HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

HAMAS kuipiga Israel ni somo kali kwa watawala wote

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Israel ikianza kuwachaka Hamas mnalia lia haya ni mauaji ya kimbari wanauawa wanawake na watoto ila sasahivi mnashabikia vitendo vya Hamas
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
VITA ijayo itahusisha sana akili bandia (artificial intelligence) ili kupunguza matumizi ya askari binadamu zaidi vitani, kutathimini eneo la vita na kufanya maamuzi ya ya haraka na kulenga adui kwa usahihi zaidi.

"Artificial Intelligence presents the potential to improve future military operations by enhancing decision-making, combat effectiveness, and operational efficiency. The U.S. military is already harnessing AI for autonomous reconnaissance and combat systems, data analysis, and cybersecurity"

"Using AI in advanced military software and technologies can provide safety to soldiers, reduce human labor, and improve decision-making"

"Artificial Intelligence-AI is being used to sift through satellite images and drone video feeds, and that helps militaries then better understand what's happening on the battlefield, make decisions faster, and then target the enemy faster and more accurately"

"The advantage of 'Artificial Intelligence is improved speed and accuracy: AI systems can process massive amounts of data quickly and accurately, allowing military intelligence agencies to gain insights faster and more precisely. Gives systems the ability to react at gigahertz speed, which could also the overall pace and outcome of human combat"

"Challenges: Autonomous weapons, ethical dilemmas, data vulnerabilities, the AI arms race, and human-machine collaboration all pose significant challenges that require comprehensive solutions"

"How is AI used by the military defense: Using these advanced technologies helps to detect border intrusions, target classification, and enhance the accuracy of defense operations"

"AI alone cannot outrightly eliminate the possibility of war, rather it can contribute to conflict prevention and resolution"
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Israel kuichakaza Gaza somo Kwa Magaidi Wote. Gaza imefanywa Magofu Hamas wamekimbia
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Somo ni reaction ya Israel kwa sasa kuwa kikundi hakiwezi kuvamia nchi yenye bendera yake pale new York

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Israel ikianza kuwachaka Hamas mnalia lia haya ni mauaji ya kimbari wanauawa wanawake na watoto ila sasahivi mnashabikia vitendo vya Hamas
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.

Hamas ndio ameshinda umeridhika?.
 
Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?

Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.

Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Yaani nimekuja kasi nikafikiri HAMAS wamevamia tena!
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
Hilo swala wanawake na watoto tunajua ni propaganda za wavaa kobazi kutafuta huruma za kimataifa kuonyesha wapalestina wanaonewa ili hali walienda kuichokoza Israel wenyewe mpaka sasa imejulikana magaidi wa Hamas wanaiba misaada ya wananchi wa Gaza kwa shughuli za kigaidi pia pia magaidi wanavaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano huvaa uniform zao kigaidi kipindi cha parade na au wanapoonyesha picha kipropaganda pia magaidi wa Hamas wanaongoza wizara ya afya ya Gaza na hutangaza vifo vya magaidi wa Hamas kama vifo vya wanawake na watoto wa kipalestina
 
Sasa watu 1000 ndo israel kapigwa ndugu mhandishi?
Na mbona mnalalamika mauaji ya kimbari
Kaka Israel ikipoteza mtu mmoja kwao ni hasara kubwa mno mno mno! Israel pale gaza inapoteza askari wengi sana, vifaru na magari yao ya kivita mengi kuliko walivuotegemea na kutarajia, wanapigika. Israel inaua raia wanawake na watoto wengi lakini sio wanajeshi wa hamas. Hamas wanatumia silaha za bei rahisi (al yasin- 105) kuharibu vifaru ghari sana. Israel pale imeshazidiwa inasaidiwa na majeshi kutoka marekani, ufaransa na uingereza (Nato). Hata wao inawashangaza sana namna hamas ilivyopanga na kutekeleza kwa usahihi zoezi la kuvamia kambi za jeshi, kuwaua askari Na kuwateka raia bila mifumo yao ya ulinzi kugundua.
 
Magaidi ya Hamas yamepata funzo zito sana hayatawahi kuja kuivamia kipuuzi, Israel ni moto mkali.
Hata hujui kitu wewe kuhisu Hamas. Hamas no wapalestone kwao no heri ya kufa kuliko kuwa chimi ya wayahudi, hawaogopi kufa hata kidogo. Hata walivyoivamia Israel walijuwa kuwa Israel itawaua watu wengi sana Na walijua kuwa Israel itafanya hivi inavyofanya sasa lakini Hamas imefanikiwa sana kuwaua wayahudi wengi pamoja Na kuunganisha ulimwengu ambao ulikaa kimya juu ya mateso yao yanayotokana Na udhalimu wa Israel. Leo hii kesi ya kuwatetea wapalestine iko The Hague, ICC,
 
Hilo swala wanawake na watoto tunajua ni propaganda za wavaa kobazi kutafuta huruma za kimataifa kuonyesha wapalestina wanaonewa ili hali walienda kuichokoza Israel wenyewe mpaka sasa imejulikana magaidi wa Hamas wanaiba misaada ya wananchi wa Gaza kwa shughuli za kigaidi pia pia magaidi wanavaa nguo za kiraia kipindi cha mapigano huvaa uniform zao kigaidi kipindi cha parade na au wanapoonyesha picha kipropaganda pia magaidi wa Hamas wanaongoza wizara ya afya ya Gaza na hutangaza vifo vya magaidi wa Hamas kama vifo vya wanawake na watoto wa kipalestina
Ingekuwa hivyo hata vita yenyewe ingeshakwisha kwa siku 6 tu.
 
Israel inawachakaza wanawake na watoto au Hamas? Hebu tutajie Makamanda wa Hamas wanaojulikana waliouwawa tangu uvamizi wa ardhini takribani miezi 3 sasa?
Malengo yote ya vita mpala sasa ni siku 96 hayajafanikiwa.
Mateka hawajakombolewa, Hamas bado haijaangamizwa tunachojionea ni mapambano kati ya pande 2.
Nani kakwambia wanaokufa ni wanawake na watoto tu? Hachana na propaganda za Waarabu, watu wa jinsia zote wakiwemo wapiganaji wa Hamas wanauawa. Hamas yenyewe kwa sasa wanajutia kitendo walichokifanya kwasababu pamoja na kushikilia na pengine kuwauwa mateka wa Kiyaudi, lakini wao ndiyo waathirika wakubwa kwenye haya mapigano.
 
Nani kakwambia wanaokufa ni wanawake na watoto tu? Hachana na propaganda za Waarabu, watu wa jinsia zote wakiwemo wapiganaji wa Hamas wanauawa. Hamas yenyewe kwa sasa wanajutia kitendo walichokifanya kwasababu pamoja na kushikilia na pengine kuwauwa mateka wa Kiyaudi, lakini wao ndiyo waathirika wakubwa kwenye haya mapigano.
Hizo zako ndio propaganda zenyewe zilizowapoteza watanzania wenzetu 2 kule ambao walikuwa mamluki huko Israel.
 
Back
Top Bottom