Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Sherehe kubwa ufipa leo, Mbowe ana uhakika na ruzuku toka covid 19. Hongereni kwa kushinda kesi. Peopleeeeeeeeeees.
 
Huyo Mbowe hamna kitu hapo boss. Ni muda sana Mbowe ameshaflop. Na kwa taarifa yako uwepo wa hao COVID huko bungeni una mkono wa Mbowe kwa namna moja au nyingine.
 
Mimi naona yawepo makubaliano ya hao cov 19 na Uongozi wa CDM! Waachwe waendelee na ubunge kwa kuwa muda uliobaki ni mfupi kabla ya uchaguzi mwingine 2025!
Makubaliano gani tena? Mbowe hawezi kukubali kukosa ruzuku hata 2025 watapewa tena viti maalum haohao covid 19.
 
Acha upotoshaji, pitia maamuzi yote siyo kurukia vipande.
Amesemaje juu ya maamuzi ya Kamati kuu kuwafukuza?
Hata hilo la halmashauri kuu huo ni uhuni wa mahakama za mchongo
Katiba ya Chadema ina watambua wajumbe wa kamati kuu kuwa wajumbe wa halmashauri kuu.
Ila jigoo akiwika au asiwike juta kucha tuu.
Majaji wa bongo wamekuwa wasoma hukumu sio watoa haki.
 
Na bado kuna wanaotaka kwenda uchaguzi bIla katiba Mpya.

Kwa mahakama zipi za kukimbilia kukichezwa rafu na wenye vifua vyao kama ilivyozoeleka?
Ipo siku mtapata viongozi wakubwa ambao hamkuwachagua ninyi kwa mbinu hizi hizi.

Mtachaguliwa viongozi na msajili au mahakama.
 
Sio kwa hapa Tanzania, ndio maana wazungu hawako tayari mashauri Yao kusikilizwa kwenye hizi mahakama za ndani, maana wanajua ni uchafu mtupu.
Kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu. "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea"
 
Kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu. "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea
 
..kwa hukumu hii mbona hakutakuwa na chama hapa Tz kinachoweza kufukuza mwanachama wake?
hapana hapa mahakama imeweka msingi mzuri wa Vyombo vinavyotoa hukumu kwa ndani ya vyama, kuwa impartial. Jambo ambalo halipo kwa miundo ya utoaji haki kwa vyama vyote vya siasa hapa kwetu. So i think ni maboresho ya utoaji haki na si uzuiaji wa adhabu kwa wanachama.
 
Sasa wanatoka kuwa COVID 19 Hadi Changamoto za upumuaji!!
 
Huyo Mbowe hamna kitu hapo boss. Ni muda sana Mbowe ameshaflop. Na kwa taarifa yako uwepo wa hao COVID huko bungeni una mkono wa Mbowe kwa namna moja au nyingine.
Mbowe bado hajaandaa mrithi wake kwa sasa.
 
Kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu. "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea"
Kwamba hiki kifungu ndio kinaonyesha mahakama zetu ni huru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…