Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kwani nimeuliza ujinga?😎Ndio nimekupa kazi ya kufanya ili uache kuuliza ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nimeuliza ujinga?😎Ndio nimekupa kazi ya kufanya ili uache kuuliza ujinga
Amekumbatia ghiliba za ccmHongera Mdee kwa kukataa udikteta wa Mbowe
Samwel Doe alifanya hivyo 1980 baada ya kupindua kwa kuona wapo viongozi walinajisi katiba ya nchi kwa kiwango cha beyond negotiable na ni kupoteza muda kufanya kesi nao.Upuuzi tu... Kwahiyo wakishindwa watarudisha pesa za umma?, Na hao waliowapisha watachukuliwa hatua gani?. CCM na viongozi wake ni wakuwaua tu.
Samwel Doe alifanya hivyo 1980 baada ya kupindua kwa kuona wapo viongozi walinajisi katiba ya nchi kwa kiwango cha beyond negotiable na ni kupoteza muda kufanya kesi nao.Upuuzi tu... Kwahiyo wakishindwa watarudisha pesa za umma?, Na hao waliowapisha watachukuliwa hatua gani?. CCM na viongozi wake ni wakuwaua tu.
Angekuwa na PhD asingempokea mtu aliyetolewa gerezani usiku na kuapishwa ubunge.Tunakumbushana tu
Lolote laweza kutokea
Mh Dr Tulia Mwansasu PhD ni Spika wa Dunia nzima
Mlale Unono [emoji3][emoji3]
CCM mwisho wao upon tu, mtu katolewa gerezani usiku na kuapishwa ubunge, huu ushetani mwasisi wake shetani.Hongera Mdee kwa kukataa udikteta wa Mbowe
Kuna wakati najiuliza huu uvunjwaji wa katiba na taratibu za chama uliosemwa na jaji ulifanywa na chama chenye magwiji ya sheria kama inavyosemwa??? Hivi profesa Safari na Lissu walikuwa sehemu ya haya??? Kama jibu ndiyo, itoshe kusema hapana kwa wanachodai wanapigania
Haihusiani
Kaka wewe unachosema sheria iwe ni busara na sio msumeno.
Sijui hukumu imeelekeza vipi. Ila ninachokiona baraza kuu la chadema inabidi liitishwe upya bila wajumbe wa kamati kuu. Ndio ngoma iamuliwe.
Hili jambo chadema wawe nalo makini. CCM wanaweza watengenezea sarakasi wakafika serikali za mitaa wakiwa wamevurugana.
Ni wanachama pending appeal ya baraza kuu.
Mganga wa Halima sio tapeli.
Wala haijabatilisha rufaa ya akina Mdee. Kilichobatilishwa ni maamuzi ya rufaa yao, hivyo CDM wanapaswa kufanya kikao halali kujadili hizo rufaa kama muda unaruhusu kisheria.Mahakama haijabatilisha maamuzi ya kamati kuu.
Ndio tukubaliane na Rostam kwamba Majaji wa Kisutu na Mahakama Kuu wanapigiwa simu moja tu na wanafanya maamuzi. Ndicho kinachotokeaJaji kapewa hukumu toka Magogoni kwenda kusoma hukumu ambayo hakuandika yeye
Kwa kweli hii hukumu imefungua pandora box. Vyama vyote vya siasa vina tatizo hii.Duh! Umeelewa order ya mahakama?. Katiba ya CHADEMA inatambua ya kwamba wajumbe wa kamati kuu pia wanakuwa wajumbe wa Baraza kuu. Sasa hapo katiba gani imevunjwa?. Utakuwa na Baraza kuu bila mwenyekiti wa chama, Katibu mkuu, Makamu mwenyekiti, mweka hazina etc?.
Mahakama imeamua kutumia tafsiri yake ili kuwachomoa akina Halima Mdee bila kuangalia reality ya muundo wa chama Cha CHADEMA.
Ukichunguza kwa umakini unaona kabisa Kuna jambo haliko sawa katika katiba na ili kumove on ni lazima libadilishwe. Kimsingi kosa lililofanyika ni kosa la wazi kiasi kwamba hata kulikuwa hakuna haja ya kupoteza gharama na muda wa kupambania jambo ambalo matokeo yake yalikuwa yanajulikana. Uamuzi wa kifukuzwa ulikuwa sahihi ila hii ya kujisikiliza mwenyewe daah!!! Very common mistakeDuh! Umeelewa order ya mahakama?. Katiba ya CHADEMA inatambua ya kwamba wajumbe wa kamati kuu pia wanakuwa wajumbe wa Baraza kuu. Sasa hapo katiba gani imevunjwa?. Utakuwa na Baraza kuu bila mwenyekiti wa chama, Katibu mkuu, Makamu mwenyekiti, mweka hazina etc?.
Mahakama imeamua kutumia tafsiri yake ili kuwachomoa akina Halima Mdee bila kuangalia reality ya muundo wa chama Cha CHADEMA.
Duuuh,!
CHADEMA wakienda Mahakama rufani wanashinda. Mahakama kuu ni kama Mahama ya Mwanza Manzese tu. Afadhali hata Mahakama ya Hakimu Mkaazi kuliko Mahakama Kuu.
Mahakama Kuu ya Bongo ni sehemu ya ku sodomy sheria
🌈Chadema bhana 😂 itafika 2050 na bado mtaendelea kumlaumu JPM, michongo yote ifanywe na mume wenu Mbowe halafu mnakuja kumlalamikia JPM
NA BADO MTALALAMIKA SANA TUUU.