Hao Covid19 hawana ridhaa yetu wameghushi na kuingia Bungeni kitapeli.Kwani mkipeleka hao virusi vipya Delta 22 ndo kodi zetu hazitakamuliwa?
Au kwa vile ni nymba ndogo hamna uchungu na kodi zetu?
Aliyekwambia kaenda kwa ticket ya chadema nani? Mmeshawafukuza acheni kuwafatafata.Wanajipendekeza kwa CHADEMA ila CHADEMA imewakataa, hyo trickni ya aibu tu ya kutimuliwa Bwashee
Dah....mabushiloyaz wanasema...sababu kuu ya kufukuzwa uanachama ni usaliti....usaliti wa kupinga uchaguzi mkuu.....Kama Bunge likikubaliana na kufukuzwa kwao.....kihisabati litakuwa limekubaliana na hoja za chadema....hivyo Bunge litavunjwa....Mama atakaa pembeni.....uchaguzi utarudiwa....nimesikia tu haya kutoka kwa mabushiloyaz 🤣🤣🤣🤣🤣Spika atasema kwamba hajapata barua rasmi kutoka chadema inayo mtaarifu kwamba wamefukuzwa uanachama.
Ama kama amepata barua kutoka chadema, atasema kwamba hana taarifa rasmi kutoka kwa msajili wa vyama vya siasa.
Baada ya hapo bunge litalipuka kwa shangwe na kisha spika atatangaza kwamba yeye anawatambua kama wabunge halali wa chadema.
Mtu kafa mwaka sasa bado unauona uchafuwake?Hii nchi magu alitaka kuiharibu ona sasa uchafu wake ulivyo
Wanawake wanaovaa magwanda ya Chadema wanaweza!
Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hizi mbwa zinawahi miti ya mbogamboga tu ziache ziendelee kukalia
Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Ngoja tuone
Covid 19 hawana mshipa wa aibu
Chadema imewakataa kea asilimia 97
Mnachezewa pichatu, juzitu lowasa mlikuwa mnamsafisha nakumtandikia makanga chini apite, mmechezeshewa kipanya sasaivi karudi Ccm maisha yanaendelea mmnakodoa mimachotu hamjui mnachotaka.Hayo ni mapambio chadema ni mpango wa Mungu, Kama hawatajibu mamlaka Mungu atajibu,
Kwanza wanaonesha upunguani kwamba hata katiba ya nchi hawajui ,na wapo pale hata kanuni za Bunge hawajui ,unaendaje bungeni wakati huna chama ,watapigwa na fedhea sio ya nchi hii, watu wamengangana mfunga Mbowe imeshidikana sasa wanadhani wanaweza shindana na chama chao
Ndio mkuuHivi mahakama inaweza kutengua maamuzi ya baraza kuu la chama? Nauliza tu
Waendelee kula pesa ya umma kwa urefu wa kamba zao.Sisi tutaendelea kula nyasi kama mifugoHakuna shida, wao waendelee kuwemo tu.
Ni kweli mkuu.Katiba inaruhusu ata mtu asipokuwa na chama anaweza kuwa mbunge.Swali Je Mdee ataacha lini kuvaa sare za CHADEMA?Hao COVID 19 mbona bado wapo wapo sana mjengoni. kufukuzwa uanachama katikati ya utumishi wa ubunge hakuwavui ubunge!! hao waliapishwa kuwa wabunge hadi miaka mitano iishe
Walizungumza nini na Chief Hangaya?Mbowe juzi alikuwa Ikulu
Je walisaini dispatch?Ni kweli mpaka CDM watakapo Pelikan taarifa rasmi kwa speaker (naye ata apply her mind)J
Sisi ni shit hole countryhii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.