Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Jaji kapewa hukumu toka Magogoni kwenda kusoma hukumu ambayo hakuandika yeye
 
Serikali haramu,Bunge haramu,Mahakama haramu na maamuzi ya kiharamu kuhalalisha haramu yao.
 
Chadema wamejazana wehu wanaoamua mambo kwa chuki...

Wakimvhukia mtu wanatamani sheria imchukie pia...

Wepesi sana kwenye sheria.
Kajambe mbele uko wewe !
CHADEMA walimfungulia mfungwa saa 4 usiku na alfajiri akaapishwa? NUSRAT HANJE
CHADEMA walikaa wakapeleka majina ya viti maalum?
Unaumwa wewe hilo bando bora ungetumia kuangalia porn ujiongezee maarifa kwa mume wako.
 
Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata

Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai

Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Mbarikiwa wa kwanza: ....Nikienda mbinguni labda nitapewa kazi ya kuongoza Malaika...

Mbarikiwa wa pili: ...... Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa Sana....

Ogopa Mungu na Teknolojia

Mungu ibariki Tanzania....
 
Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata

Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai

Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Hebu dadavua bwashee!
 
Duh , nataka kucheka ila basi tu
 
Kajambe mbele uko wewe !
CHADEMA walimfungulia mfungwa saa 4 usiku na alfajiri akaapishwa? NUSRAT HANJE
CHADEMA walikaa wakapeleka majina ya viti maalum?
Unaumwa wewe hilo bando bora ungetumia kuangalia porn ujiongezee maarifa kwa mume wako.
Wagonjwa wa akili aina yako ndiyo mmejaa huko chadema
 
Huwa nakipenda sana kigabu cha Mario Puzzo cha "The Godfather!"

"Kwanini ulikwenda kwao?" Jamaa anajibu "kulingana na niliyoifanyia marekani nilijua itanitendea haki"

"Sasa kwanini umekuja kwangu?" Don corleon akauliza... jamaa akajibu " Nimekuja kwako kwakua marekani imenisaliti...nilijitolea fursa zangu, nguvu na uhai wangu kuitumikia marekani lakini leo hii imenisaliti? Nimekuja kwako Don Corleone the Godfather nisaidie nipate haki ya binti yangu"

Hii ilitokea baada ya mzee mmoja binti yake kubakwa na kuumizwa vibaya sana cha ajabu wabakaji walifungwa siku tatu tu na mahakama tena baada ya vuta nkuvute nyingi sana!

Don Corleon alimsaidia kuwaua wabakaji wote wa mwanae.

Hakuna haki mahakamani hasa hizi kangaroo courts za Afrika ni ushwaini mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…