Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Jaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.

Wataam wa mambo tunajua wataambiwa wakate rufaa ambayo itawekewa mapingamizi, na mapinga yatasikilizwa by december 2024 wakati tunaingia uchaguzi mkuu, haitokaa itokee kusemwa kwamba walikuwa haramu, yaani legasi ya mwendazake ichafuliwe?
Jaji kapewa hukumu toka Magogoni kwenda kusoma hukumu ambayo hakuandika yeye
 
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .

View attachment 2842542

====

Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.

Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Serikali haramu,Bunge haramu,Mahakama haramu na maamuzi ya kiharamu kuhalalisha haramu yao.
 
Chadema wamejazana wehu wanaoamua mambo kwa chuki...

Wakimvhukia mtu wanatamani sheria imchukie pia...

Wepesi sana kwenye sheria.
Kajambe mbele uko wewe !
CHADEMA walimfungulia mfungwa saa 4 usiku na alfajiri akaapishwa? NUSRAT HANJE
CHADEMA walikaa wakapeleka majina ya viti maalum?
Unaumwa wewe hilo bando bora ungetumia kuangalia porn ujiongezee maarifa kwa mume wako.
 
Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata

Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai

Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Mbarikiwa wa kwanza: ....Nikienda mbinguni labda nitapewa kazi ya kuongoza Malaika...

Mbarikiwa wa pili: ...... Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa Sana....

Ogopa Mungu na Teknolojia

Mungu ibariki Tanzania....
 
Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata

Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai

Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Hebu dadavua bwashee!
 
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .

View attachment 2842542

====

Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.

Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Duh , nataka kucheka ila basi tu
 
Kajambe mbele uko wewe !
CHADEMA walimfungulia mfungwa saa 4 usiku na alfajiri akaapishwa? NUSRAT HANJE
CHADEMA walikaa wakapeleka majina ya viti maalum?
Unaumwa wewe hilo bando bora ungetumia kuangalia porn ujiongezee maarifa kwa mume wako.
Wagonjwa wa akili aina yako ndiyo mmejaa huko chadema
 
Huwa nakipenda sana kigabu cha Mario Puzzo cha "The Godfather!"

"Kwanini ulikwenda kwao?" Jamaa anajibu "kulingana na niliyoifanyia marekani nilijua itanitendea haki"

"Sasa kwanini umekuja kwangu?" Don corleon akauliza... jamaa akajibu " Nimekuja kwako kwakua marekani imenisaliti...nilijitolea fursa zangu, nguvu na uhai wangu kuitumikia marekani lakini leo hii imenisaliti? Nimekuja kwako Don Corleone the Godfather nisaidie nipate haki ya binti yangu"

Hii ilitokea baada ya mzee mmoja binti yake kubakwa na kuumizwa vibaya sana cha ajabu wabakaji walifungwa siku tatu tu na mahakama tena baada ya vuta nkuvute nyingi sana!

Don Corleon alimsaidia kuwaua wabakaji wote wa mwanae.

Hakuna haki mahakamani hasa hizi kangaroo courts za Afrika ni ushwaini mtupu!
 
Back
Top Bottom