Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

Una maoni chanya lakini nakukumbusha pia kwamba, CCM imefanya mara nyingi tu kuwafukuza uanachama wanachama wake, alifukuzwa Sofia Simba, Jesca Msambatavangu, Benard Membe na wengine wengi tu katika historia!..
Tofauti sio kwa CHADEMA NA CCM, wote wanatoa adhabu za kufukuza wanachama wao, tofauti ni kwamba wana- CCM wengi wakifukuzwa wanajua cha kufanya, (hutulia na kukiri makosa yao) baadaye chama huwasamehe!

Tofauti na walichofanya au wanachofanya akina Halima, yaani wanashirikiana na Magufuli+ Ndugai+ Tume ya uchaguzi, ku-surbotage maamuzi ya chama,wanaamua kuota mapembe kwa ujeuri unaolindwa na waliowapeleka, then bado hawaombi radhi, ila unataka chama kiwasamehe kwa sababu ni wanachama wazoefu?(seriously????)
Nionavyo, chadema wamefanya maamuzi sahihi kabisa, as long as hawakuona sababu ya kuomba radhi kwa waliyoyafanya basi ni haki yao kuadhibiwa!
Hakuna chama kinaweza kubeba wanachama wanaojiona kuwa wakubwa kuliko chama chao!
 
Halima alikuwa na nafasi nzuri kabisa ya kueleza mkasa wote huu ulivyotokea katika mkutano huo. Hii ndiyo ilikuwa nafasi yao nzuri ya kuhitimisha kila kitu, lakini hakufanya hivyo, kwa sababu zipi?
Alikula nadhiri kwamba asiseme kitu wakati walipokuwa wnapanga mipango ya kwenda Bungeni, kwamba hakuna kuzungumzia mambo hayo?

Kuna njia nzuri za kuzungumzia jambo bila hata ya kumsuta au kumshutumu kiongozi wako, kama alihusika na jambo hilo, bila ya kuonekana kuwa unavutana naye, na watu wakakuelewa.

Halima na uwezo wake aliokwishauonyesha huko nyuma, kabaki tu wa kusema "UHUNI"?

Kama ilikuwa ni mipango ya kuendeleza uhujumu wa chama chao, iliyotokea nje ya chama, kwani angeizungumzia mipango hiyo, wajumbe bado wasingeweza kuelewa na kupiga kura kutokana na uelewa huo?

Haya mambo kamwe hayawezi kujificha milele. Ni swala la muda tu, kila kitu kitajitokeza nje, na tutajua kilichotokea.

Mwisho, nami niulize swali: Hivi Halima ni mmoja kati ya wale waliowasilisha rufaa ya kufukuzwa ndani ya chama? Inafahamika kwamba baadhi yao walighaili kufanya hivyo, sasa sijui kama Halima ni mmoja wa hao. Kama ni kati ya hao ambao hawakujishughulisha, basi tutaanzia hapo kukisia mambo.
 
Kwenye hili sina upande, ila kwa hili la Wazazi kwani ni lazima Wazazi wamwambie Halima kuwa walikutana na Mbowe?. haswa kama hawakuafikiana?.

Huenda walimwambia sisi hatutaweza kuongea chochote na Halima.
 
Dj ni msanii sanii sana , tangu apange njama za kumuuwa Sabaya simwamini kabisa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Yani we jamaa najaribugi kuimagine upoje, nakosa jibu. Wala hujishughurishagi kufikiri
 
Akishachafuka inabidi kumfungia milango hata awe mzuri vipi. Kumbuka hata Yesu alipokuwa msalabani Mungu alimpa kisogo maana alikuwa amebeba dhambi za ulimwengu ndio maana Yesu akalia akisema Mungu wangu mbona unaniacha? Kama vipi niepushe na kikombe hiki. Mdee ameshachafuka hata awe mzuri vipi ni jambo la busara kumwacha aende.
 

Haya yanatoka wapi tena?

Maelezo haya kumhusu Halima Mdee, tumeambiwa yalitolewa mbele yake Halima Mdee, wajumbe wote wa Baraza kuu na mbele ya wenzake wote 18 Mdee na kuhitimishwa na M/Kiti kumtaka Halima Mdee naye asimame mbele ya Baraza Kuu aseme kwa kinywa chake kama hayo maelezo ni ya KWELI ama UONGO...

Halima Mdee hakusimama KUYAKANUSHA ama KUYAKUBALI...

Na mtu anaposomewa mashitaka yake mbele ya mahakama na kuulizwa kweli au siyo kweli halafu akanyamaza kimya tu, maana yake hiyo ni ishara ya KWELI...

Sasa leo baada ya kuhukumiwa iweje aanze kulalamika akiwa gerezani wakati alikuwa na muda wa kujitetea..???
 
Yaani Mdee yupo sahihi na ndiye anapendwa na watanzania kuliko makajanja yenu ya NGO iliyokufa. Kwa taarifa yako Mdee sasa ni maarufu kuzidi huyo mwenyekiti wenu gaidi wa hicho ki NGO chenu, na tena asubiri DPP atalifufua file afungwe
Watanzania wenyewe ndio wewe?
 

Hakuna mtu muhimu duniani
 
Naona mna tafuta huruma kumpitia Halima. Kama mna mpenda kamuoe maana hana bwana
 

β›” Anakuja mfanyakazi mpya kwenye taasisi, mburura kabisa hajui chochote na hala hela yoyote, wewe unampokea kama boss wake au mfanyakazi mwenzake, unamfundisha kazi, na kum suport financial mpaka anakaa sawa na kuelewa kazi. Huyohuyo anaanza kukupiga majungu na kukuhujumu ili ufukuzwe kazi au aipindue nafasi yako
 
Hapa ni story ya he said she said. Kwa speculations zangu, nina Conjectures au Lemmas au Postulates ambazo siwezi kuziandika kwa vile sina factsza kutosha.
 
Yeah, 100%..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…