Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo ya nchi imeoza haswaWacha waende rufaa, haki hata ikichelewa ila ipo, hata rufaa ikijisema haina mamlaka ila Mungu anaona kodi za Watanzania zinavyohalalishwa kuliwa na maharamia.
Mjinga wewe, awabariki kwa kuharibu mifumo ya nchi?Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata
Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai
Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Jaji kapewa hukumu toka Magogoni kwenda kusoma hukumu ambayo hakuandika yeyeJaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.
Wataam wa mambo tunajua wataambiwa wakate rufaa ambayo itawekewa mapingamizi, na mapinga yatasikilizwa by december 2024 wakati tunaingia uchaguzi mkuu, haitokaa itokee kusemwa kwamba walikuwa haramu, yaani legasi ya mwendazake ichafuliwe?
Mifumo gani?Mjinga wewe, awabariki kwa kuharibu mifumo ya nchi?
Siku za Mwisho, alafu anajitokezi bibi anasema tuombee sijui kitu gani.Yaani hata alichokiandika jaji mwenyewe kashindwa kukisoma ! Noma sana !
Serikali haramu,Bunge haramu,Mahakama haramu na maamuzi ya kiharamu kuhalalisha haramu yao.Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .
View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .
View attachment 2842542
====
Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Acheni kumsingizia rostam mbona chadema ikishinda huwa hamuongei haya sasa mnataka mshinde tu kesi zote?Ndo ukweli wenyewe..!!! Yule RA alisema simu moja tu maamuzi yanabadilika..!!
Kajambe mbele uko wewe !Chadema wamejazana wehu wanaoamua mambo kwa chuki...
Wakimvhukia mtu wanatamani sheria imchukie pia...
Wepesi sana kwenye sheria.
Kama ni haki ndiyoAcheni kumsingizia rostam mbona chadema ikishinda huwa hamuongei haya sasa mnataka mshinde tu kesi zote?
Sina nimeona vumbi likitimka ghafla mdee and the gang wanashangilia lissu na wenzie chalii ,chadema na mdee wamepata ushindi!Hofu yako nini ? wewe ungesubiri tu
Mbarikiwa wa kwanza: ....Nikienda mbinguni labda nitapewa kazi ya kuongoza Malaika...Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata
Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai
Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Gamba Kama GambaSawa
Tuko tayari kwa Matokeo yoyote kama kule Gaza 😂
Hebu dadavua bwashee!Shujaa Magufuli na Spika mstaafu Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury mh Job Ndugai ni miongoni mwa Viongozi makini Taifa Hili limewahi kuwapata
Mungu wa mbinguni mbariki Mzee Ndugai
Mungu wa mbinguni mrehemu Shujaa Magufuli
Duh , nataka kucheka ila basi tuHaya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .
View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .
View attachment 2842542
====
Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.
Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
Wagonjwa wa akili aina yako ndiyo mmejaa huko chademaKajambe mbele uko wewe !
CHADEMA walimfungulia mfungwa saa 4 usiku na alfajiri akaapishwa? NUSRAT HANJE
CHADEMA walikaa wakapeleka majina ya viti maalum?
Unaumwa wewe hilo bando bora ungetumia kuangalia porn ujiongezee maarifa kwa mume wako.