Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Hii thread imepigwa mande au mtungo. Inatambaa kwa urefu ma ID chache ila zinaushirikiano balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kawaida Mdee hana chake alitakiwa amuige Mnyika maana Mnyika alisoma uelekeo

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mtoa hoja, kwa hiyo unataka kusema unamtosa Mdee na kumchagua mcheza movi za unoooo..... say unoooooo !!!
 
99.7% IDs za mreta mada na wapambe wamapimbio wame join JF sept 2020 , your very foolish negotiate na JF staff ili wafanye back date kama its possible..... [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] otherwise nasema Magu trouser kwenye magoti itatoboka tuu hamuna hoja za msingi to convince electorates
 
Kuna harufu ya waumini wa Banda la mbuzi humu![emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kuna harufu ya waumini wa Banda la mbuzi humu![emoji125][emoji125][emoji125]
Acha kudhalilisha wakristo umetumwa na halima kwa kuwa yeye ni mwislamu uite kanisa banda la mbuzi sisi tukiita msikiti banda la nguruwe utajisikiaje
 
Acha ushamba ile n Ishara ya unyenyekevu sasa mnajidanyanga kuwa Lisu atashinda pole yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamtaamin tar 28 ila hamchelewi kusema uliibiwa kura maana ndo zenu

Lisu hawez kushinda ni sawa kabisa
But at least magufuli kaoneshwa kwa vitendo kuwa % kubwa ya watu hawamkubali

Tofauti na nyie mlivyokuwa mkimdanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…