Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Edwin Mtei ndio mwanachama namba moja Bosi

Kasome Historia ya CHADEMA halafu fuatilia majina haya:

1. Edwin Barongo
2. Sylvester Masinde
3. Brown Ngululuki
4. Merry Kabigi
5.Michael Shanga,
6.Medadi Mutungi
7. Costa Shinyanga
 
Jibu swali we mpumbavu,unajidai unajua inne game kwa kuingiza tuviingereza vya kijinga,kwani ukiwa CCM lazima uwe mjinga?
Mbona kama ume panic hiv kamanda? Tuliaa. Mahakama za Bongo na africa kwa ujumla(na sio africa tu balinhata majuu) kuna watu powerful wana influence maamuzi yake.. Hii ya akina Mdee ni purely chadema (Mbowe) wana husika kwa 100%.
 
Magufuli uendelee kulaaniwa huko uliko inawezekana serikali ya Samia haipendi haya ila wafanyaje?
Chadema bhana 😂 itafika 2050 na bado mtaendelea kumlaumu JPM, michongo yote ifanywe na mume wenu Mbowe halafu mnakuja kumlalamikia JPM
NA BADO MTALALAMIKA SANA TUUU.
 
Nenda ukafuatilie waasisi wa CHADEMA ni akina nani, achana na stori za akina Lema waliohamia juzi kutoka TLP. Wajute kwanza waasisi wa CHADEMA usipende kuongea mambo juujuu. Na kwa taarifa yako CHADEMA ilianza kuungwa mkono Kigoma baada ya kuwa chama Cha kwanza Cha upinzani kushinda ubunge mwaka 1992.
Jf admini hii taarifa ipo verified?

admini wa JF kweli hawa wameshinda kesi au maamuzi ya Baraza Kuu ndio yamefutwa?

Nakuombeni JF msome kwenye hukumu Orders za Mahakama.
Msiingie mkenge mkawa kama Blogs! za mitaaani!
Innovator Fang Diversity Maxence Melo
 
Nenda ukafuatilie waasisi wa CHADEMA ni akina nani, achana na stori za akina Lema waliohamia juzi kutoka TLP. Wajute kwanza waasisi wa CHADEMA usipende kuongea mambo juujuu. Na kwa taarifa yako CHADEMA ilianza kuungwa mkono Kigoma baada ya kuwa chama Cha kwanza Cha upinzani kushinda ubunge mwaka 1992.
Chama cha kwanza cha upinzani kushinda ubunge mwaka 1992 😂
 
Pale kulikua hakuna kesi ni mda tu ulikua unasubiriwa hili hayo yatokee naomba kufahamishwa baada ya mahakama kufuta ua muzi wa chadema je kina Madee wataendelea kutambuliwa na chadema kama wanachama wao na ikiwa watakataa kuwatambua sheria inasemaje kwa anayejua naomba anijibu kisheria swali langu baada ya ma amuzi ya mahakama kufuta uamuzi wa baraza kuu chadema italazimika kuwatambua kama wanachama wao au haina ulazima kuwatambua sheria inasemaje juu ya hilo

Mahakama imetumia nguvu nyingi kuwakingia kifua akina Halima Mdee. Yani mahakama ilikuwa upande wao. Akina Halima walikuwa sio wananchama wa CHADEMA wakakata rufaa Baraza kuu, Baraza kuu likabariki uamuzi wa kamati kuu. Ila mahakama inasema wajumbe wa kamati kuu ndio walikuwa wajumbe wa Baraza kuu hivyo waliadhiri maamuzi. Sasa itakuwaje mjumbe wa kamati kuu bila kuwa mjumbe wa Halmashauri kuu?.
Na kweli sidhani hata kwa vyama vingine wajumbe wa kamati kuu ni tofauti kabisa na wajumbe wa halmashauri kuu. Kuna wajumbe ambao kutokana na kuwa katika organ fulani ya uamuzi wa chama wanakuwa pia wajumbe wa organ nyingine. Vinginevyo chama hakiwezi kwenda kwa kukosa harmonisation na continuity.
 
Kati ya mtu aliyetumia taaluma na imani yake ya dini sawasawa inapokuja suala la CCM na mikakati yake ni Dr. Tulia Ackson

Leo chadema wanasema wanamwandikia barua kumkumbusha sidhani kama ataruhusu hata ipokelewe.

Ikumbukwe yeye kama yeye tu kafika hapo alipo kwa sababu ya figisu so kwake haki siyo msingi wa nafsi.

Akiwasikiliza niiteni Tembo
Huna akili hata ya kwenye kisoda tu
 
Mahakama imejichanganya kwenye kutekeleza maelekezo, Bunge haliwezi kurudia makosa kwenye kufuata maelekezo
 
Wataendelea na ubunge hadi uchaguzi ujao,najua watashinda wabunge wachache wa upinzani kwenye uchaguzi ujao au wasishinde, je hao covid baaada ya uchaguzi wakifoji tena barua ya kuwa wameteuliwa viti maalum chadema mbona watarudi tena bungeni,..duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya mtu aliyetumia taaluma na imani yake ya dini sawasawa inapokuja suala la CCM na mikakati yake ni Dr. Tulia Ackson

Leo chadema wanasema wanamwandikia barua kumkumbusha sidhani kama ataruhusu hata ipokelewe.

Ikumbukwe yeye kama yeye tu kafika hapo alipo kwa sababu ya figisu so kwake haki siyo msingi wa nafsi.

Akiwasikiliza niiteni Tembo
Sitakuita tembo sababu hatawasikiliza.
 
Huku kwa wangoni tembo ni jina zuri tu, tutakata rufaa mahakama ya Rufani, kule kesi itakaa miaka miwili au mitatu, kule kuna foleni ndefu.

Tulia akishapewa notice of appeal, anauachia muhimili pendwa ufanye kazi yake.

Mihimili inacheza kama pacome zizzou au Nzegeli, huyu kampa huyu, huyu kampa Yule, mpaka 2025 August refa anamaliza mechi kwa kuvunja bunge
 
Hivi ile michango wanayokamua wananchi maskini kwenye mikutano unafikiri ni hela ndogo?embu fikiria ruzuku ya bilion mbili kila mwezi na hata ofisi hawana ?cdm ni zaidi ya ngombe wa maziwa.
Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu hapa jukwaani, chama pekee kinachofikisha ruzuku ya Bilioni Moja @month ni ccm. Hakuna chama chochote kinafikisha hata 120m kwa mwezi. Kwa figure hii ndio nimejua naongea na mjinga mwenye umri mkubwa.
 
Aiseeh! Tangu lini CHADEMA ikapokea bilioni mbili kwa mwezi?. Kwanza unajua hata CCM yenyewe haipokei Ruzuku ya bilioni mbili kwa mwezi?. Tuache kutunga mambo ya uongo
Nini? Uwongo ndiyo mtaji wa Watz wengi. Na siyo uwongo tu, bali pia kujikombakomba.
 
Yule jamaa ndio kaleta yote haya. Kaharibu uchaguzi mkuu kakimbia kwenda kuwanunua akina mdee. Aiseeh Dunia haina haki.

Mhusika mkuu katika yote haya ni Mbowe. Hakuna sababu tena ya kupigapiga maneno mengine pembeni.
Ni kweli, walichofanya kina Mdee baraka za Mbowe zinaonekana japo CDM hawawezi kukiri hilo, hivyo Mbowe ni sehemu ya hili tatizo.

Tindo zitto junior
 
Haya hapa ni baadhi ya Maelezo ya Jaji .

View attachment 2842497
Kama tulivyotarajia , Jaji ameamua hivi .

View attachment 2842542

====

Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam imewapa ushindi Halima Mdee na wenzake 18 kwenye kesi yao waliyoiwasilisha Mahakamani hapo dhidi ya Uamuzi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wa kuwafukuza uanachama Wabunge 19 wakituhumiwa kwenda Dodoma kuapishwa bila idhini ya Chama.

Akisoma Hukumu hiyo Jaji Cyprian Mkeha amesema kitendo cha wajumbe wa Kamati Kuu iliyowafukuza kuwa tena wajumbe wa Baraza kuu ambalo lilisikiliza rufaa yao kinaondoa uhalali wa maamuzi ya Baraza Kuu "Baraza Kuu lilikwenda kinyume na kanuni ya kawaida ya kutokupendelea

Hapa kunaweza kuwa na jambo ambalo hatulijui!!! Chadema ruzuku si wanapokea??

Kama ndio inamaana hao wadada wapo kihalali bungeni!!! Mwenyekiti wa chadema anajua mengi na ndo sababu yupo kimya.....

Chadema endeleeni kula ruzuku na hawa wdada mkae nao myamalize warudi chamani, maana pia niwa pambanaji hawajawai kukubali kuwa wao ni ccm
 
Back
Top Bottom