HAMAS waanza kuomba vita viishe ili majadiliano yafanyike

Hii sasa ni chai ya moto isiyo na sukari kabisa.Unataka tukuamini kwa maneno matupu tu? Weka hapa source ya habari yako
 
Wayahudi wamekiri hawajawahi kuchezea kichapo kama walichochezea juzi kutoka kwa hamas toka nchi hiyo iundwe na muingereza 1948.

Bado hamas inawashikilia mateka majenerali wa kiyahudi:

Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu nenda kwa hiyo page ndiyo utajua moto unavyowaka Gaza,wanaume wanalia kama watoto wadogo.Kuna taharuki kubwa mno,hospital zimejaa kama wapo Sokoni K.koo.
Aisee nimwangalia mmhπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜•noma sn
 
Wayahudi wamekiri hawajawahi kuchezea kichapo kama walichicgez3a juzi kutoka kwa hamas toka nchi hiyo iundwe na muingereza 1948.

Bado hamas inawashikilia mateka majenerali wa kiyahudi:

View attachment 2777464
Hahaa sie yetu macho hapa...
Ingia kwenye page yenu pia,insta
'eye on Palestine '
Uone mambo
 
Wapalestina wana msimamo kuliko tunavyo jazwa ujinga.

Wacheni longolongo.

Your browser is not able to display this video.
 
Hahaa sie yetu macho hapa...
Ingia kwenye page yenu pia,insta
'eye on Palestine '
Uone mambo
Mbona hayo yapo siku nyingi sana, kabla hujazaliwa, kwani Wapalestina wameanaza kuuliwa na kulizwa leo au jana?

Au ulikuwa huyaoni?
 
Okay, nilikuwa sijui
 
πŸ˜‚ wacheni uwongo Hamasi silaha zake haziko kwenye majumba zipo underground hio kupiga majumba ni dalili ya udhaifu ya Israel anafikiria nikiwau wananchi Hamasi atakubali kusimamisha vita.
Israel is squeezing to the maximum where it hurts na hii ndio Dawa ya deal na watu offensive
 
Israel is squeezing to the maximum where it hurts na hii ndio Dawa ya deal na watu offensive
πŸ˜‚ taifa la mashoga na US wanatumia kila aina ya silaha kuvunja majumba pale Gaza na watu wameisha gundua US kaingia kwenye vita hi kumsaidia Israel.

Hizo silaha zinazopiga Gaza kuna zingine ni US tu ndio anazo alizitumia Afghanstan.

Kuna ndege zinaruka kutoka Jordan kupiga Gaza za US
 
Labda hamas wa kwenye kijijini unawajua Hamas wewe wao wameishafanya yao kama wana uwezo waulize hao mabwana zako mateka wao wapo wapi?
 
I do urge Israel to wave an exterminate war!😳😳😳😳😳😳 MK254
 
Hamas hawana kitu cha kupoteza. Qummaqe Israel amepigwa manyama nje manyama ndani. Hawa si wale hamas wa kurusha mawe
 
Labda hamas wa kwenye kijijini unawajua Hamas wewe wao wameishafanya yao kama wana uwezo waulize hao mabwana zako mateka wao wapo wapi?

Hehehe mbona wanachofanyiwa hawakutegemea, sijui labda mudi afufuke aje kuwaokoa....yaani kuna sehemu nimekumbana na mapicha mpaka nikaogopa, poleni sana.
 
Hehehe mbona wanachofanyiwa hawakutegemea, sijui labda mudi afufuke aje kuwaokoa....yaani kuna sehemu nimekumbana na mapicha mpaka nikaogopa, poleni sana.
please tuwekee hapa tuone
 
haya hawasemi, wanayakana

Huwa wanakwepa ila hilo lizee sijui liliwaroga, maana licha ya maovu yote lililokua likifanya huwa wanapotezea, hebu waza mzee wa miaka 50 na mijasho ya huko Uarabuni anachomeka dushe kwa katoto ka miaka 9, licha ya uovu wote huwa wanaliabudu.
Angalia hapo nje kabinti kokote ka miaka tisa halafu uvute picha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…