HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

Historia ya mgogoro huu ni ndefu sana sana sana kwakuwa lazima uanzie kuleeee kwa akina Nabii Ibrahi na wake na watoto wake, utawala wa waingereza Palestine, mauaji ya wayahud kule ujerumani na mataifa mengine, nguvu za wayahudi raia wa Marekani, maamuzi ya UN kuhusu Palestine na Israel, mataifa ya kiarabu hasa Egypt, Syria, Jordan, Lebanon, Iran, nk. Ni hadithi ndefu sana.

Lakini yote kwa yote Israel iliivamia na kuikalia Palestine kwamsaada wa Uingereza na Marekani.

Kavulata:

Umsema hivi......nanukuu....

" Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini."

Basi tueleze angalau roles za Waingereza na Marekani kuikandamiza Palestina 1967? It seems your very blind on what happened on 1967!
 
Historia ya mgogoro huu ni ndefu sana sana sana kwakuwa lazima uanzie kuleeee kwa akina Nabii Ibrahi na wake na watoto wake, utawala wa waingereza Palestine, mauaji ya wayahud kule ujerumani na mataifa mengine, nguvu za wayahudi raia wa Marekani, maamuzi ya UN kuhusu Palestine na Israel, mataifa ya kiarabu hasa Egypt, Syria, Jordan, Lebanon, Iran, nk. Ni hadithi ndefu sana.

Lakini yote kwa yote Israel iliivamia na kuikalia Palestine kwamsaada wa Uingereza na Marekani.

Kavulata......nanukuu...

"Lakini yote kwa yote Israel iliivamia na kuikalia Palestine kwamsaada wa Uingereza na Marekani."

Ni lini Israel ilivamia na kuikalia Palestina kwa msaada wa Marekani......Ni lini Mkuu..? Au na wewe umekaririshwa wimbo, bila kujua umetungwaje....Huo Uvamizi ulifanyika lini Mkuu?
 
Israel ikianza kuwachaka Hamas mnalia lia haya ni mauaji ya kimbari wanauawa wanawake na watoto ila sasahivi mnashabikia vitendo vya Hamas
Hatujawahi kulalamika hamas akifa akifa hamas tunashangilia

Mkiua watoto na kina mama lazima mtaambiwa

Mnasema hamas wapo mapangoni badala muwafate mukawafyeke munaenda kupiga hospital

Halaf mnataka msiambiwe pambaneni na hamas kama kuna atakae sema hata.
 
Hilo swala wanawake na watoto tunajua ni propaganda za wavaa kobazi kutafuta huruma za kimataifa kuonyesha wapalestina wanaonewa ili hali walienda kuichokoza Israel wenyewe mpaka sasa imejulikana magaidi wa Hamas wanaiba misaada ya wananchi wa Gaza kwa shughuli za kigaidi pia pia magaidi wanavaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano huvaa uniform zao kigaidi kipindi cha parade na au wanapoonyesha picha kipropaganda pia magaidi wa Hamas wanaongoza wizara ya afya ya Gaza na hutangaza vifo vya magaidi wa Hamas kama vifo vya wanawake na watoto wa kipalestina
Toka lini magaidi wa kizayuni na shosti zake mkawaonea huruma watu wa Palestine

Pambaneni na hamas acheni kuonea onea watoto enyi magaidi
 
Kaka Israel ikipoteza mtu mmoja kwao ni hasara kubwa mno mno mno! Israel pale gaza inapoteza askari wengi sana, vifaru na magari yao ya kivita mengi kuliko walivuotegemea na kutarajia, wanapigika. Israel inaua raia wanawake na watoto wengi lakini sio wanajeshi wa hamas. Hamas wanatumia silaha za bei rahisi (al yasin- 105) kuharibu vifaru ghari sana. Israel pale imeshazidiwa inasaidiwa na majeshi kutoka marekani, ufaransa na uingereza (Nato). Hata wao inawashangaza sana namna hamas ilivyopanga na kutekeleza kwa usahihi zoezi la kuvamia kambi za jeshi, kuwaua askari Na kuwateka raia bila mifumo yao ya ulinzi kugundua.
Kama Israel imepoteza.
1. Maandamo ya wavaa kobazi London ya nini?
2. Sasa hivi mnaenda CJ kutafuta huruma.
Kiufupi GAZA inatia huruma, mji umekuwa magofu na haifai tena kwa kuishi
 
Nani kakwambia wanaokufa ni wanawake na watoto tu? Hachana na propaganda za Waarabu, watu wa jinsia zote wakiwemo wapiganaji wa Hamas wanauawa. Hamas yenyewe kwa sasa wanajutia kitendo walichokifanya kwasababu pamoja na kushikilia na pengine kuwauwa mateka wa Kiyaudi, lakini wao ndiyo waathirika wakubwa kwenye haya mapigano.
Alokwambia kama hamas wanajutia nani

Kama wangekua wanajutia wangekua washatekeleza masharti ya mazayuni ila hawana wanachokijutia
 
Kama Israel imepoteza.
1. Maandamo ya wavaa kobazi London ya nini?
2. Sasa hivi mnaenda CJ kutafuta huruma.
Kiufupi GAZA inatia huruma, mji umekuwa magofu na haifai tena kwa kuishi
Uliwaona hamas wanaandamana sehem gani
Uliwaona hamas wanaenda icj sehem gani

Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
 
Wameuawa wapalestina zaidi ya 23,000 dhidi ya waisrael 1,000 na kibano Bado kinaendelea huko Gaza na Kwa mtamzamo wako unaona mmeshinda vita,,DINI nyingine kuzitofautisha na ugaini ni vigumu,TATIZO uelewa kaka
Uhuru huambatana na gharama kubwa zaidi

Ila lazma mtakua na heshma na hamas na wapalestine wote
 
Hajielewi mleta mada Kuna nchi hazichokozwi Mfano hata Marekani na uwezo wao mkubwa wa kijasusi walivamiwa September 11 miaka ile Marekani na Magaidi wa Alkaeda akina Osama kilichofuata walipinduannchi kibao wafadhili wao na kuwaua kuanzia Osama,Gaddafi ,Raisi wa Iraki Sadamu Hussein,Kuvamia Somalia , Afghanistan na Arab Spiring iliyoondoa maraisi kibao Kwa kipigo Cha mbwa Koko Cha kivita

Nchi kama Marekani na Israel ukichokoza jiandae maghorofa kulazwa chini na kugeuzwa viwanja vya mpira na ndicho kinafanyika Gaza Sasa hivi miji imekuwa viwanja vya mpira utafikiri hazijawahi kuwepo nyumba.Visima vyote vya maji ya kunywa wamefukia na vifusi vilivyochanganywa na nzege

Miundo mbinu yote ya umeme wameharibu na kung'oa Hadi nguzo na kuziteleteza Kwa moto

Madaraja,mabarabara wameya chimbua kuwa mashimo

Hata vita iishe wapalestina wa Gaza itawachukua miaka sio chini ya mia moja kurudisha Hali ilivyokuwa

Yote wameyataka wenyewe wasingevamia Wayahudi Wala walikuwa hawana mpango wa vita
Ndio umejitutumuuua kuandika samahani ila umeongea utumbo mtupu
 
Uliwaona hamas wanaandamana sehem gani
Uliwaona hamas wanaenda icj sehem gani

Hamas kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Huwezi kushindana na malaika mtoa roho Izrael ukatoboa.
Wale magaidi wa Yemen waliokuwa wanalipua meli za Israel, usiku wa kuamkia leo wamepelekewa fire😁😁😁
Ukae kwa kutulia na wenzako wasiende ICJ wala kuandamana na Hamas washikilie hapo hapo😁😁😁
 
Uhuru huambatana na gharama kubwa zaidi

Ila lazma mtakua na heshma na hamas na wapalestine wote

Heshima ipi mkuu....Gaza 85% Wanaishi kwente UN tents....hata Pedi za akina mama ni za msaada...! Usifurahise baraza.....Mnashinda vita....? Sasa hayo Maandamano ulimwenguni ni ya nini hasa...?

The demonstrations are part of a “global day of action for Palestine” and to call for an end to the bloodshed that has killed 23,843 people and wounded more than 60,317, according to Palestinian health officials. (Source : Aljezeera)

Au hizi ni taarifa za uongo?
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
Kwa hiyo Hamas bado ina nguvu ya kuthubutu kuingia tena Israel na kuteka vibibi vizee na kuchinja watoto kama Oktoba 7! Makamanda kibao wa Magaidi wa Makamasi wameuwawa hadi huko nje ya nchi walikokimbilia mnajitoa ufahamu! Na kiongozi wao Yahya Sinwar kakimbia na kujificha mashimoni, hata Osama na Saddam walikimbia na walijificha wakapatikana tu. Watoto wa Gaza wanatumiwa kama ngao na makamasi lazma watauwawa.
 
Heshima ipi mkuu....Gaza 85% Wanaishi kwente UN tents....hata Pedi za akina mama ni za msaada...! Usifurahise baraza.....Mnashinda vita....? Sasa hayo Maandamano ulimwenguni ni ya nini hasa...?

The demonstrations are part of a “global day of action for Palestine” and to call for an end to the bloodshed that has killed 23,843 people and wounded more than 60,317, according to Palestinian health officials. (Source : Aljezeera)

Au hizi ni taarifa za uongo?
Darfur weusi wanaouwawa na waarabu janja weed hamuwaoni mnaona Gaza tu waliowachokoza Israel, waislamu wa Rohindra wanauwawa hamuwaoni mnaona Gaza, waislamu China wanafungiwa makambini hamuwaoni mnaona Gaza, kweli Mwarabu ame brainwash watu makosa yake aonekane anaonewa na wao ndiyo wenye haki tu duniani.
 
Uhuru huambatana na gharama kubwa zaidi

Ila lazma mtakua na heshma na hamas na wapalestine wote
Kwa hizi kelele za wavaa kobazi zinavyopigwa lazima mtawaheshimu Israel
Thamani ya muisrael mmoja ni sawa wapelestina 10, mpk sasa wapelestina wengi wamekufa na Israel hangalii mtoto sijui mwanamke sijui mwanaume wote ni kichapo tu.
Sasa hivi wewe na wenzako mnafanya ibada ya kuiombea Palestina, wengine wapo ICJ na wengine wanaandamana
 
Uhuru huambatana na gharama kubwa zaidi

Ila lazma mtakua na heshma na hamas na wapalestine wote

Darfur weusi wanaouwawa na waarabu janja weed hamuwaoni mnaona Gaza tu waliowachokoza Israel, waislamu wa Rohindra wanauwawa hamuwaoni mnaona Gaza, waislamu China wanafungiwa makambini hamuwaoni mnaona Gaza, kweli Mwarabu ame brainwash watu makosa yake aonekane anaonewa na wao ndiyo wenye haki tu duniani.

Kuna brainwashing ya hali ya juu mno! Hakuna facts za history......Hata haileweki ni imani ya dini au nini.....Kelele ni occupation....genocide ya Gaza tu......Wanalianzisha wanashindwa kulimaliza....
 
Back
Top Bottom