Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama haramu ilimfutia mbowe makosa ya ugaidi wa kusingiziwa.
Akae pembeni tu, kwa muda aliokaa inatosha. Tupate taswira mpya.Si kweli
Hiyo major violation ya natural justice, nemo judex en causa sua
Ukate rufaa kwenye mahakama hizi hizi zinazopewa maelekezo ya kuandika hukumu?Hayo ya kwako chombo cha kutoa haki kimeshatoa haki kama hukupendezwa si ukate rufaa
Kumfukuza mwanachama wa chama chochote kile siyo kama kumfukuza mfanya kazi.Kwani hii ilikuwa Mahakama ya Rufaa yenye uamuzi wa mwisho katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mbona hukumu nyingi tu hutenguliwa rufaa ikikatwa? Sema tu kama kusema tu kama hao 19 walifukuzwa ubunge kiuhallali au la imechukua nadhani mwaka mzima na zaidi ni shida zaidi. Kesi ya kupinga ushindi wa Urais wa Uhuru Kenyatta ilikuja nyuma na ile kesi iliamriwa ndani ya wiki moja. Hii ya akina Halima sijui kwa nini ilichukua muda mrefu hivyo.
Hongera Halima na wenzako kuendelea kuwa wanachama wa chadema ,itoshe kusema mahakama imetenda haki,viva Halima na wenzako.
Pale kulikua hakuna kesi ni mda tu ulikua unasubiriwa hili hayo yatokee naomba kufahamishwa baada ya mahakama kufuta ua muzi wa chadema je kina Madee wataendelea kutambuliwa na chadema kama wanachama wao na ikiwa watakataa kuwatambua sheria inasemaje kwa anayejua naomba anijibu kisheria swali langu baada ya ma amuzi ya mahakama kufuta uamuzi wa baraza kuu chadema italazimika kuwatambua kama wanachama wao au haina ulazima kuwatambua sheria inasemaje juu ya hiloKarudishiwa uanachama, atapelekwa na escort ya Polisi kama Selasini pale NCCR. Chadema tuwe serious otherwise yatatukuta ya NCCR na CUF kupachikiwa wenyeviti wasiowataka. Huyo sharifa ni kaimu tu so msajili hamtambui, kule BAVICHA hakuna katibu mkuu so nusrat atairudia post yake!! Why chadema tumekua wazembe hivi?
Cc John Mnyika
Kwa hili suala inapaswa ajiuzulu, inatosha sasa. Cha ajabu baraza kuu halitoitwa mpaka mwakani June kuja kujadili hukumu ya leo? Aisee huyu jamaa atupishe.
Mkishindwa hamkosi sababuUkate rufaa kwenye mahakama hizi hizi zinazopewa maelekezo ya kuandika hukumu?
CHADEMA wakienda Mahakama rufani wanashinda. Mahakama kuu ni kama Mahama ya Mwanza Manzese tu. Afadhali hata Mahakama ya Hakimu Mkaazi kuliko Mahakama Kuu.
Mahakama Kuu ya Bongo ni sehemu ya ku sodomy sheria
Kubwa jinga weweNilijua tu itakua hivi.
Yule mwendawazimu alivuruga uchaguzi kwa ushamba wake akajisombea majimbo yote huku akiwa ana mpango wa kujiongezea muda.
Kuja kushtuliwa kuwa nchi itakosa baadhi ya mikopo ndio akaangukia kwa hao Covid 19 walioapishwa kwenye parking ya gari.
Mkishindwa hamkosi sababu
Mara ya kwanza tangu uzaliwe unakuwa mkweliHuyo Mbowe hamna kitu hapo boss. Ni muda sana Mbowe ameshaflop. Na kwa taarifa yako uwepo wa hao COVID huko bungeni una mkono wa Mbowe kwa namna moja au nyingine.
Kaka Pascal Mayalla huwa anatumia neno zuri sana,kuwa uamuzi wa CHADEMA kuwafukuza uanachama wakina Halima Mdee na wenzake uliendeshwa kwa mtindo wa,"Kangaroo court"!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
HaihusianiNa kule akina Mbowe na wenzake wakiendelea kuvuta ruzuku kila mwezi inayotokana na akina Mdee kuwepo bungeni. Na wakileta fyoko kukata rufaa, hiyo kesi itamalizika 2027, wallahi tena.