Hivi unajua namna pesa ya mfuko wa jimbo hiko chini ya nani? Inatolewa Vip? Na hiko kwenye account gani? Kwa akili yako unadhan mbunge ni tatizo? Mbona hali ya majimbo karibu yote ya dar ni dhohofu. Ukonga walikuwepo waitara; nangalia miundombinu yake utadhani sijui kijiji gani? Temeke je ? Ile kauli ya mzee iliyotolewa tunduma nadhani Ndio chimbuko la hayo matatizoKasomu kitabu chake kwanza kwa hela alizopewa mfuko wa Jimbo.
Akili ikikuzinduka rejea mchango wako.
Halima MUST GO!
Hatutaki malumbano.Hivi unajua namna pesa ya mfuko wa jimbo hiko chini ya nani? Inatolewa Vip? Na hiko kwenye account gani? Kwa akili yako unadhan mbunge ni tatizo? Mbona hali ya majimbo karibu yote ya dar ni dhohofu. Ukonga walikuwepo waitara; nangalia miundombinu yake utadhani sijui kijiji gani? Temeke je ? Ile kauli ya mzee iliyotolewa tunduma nadhani Ndio chimbuko la hayo matatizo
HALAFU UTAYASIKIA MAJITU FULANI HUMU YAKIMWAGA POVU KUMTETEAHALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?
Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.
Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.
Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.
Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
Awamu hii hauna Mbunge aliyepata hata cent 5 zote aligawa mwenyewe km ni madaraja au HospitalGwajima njia nyeupee , halima hajafanya kitu chochote kawe.
Jibuni fedha za Jimbo ziko wapi..msirukeruke Kama nyukiAlipokubali hiki kibarua hakujua kuawni cha kubeba gunia la misumari.
Aa wapi Halima mdee hana ubavu wa kumgalagaza Gwajima .halima hatumuoni Bungeni wala jimboni.Awamu hii hauna Mbunge aliyepata hata cent 5 zote aligawa mwenyewe km ni madaraja au Hospital
kwahiyo usemi wa Maendeleo hayana vyama ni sawa
MWACHIENI HALIMA MDEE AMGALAGAZE GWAJ BOY
HALIMA MDEE, FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO UMEPELEKA WAPI?
Bunge la JMT limetunga Sheria iliyoanzisha na kusimamia fedha za mfuko wa Jimbo kwa lengo la kurahisisha na kumsaidia Mbunge wa kuchaguliwa Jimboni kupata fedha hizo kwa lengo la kurahisisha kutatua changamoto mbali mbali za Maendeleo katika jimbo mfano kusaidia kuboresha majengo na miundombinu mbali mbali za mashule, barabara, hospital na kunawakati zinaweza kutumika katika kusaidia makundi mbali mbali katika Jamii.
Ina kadiriwa kiasi Cha bilioni 3 hutolewa kwa kila Jimbo kwa kipindi Cha miaka yote 5 ya utawala wa Mbunge wa Jimbo wa kuchaguliwa likiwemo Jimbo la kawe lakini chakushangaza fedha hizo zimetumika kinyume na utaratibu wake.
Katika Nyakati tofauti Halima Mdee ameziomba fedha hizo za mfuko wa Jimbo kwa matumizi flani yakiyopitishwa na kamati inayotambulika kisheria lakini Mara baada ya kukabidhiwa fedha hizo hazipeleki kwa walengwa ambao ni wananchi badala yake zinatumika kujenga chama kitaifa na kuwakoshesha wananchi wa Kawe Maendeleo ambayo hadi hivi leo Kuna sehemu bado Zina changamoto kubwa.
Hali hiyo ya matumizi mabaya ya fedha hizo imempa wakati mguu katika kampeni zake za kuwania Ubunge kwa Mara ya tatu mfululizo lakini wananchi wamemkataa mpaka atakapo waeleza zaidi ya bilioni 2 zimepotelea wapi maana katika ripoti yake ya utekelezaji inaonyesha bilioni 1 tu umetumika lakini bilioni 2 hazijulikani hazipo.
Hivi awamu hii ya 5 uliliona Bunge letu, au kuna Mbunge ulimsikia kapewa mradi? umeambiwa maendeleo hayana ChamaAa wapi Halima mdee hana ubavu wa kumgalagaza Gwajima .halima hatumuoni Bungeni wala jimboni.
Tapeli huyo, Accounting Officer wa mfuko wa jimbo ni DED, Mbunge hapewi mkononiKazi yako ya kutumwa na ccm ngumu kweli kweli mwaka huu.
Hajui na hatakaa ajueUnatia aibu kwa ccm wenzako
Aliekwambia ni mbunge pekee ndio anakaa na pesa za jimbo ni Nani?
Why usimuulize mkurugenzi alieteuliwa na Rais wako?
Na ww unakuwa na akili Kama za gwajima,
Analalamika barabara kwa halima hajui kama imeundwa taasisi inaitwa tarula kwa ajili ya Hizo barabara