Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Halima bungeni kazi yake kubwa ilkuwa kutukana tu huko ndo kuiwakilisha kawe we pumzika tu wakati huu
 
Alafu nakukumbusha Mdee usijaribu kugombea hata udiwani maana hautapata. Watu hawana muda wakuangalia sura yako wala kusikiliza sera zako zakitapeli bila hata kugeuka nyuma
 
wewe acha kuwaza kishoga wakati hata jero la vocha huna. naona saivi umekosa dili ndiomaana unatolea macho tenda za wenzako
Mbona unajaziba?
Aliesema atawapeleka wanakawe Bamingham ya USA Ni nani?,na video zake akitafuna kondoo si zipo?

Swali ,Bamingham ipo USA?
Kwanini awadanganye?
 
Yaani sauti zege huna hata jema ambalo wanakawe tutakalo kukumbuka nalo maana wewe ni mwizi, huna adabu, huwaheshimu viongozi wako, unatukana ovyo. Hujafanya kitu kawe halafu leo hii unataka tukupigie kura October 28 umefeli mdee kura zote zinaenda kwa GWAJIMA
 
Elimu anayo muhukumu kwa mengine
 
Halima usinisahahu siku ya uchumba wako na ndoa yako maana ndicho kilicho bakia kwako nampa pole sana atakaye kuchumbia wewe [emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786][emoji1786] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kawe tunaitaji maendeleo si utekelezaji hewa Gwajima anafaa kutuletea maendeleo wanakawe
 
Kiukweli mm Mdee nshamchoka kabisaa nasubiri tu kura yangu nipeleke kwa gwajima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…