Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Nipo tyr sasa kumkubalia Halima mdee kuwa mke rasmi maana hapo mwanzo nilihofia atakuwa ana majukumu mengi ya Kisutu na Mjengoni
Asante Gwaji boy kwa kunisaidia kumtuliza huyu shemeji yako kwakweli na nimepumua kwa sasa maana duh!
Nayajua mwenyewe tu Bandugu
 
Kawe ya Gwajima
 
Yaani huu uzi ni wa kishenzi sana,
Sasa nani anaweza kuukubali huu uzi?
Yaani Gwajima kaweka watu kwenye mitandao anawalipa.
Jifurahisheni.
 
CCM OYEEEEE,, GWAJIMA OYEEEEEE

Tunataka wachapa kazi kama Gwajima na JPM hatuwataki watu wa hadithi za sungura na fisi na utopolo tu kama Halima mdee
 
Wana Kawe tumechoka kuongozwa na Bachela wa kike tunahitaji kiongozi mwenye familia Halima hana familia amezowea kwenda na wanawake wenzie sehemu ndiyo maana hana akili ya kutuongoza zaidi ya kututapeli tu na ahadi zake za uongo.
Kawe tumeazimia kwenda na Gwajima October 28
 
Unasubiri kwenda shamba kulima na bibi yenu?
Maana October 28 hatutarajii kufanya makosa tena ni mwendo wa mabadiliko Kawe.
Gwajima angekuwa hajaowa tungemwambia Halima ajipendekeze kwakwe tatizo Gwajima ameshaowa.
Lakini siyo mbaya Halima anaweza akapewa hata kazi ya house girl.
 
Mtaandika sana halima mdee anshinda Kwan kishindo.
Wala hatuna pressure mara Mia hata Kippi alikuwa anajua kujenga hoja ...sio.jinga hilo tapeli msulule wa Mwanza
 
KAWE YA KIJANI INAPENDEZA SANA

Gwajima zidi kuwaonyeshe kuwa Kawe ni yako na tunakuamini kwa kuleta maendeleo
 
Msivyo na akili kama jiwe lenu...
Kwa hiyo mnataka mbunge atakaekuwa mwakilishi wa serikali bungeni?

Mwenyekiti wenu hajui kazi yake na nyie wafu asi wake hamjui wajibu wenu! Kweli CCM imekufa
 
Uzi mtu mmoja anachangia komenti hio hio zaidi ya mara moja ili iweje sasa? Hakuna wa kumuondoa Halima kawe na hajazaliwa bado wa kumuondoa.
 
Mtaandika sana halima mdee anshinda Kwan kishindo. Wala hatuna pressure mara Mia hata Kippi alikuwa anajua kujenga hoja ...sio.jinga hilo tapeli msulule wa Mwanza
 
Zote zinaposti Ishu za Halima na Gwajiboi tu.
Account zooote hizi ni mpya zote, zina mwez au miezi miwili

Wameshashauriana huko kwenye groups zao za WhatsApp wanakuja vamia huku

wasted sperm's
 
Chadema saccos na mwenyekiti wao wamezitafuna kweli kweli. Magufuli mnasema mbaya, ila pesa zake mnazitafuna..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…