Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Miaka kumi tuliyompa sasa imetosha hili suala sio la wana CCM ni watu wote wanaupenda maendeleo na mabadiliko
 
Hii mada inachangiwa na watu watano kwa ID tofauti ili iondokane wako wengi lakini ni ushamba tu.

Magufuli amefuja trilioni 1.5 na kaishia kujijengea kiwanja cha ndege kijijini kwao lakini hamtaki kuliongelea. Nonsense.

Tuanze na Magufuli aende nyumbani, hana sifa ya kuwa rais labla unyapara wa barabara.
 
Nonsense Gwajima humuwezi
 
Unfortunately, options ni mbili. Kumchagua Halima au yule aliyekufa halafu akajifufua mwenyewe kama Yesu!!
 
Naamini Gwajima ataleta maendeleo ya kweli kwa wakaazi wa kawe,
sifa kubwa mbili ninazo ziona mimi kwa Gwajima ni;
1.Hana tamaa ya kujilimbikizia mali kama ilvyo kwa wagombea wenzake, yeye ni mtu tayari amejitosheleza hagangi njaa hivyo ataweka nguvu zaidi kutatua changamoto za wananchi na kuwaletea maendeleo.

2.ni mpambanaji wa kweli

kawe kuanzia mwakani mtaona matunda ya Gwajima
 
jibu hoja, usitafute mchawi
 
Ni kweli kabisaa ndugu uko sawa
 
Ufipa wako watetee hoja?
Au wamejifungia kutafta madesa ya kujibu makombola?
 
Hii ndio shida ya JF kuvamiwa na vitoto vya Facebook.
 
Nonsense Gwajima humuwezi
huwezi toka kwenye ULOKOLE ukaingia kwenye siasa
ninyi wote mmekuja kulichafua Jukwaa mlioingia July 2020, km sio kabila moja basi ni walewale walokole FAKE mnaokula Kondoo wa Bwana waliopotea
safari hii Halima atamuoa Gwaji atake asitake, wapiga kura hawapo humu jukwaani mnatuletea kichefuchefu tu
 
amewadharau wana wa kawe kiasi cha kudhani hawana uwezo wa kufikiri na kubaini kuwa ana wadanganya zaidi ya miaka 10.
sasa akafanye kazi zingine sio ubunge tena
 
Waamini wa gwaji boy kazini tatizo kawe ni waelewa ongeni mengine huku mtatoa povu mpaka damu sasa ni hivii Halima hana mpinzani wengine wasindikizaji
Na ww inaonekana ni mfuasi wa Gwajima umejuaje kama kuna wafuasi wake?
Ww si kibaraka wa Halima ndiyo maana unatokwa na jasho la kwapa.
Kawe ya Kijani
Kawe ya Gwajima
 
Mwaka huu tunataka mabadiliko na.maendeleo kura yangu kwa Gwajima
 
achana na Gwajima wewe kawe tumemkubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…