ni mteule wa Rais.

Fedha hupelekwa katika ngazi husika kwa utaratibu wa kulipwa kamati ambayo inahusika na usimamizi wa miradi husika.

Taarifa ya utekelezaji wa miradi hurejeshwa kwa mkurugenzi wa Halmashauri,nae anarejesha kwa baraza la madiwani, RAS, TAMISEMI etc kama sehemu anaymzowajibika.

Kwa baadhi ya majimbo fedha hizo hazigiki hata mil 400kwa miaka yote mitano.

Mathalani jimbo hupokea kiasi cha TZS 57M kwa mwaka (true figure kwa jimbo X), So kwa miaka 5 unaweza kuta kiasi cha fedha ambacho kinakuwa budgeted ni TZS 300 hapo ukizingatia kuwa budget inakuwa inaongezwa asilimia kidogo kila mwaka let say (5%). Sasa mtoa mada ukisema makadirio ni kuwa jimbo hupokea Bil. 3 ni uongo mkubwa, Hujui au unapotosha kwa makusudi.

CDCF ZINASIMAMIWA NA MKURUGENZI WA COUNCIL HUSIKA, NITAJIE MKURUGENZI YUPI ANAWEZA KULA NJAMA NA MDEE KULA HIZO PESA?
 
mpuuzi wewe unafikiri mtatoa mdee ,mwambie Huyo mwasherati wako kawe hana chake
 
Hizi propaganda za majungu na fitna haziwezi kumsaidia porn star Gwaji boy!
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?
Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
Yaani kwa hapo tu inaonesha wazi wala hufahamu mfumo mzima unavyofanya kazi kupitia Fedha za Mfuko wa Jimbo!

Kwanza, kwamba eti wanapata 3 billion kwa kipindi cha miaka 5, tena kwa Kawe; SIO KWELI kwa sababu kuna vigezo vimewekwa!

Lakini kubwa zaidi, nyie watu mnavyoongea utadhani pesa ya Mfuko wa Jimbo ikitolewa, anapewa Mbunge kisha anaenda kuweka kwenye akaunti yake binafsi!!

FYI, pesa huingizwa kwenye akaunti maalumu iliyo chini ya HALMASHAURI!

Pia kunakuwa na kamati ambayo Mwenyekiti wake ni Mbunge wakati Katibu ni District Planning Officer.

Pia kamati itakuwa na Two Wards Executive Officers.

Ibara ya 9 ya Mfuko wa Kuchochea Maendeleo ya Jimbo inasema CAG atakuwa anakagua mahesabu ya mfuko huo!

Ibara ya 16 inasema Council Planning Officer shall oversee projects under his jurisdiction and shall keep and maintain records of the disbursement of funds and progress of the projects.

Na pia Ibara ya 17 inaelezea majukumu mengine ya kifedha ya Council Planning Officer yanayohusiana na manunuzi yaliyofanyika na pesa husika!

Ibara ya 21 (2) inasema The Council Director or Officer In Charge (designated) atakuwa ndie Accounting Officer wa mfuko!

Aidha, kama nilivyosema hapo awali, fedha zitaingizwa kwenye akaunti maalumu itakayofunguliwa kwenye benki iliyokuwa approved na Council Director!

Ibara ya 22, 3( a and b) inaelekeza Signatories signing arrangement, Group A kuna Council Director na Council Planning Officer. na Group B kuna Council Treasurer and Council Accountant.

Kwa kukusaidia tu, Signatories ndio wanaosaini cheti za malipo au za kutoa pesa kwenye akaunti!

Kabla sijaenda mbele zaidi, hiyo signing arrangement ni yahovyo kuwahi kutokea, na sijui serikali walishauriwa na nani kuweka signing arrangement ya aina hiyo kwa sababu HUWEZI kuweka watu wa ofisi MOJA or similar interest kwenye makundi yote mawili!!

Kazi pekee aliyopewa Mbunge mbali ya kuwa ndie Mwenyekiti, yeye ndie ana wajibu wa kuweka rekodi ya orodha ya miradi inayotakiwa kupewa pesa! Aidha ni Kamati ndiyo itakayokuwa inapanga miradi ipi ipewe pesa!

Now. hivi hadi hapo unahitaji kupewa darasa na Andrew Chenge kufahamu kama pesa ya jimbo inatumika vibaya ni nani watakuwa wahusika kati ya Mbunge na Watumishi wa Halmashauri (compare between RED and BLUE) linalohusika moja kwa moja na pesa hizo?
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
Inawezekana unasema kweli,lakini hoja yako ingekuwa bora sana,iwapo ungefanya yafuatayo:
1.Leta takwimu halisi ya kiasi gani ambacho halima alikupokea kupitia mfuko wa jimbo kwa hiyo miaka 5
2.Leta orodha ya miradi ambayo halima kamati ilipitisha,na ipi ilipatiwa fedha na ipi haikupatiwa fedha,ili tujue kiasi cha fedha ambazo Halima ametia kibindoni
 
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?

Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.

Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.

Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.

Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.

HUU UPUZI ULISHAJIBIW AKULE TWITTER TENA KWA VIELEELZO NI BASI TU, HUMU @MODERATORS WANAJAMBO LAO.
 
We mbona unahangaika na mdee tu, au we ndo gwajima..Maana kila siku ni habari za gwajima na mdee . tushachoka
 
Ili hizo pesa za mfuko wa jimbo zitumike ni lazima matumizi yapangwe na kupitishwa na vikao vya baraza la madiwani likiongozwa na mkurugenzi ambaye huteuliwa na rais Magufuri.
Kama kweli zimeliwa na Mdee mkurugenzi na madiwani hawakuhusika? Wakaguzi wa miradi hawakuhusika?
Ziko kwa.mama yako
 
Halima hafai
Unaandika wewe unajikoment mwenyewe ... anyways bwana Juma Juma kumbe na wewe ni wale walionuia kuigeuza Miskiti na Madrasa za kawe kuwa Sunday School

Jina lako linanionyesha kumbe na wewe ni mnafiki kama Alhadi Mussa Sh. Wa mkoa wa DSM
 
Ziko kwa.mama yako
Mama yangu alisha fariki miaka 22 iliyo pita.
Ninacho kumbuka alinihusia "niwaheshimu sana wanawake"
Kwa maana hiyo sitakutusi tusi lolote maana namheshimu sana marehemu mama yangu,uwe na amani.

Nakushauri waheshimu wanawake ili uishi maisha ya amani na furaha.
Mungu akubariki sana [emoji120]
 
Usichojua ni kuwa hizo fedha huwa chini ya DED na MADIWANI
 
Back
Top Bottom