Bossie mtoto
Member
- Jul 6, 2020
- 85
- 12
Gwajima anaweza kutuletea maendeleo coz ata yeye anayo vipi mama yenu ambaye hajielewiSijakataa ila atakuwa ni mwanasiasa wa siasa za kilaghai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima anaweza kutuletea maendeleo coz ata yeye anayo vipi mama yenu ambaye hajielewiSijakataa ila atakuwa ni mwanasiasa wa siasa za kilaghai
Nonsense Gwajima humuweziMkuu
Danpol na Bujibuji hawa waleta Mada wote ni watu wa Gwajima km hawatoki Kanisani kwake basi ni yeye anawalipa, wameweka mada nyingi za uongo kumshambulia Halima Mdee wakati sio wapiga kura wa Kawe
angalia tarehe za kujiunga kwao JF ni kuanzia siku ya Kura za maoni ile July 2020
hizi Mada zao sasa zinachafua Jukwaa nasubiria mwezi huu bado siku 27
jibu hoja, usitafute mchawiMkuu
Danpol na Bujibuji hawa waleta Mada wote ni watu wa Gwajima km hawatoki Kanisani kwake basi ni yeye anawalipa, wameweka mada nyingi za uongo kumshambulia Halima Mdee wakati sio wapiga kura wa Kawe
angalia tarehe za kujiunga kwao JF ni kuanzia siku ya Kura za maoni ile July 2020
hizi Mada zao sasa zinachafua Jukwaa nasubiria mwezi huu bado siku 27
Ni kweli kabisaa ndugu uko sawaNaamini Gwajima ataleta maendeleo ya kweli kwa wakaazi wa kawe,
sifa kubwa mbili ninazo ziona mimi kwa Gwajima ni;
1.Hana tamaa ya kujilimbikizia mali kama ilvyo kwa wagombea wenzake, yeye ni mtu tayari amejitosheleza hagangi njaa hivyo ataweka nguvu zaidi kutatua changamoto za wananchi na kuwaletea maendeleo.
2.ni mpambanaji wa kweli
kawe kuanzia mwakani mtaona matunda ya Gwajima
Hii ndio shida ya JF kuvamiwa na vitoto vya Facebook.Tarehe 28.10.2020, wananchi wa Tanzania watakuwa katika moja ya majukumu makubwa ambayo pia ni haki na wajibu wao kumchagua kiongozi wanayemtaka ambaye atawaongoza kwa kipindi cha miaka mitano mingine. Wakati kampeni zikiwa zinaendelea za urais, wabunge na madiwani; nikusogezee hali inavyoendelea katika jimbo la Kawe.
Jimbo limekuwa chini ya CHADEMA kwa miaka 10 likiongozwa na mbunge mwanamke Halima James Mdee. Kwa miaka 10 mambo yamekuwa mazuri kwake na huenda alijisahau kwamba maisha yanavyosonga mbele, uelewa unaongezeka, watu wanaendelea kupambanua akili zao na hivyo ni rahisi sana kugundua kuwa wamekuwa wakiibiwa kwa kipindi chote hicho.
Hii inaweka alama nyingine ambayo inaashiria kuwa huenda safari ya kisiasa kwa Halima Mdee ndani ya jimbo la Kawe imefikia mwisho na wananchi wako tayari kubadilisha hali zao kwa kumchagua mtu mwingine anayeonekana kuwa na ushawishi mkubwa na uwezekano wa kutatua matatizo yao.
Jambo linaloshangaza sana ni wanachama wa CHADEMA kuwa mstari wa mbele kuwashawishi wananchi wasimchague Halima kwa kile wanachokisema kuwa wao husahaulika baada tu ya uchaguzi. Hapa awali limeonekana wimbi kubwa la wanachama wa CHADEMA wakitimkia CCM na wote wana kauli moja,"HALIMA UMESAHAU NINI KAWE?, NI ZAMU YA GWAJIMA SASA.
Joseph Sospeter
Kawe-Ukwamani
marekani.Halima ameishiwa sera kabisa maana hana alichokitekeleza kwa miaka 10 aliyokuwa madarakani zaidi ya kwenda mahakamani tu na sisi wana Kawe tunasema imetosha tunaenda na Gwajima.
huwezi toka kwenye ULOKOLE ukaingia kwenye siasaNonsense Gwajima humuwezi
Kama ni mziki wekeni mcheze na tapeli wenu wa kikeHalafu mwambieni huyo aliyewafurushia humu asichekulie powa kawe ni mziki mwingine kabisa
wewe shipaAkafufue misukule kama nyie ije impigie kura!
huwezi toka kwenye ULOKOLE ukaingia kwenye siasaNonsense Gwajima humuwezi
watu wanataka waende marekani mkuuWewe mtu wa uswekeni, tuachie Kawe yetu.
Mbunge wa Kawe ni Halima.
Huyu mchawi Gwajima aende akawange makaburini huko.
Na ww inaonekana ni mfuasi wa Gwajima umejuaje kama kuna wafuasi wake?Waamini wa gwaji boy kazini tatizo kawe ni waelewa ongeni mengine huku mtatoa povu mpaka damu sasa ni hivii Halima hana mpinzani wengine wasindikizaji
Mwaka huu tunataka mabadiliko na.maendeleo kura yangu kwa GwajimaHii mada inachangiwa na watu watano kwa ID tofauti ili iondokane wako wengi lakini ni ushamba tu.
Magufuli amefuja trilioni 1.5 na kaishia kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwao lakini hamtaki kuliongelea. Nonsense.
Tuanze na Magufuli aende nyumbani, hana sifa ya kuwa rais labla unyapara wa barabara.
achana na Gwajima wewe kawe tumemkubalihuwezi toka kwenye ULOKOLE ukaingia kwenye siasa
ninyi wote mmekuja kulichafua Jukwaa mlioingia July 2020, km sio kabila moja basi ni walewale walokole FAKE mnaokula Kondoo wa Bwana waliopotea
safari hii Halima atamuoa Gwaji atake asitake, wapiga kura hawapo humu jukwaani mnatuletea kichefuchefu tu