Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mbona ulienda kukagua akaunti za kata, kwani uliwachagua wao?Hivi wewe una akili kweli tuulize watu wa kata kwani sisi tuliwachagua wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ulienda kukagua akaunti za kata, kwani uliwachagua wao?Hivi wewe una akili kweli tuulize watu wa kata kwani sisi tuliwachagua wao
Kama kawaida Mdee hana chake alitakiwa amuige Mnyika maana Mnyika alisoma uelekeoHii thread imepigwa mande au mtungo. Inatambaa kwa urefu ma ID chache ila zinaushirikiano balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Za kupotea mkuu!Kama kawaida mdee hana chake alitakiwa amuige mnyika maana mnyika alisoma uelekeo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Za kupotea mkuu!
Hali mbaya sana. kwa uchache wa viti maalum watakavyopata sijui watavigawa vipi!Nipo sana mkuu sema majukumu tu .naona mdee mnampa sendoff hapa
Hali mbaya sana. kwa uchache wa viti maalum watakavyopata sijui watavigawa vipi!
Na usishangae ID zote zikawa za mtu mmojaHii thread imepigwa mande au mtungo. Inatambaa kwa urefu ma ID chache ila zinaushirikiano balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kudhalilisha wakristo umetumwa na halima kwa kuwa yeye ni mwislamu uite kanisa banda la mbuzi sisi tukiita msikiti banda la nguruwe utajisikiajeKuna harufu ya waumini wa Banda la mbuzi humu![emoji125][emoji125][emoji125]
Nunua tekno,gawa kwa vijana waliokosa ajira,wape bando waanze kuharisha utopolo.Nguvu ya gwajima hii
Acha ushamba ile n Ishara ya unyenyekevu sasa mnajidanyanga kuwa Lisu atashinda pole yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamtaamin tar 28 ila hamchelewi kusema uliibiwa kura maana ndo zenu
Sio kelele ni ukweli usiopingika
Kumbe na ww umeona eeh hapa ni multiple ID zinafanya kazi.Uzi unachangiwa sana na ID za kuanzia July mwaka huu hadi Sept. Kama kamkakati fulani hivi.
Mimi nina akili na ninamchagua GwajimaHamna akili wote mtakompigia gwajima kura