Huu hapa wa Ritz, nilikosea kusema wa The Boss:Title inasemaje
Ndio maana nakupendaga FaizaHuu hapa wa Ritz, nilikosea kusema wa The Boss:
Gazeti la Kiebrania "Haaretz" lilichapisha makala ya mwandishi mashuhuri wa Kizayuni-Ari Shavit
Wanaukumbi. Israeli ilikata pumzi yake ya mwisho Chini ya mada hii, gazeti la Kiebrania "Haaretz" lilichapisha makala ya mwandishi mashuhuri wa Kizayuni (Ari Shavit), ambamo amesema: Inaonekana kwamba tunakabiliana na watu wagumu zaidi katika historia, na hakuna suluhu kwao isipokuwa tu...www.jamiiforums.com
[emoji1146][emoji3538][emoji1134][emoji3517] Kamanda mwingine wanamgambo wa Israel kauwawa.... Another high-ranking member from the IDF: the deputy commander of the Baram brigade, Lieutenant Colonel Alim Abdallah, was killed on the border with Lebanon.HAMAS walihojiwa na kuomba vita viishe waingie kwenye majadiliano, ila Israel inaendelea kupelekea moto na imechukua na kukalia eneo lote la Gaza na imeamua kufanya kitu ambacho kitakua suluhu kwa hili tatizo kwa miaka 50 ijayo.
===============================
The radical Palestinian movement Hamas has announced its readiness to discuss a ceasefire with Israel, but has no intention of negotiating the fate of hostages while hostilities continue. It said the hostages included "dozens of people with dual citizenship".
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu, in an address to the nation, compared Hamas members with Islamic State (IS or ISIS, an organization banned in Russia) terrorists and vowed to defeat them "just like the enlightened world defeated ISIS."
TASS has gathered the main information about the conflict so far.
What conflicting sides say
Hamas representatives are "open to discussing a ceasefire with Israel," the movement said in a statement quoted by Al Hadath TV. At the same time, Hamas said it would not "negotiate prisoners under fire."
In an address to the nation, Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu compared Hamas to the Islamic State, insisting: "This enemy wanted war and this this is what they will get." Earlier, Israeli Foreign Ministry spokesman Lior Hayat said his country would not hold negotiations with Hamas and considered them impossible because of the declared state of war.
IN BRIEF: Hamas ready to discuss ceasefire but not hostages, Israel promises war
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu vowed to defeat Hamas members "just like the enlightened world defeated ISIS"tass.com
Na wewe kwa kutojitambua unashabikia uvamizi wa muda mrefu wa Israel kwenye ardhi ya Palestina...wakati huo huo bila shaka unalaani uvamizi wa Russia katika ardhi ya Ukraine!.... a double standards.Sasa wameona hawana pa kuchomokea ndipo wanaanza kuomba msamaha.... Unaanzishaje vita usiyoiweza....
Lengo la Israel ni kuichukua ardhi yote ya Palestina, Hamas walijichanganya kuingia cha kike, ule ulikuwa ni mtego. Sasa wanachukua ardhi yote ya Gaza
[emoji1146][emoji3538][emoji1134][emoji3517] Kamanda mwingine wanamgambo wa Israel kauwawa.... Another high-ranking member from the IDF: the deputy commander of the Baram brigade, Lieutenant Colonel Alim Abdallah, was killed on the border with Lebanon.
[emoji837] @DDGeopoliticsView attachment 2777846
Channel gani telegramNaomba maustadhi muingie kule Telegram aisei mnaweza mkajilipua mabomu hapo mlipo kwa mtakachoona kule, mimi mwenyewe ni shabiki wa Israel lakini sio kwa jinsi wanachokifanya, huu ushabiki wenu mngelijua yaani tu.
Ombaomba hafilisiki ndugu yangu! na muogope sana ambae hana cha kupoteza! Mtumwa mpigania uhuru hana cha kupotena.Mimi huko sipo lakini, njia inayotumiwa na na hao HAMAS, ni ya kuwaumiza wananchi wa kawaida tu, Huwezi ukaendelea kutumia njia ile ile ukitegemea matokeo tofauti ni ujinga.
Vita vya 2006 vya Israel na hizbullah vilikuwaje!?..au ulikua unaoga nje bado!?.. Israel Mara zote wamekua wakisaidiwa na mabwana zao uingereza na ufaransa na Sasa USA..si umeona USA wameogeza meli kubwa ya kivita kuliko zote duniani!?Hivyo vikundi vya Hazibullah na Hamas havina safari ndefu...
Vinaendelea kuifanya Israel kuzidi kuchukua ardhi ya Palestina. Israel haijawahi kushindwa vita tangu warejee nyumbani kwao, waarabu wanakula kichapo tu... Misri nae alichezea kichapo tu
Waisrael kelele tu,waume zao wamesogeza meli kubwa zaidi ya kijeshi na watawapa msaada wa silaha, intelligence hovyo..watu walipiga mpaka kuchukua mijiTatizo huko kwa madrassa hamfundishwi ilmu ya dunia "Hamas has announced its readiness to discuss a ceasefire with Israel"....
Isarel wanaendelea kusambaratisha
israel hasemi ila habari umeipata [emoji23][emoji23]Wacha uwongo hakuna sehemu Hamasi kaomba vita vishe walicho sema hawawezi kuongelea mambo ya matekwa wa Israel wakati kwa sasa wako vitani wacheni kutunga nyimbo za kuipaza Israel.
jana Israel kala kichapo kutoka kwa Hezbullah aliuwa wanajeshi wa tano wa Hezbullah akadhani Hezbullah atamuogopa US hatarudisha mashambulizi.
Hazibullah akawatwanga wa Israel hakuchukua hata nusu saa, camp mbili za Israel zikashambuliwa sijui waisrael wangapi wamekufa Israel hasemi, labda wengi tu wamekufa.
Israel aka fyata mkia aka kaa kimya hakujibu mapigo ya Hezbullah, walldhani Hezbullah wataogopa kitisho cha US [emoji23]
Hezbullah hawaogopi US na sikia sasa gazeti la Israel linasema nini kuhusu Hezbullah soma hapo chini
Hezbollah threatens US, as Russia sees ‘high risk’ of 3rd party entering conflict
waislam mnajuwa kujifarij , mkipigwa ngumi 50 bas nyiny mkipiga moja mnashagilia htr[emoji23] poleni sana kichapo mlichokipata mpaa US na Europe Union wamechanganyikiwa.
Israel hana jipya vifaru vitaishia kwenye maonyesho tu havita nusa Gaza.
Israel watakacho fanya ni kuvunja majumba tu na kufunga maji na umeme wanadhani wakiwakatia hivyo vitu wale jamaa wa Gaza wataitia pressure Hamasi asimamishe vita [emoji23]
Jeshi la saudia lenyewe limeingia pande gani maana israel ,marekani na saudi arabia wote lao mojaMajeshi ya ufaransa yameshaingia Jerusalem, majeshi ya Marekani yameshaingia ukanda wa pwani ya Gaza.
Siamini kama Hamas wafanye hivyo ingawa kwa silaha zao za tabata.
Wamelizuwia jeshi zima la wayahudi kwa siku tatu, mpaka wayahudi wameomba msaada kwa mabwana zao.
waislam mnajuwa kujifarij , mkipigwa ngumi 50 bas nyiny mkipiga moja mnashagilia htr
Yaani tunavyoshabikia utadhani tuna angalia sinema ambapo hakuna real victims. Ukipenda humanity huwezi kuwa na side kwa yanayotokea huko.Wacha uwongo hakuna sehemu Hamasi kaomba vita vishe walicho sema hawawezi kuongelea mambo ya matekwa wa Israel wakati kwa sasa wako vitani wacheni kutunga nyimbo za kuipaza Israel.
jana Israel kala kichapo kutoka kwa Hezbullah aliuwa wanajeshi wa tano wa Hezbullah akadhani Hezbullah atamuogopa US hatarudisha mashambulizi.
Hazibullah akawatwanga wa Israel hakuchukua hata nusu saa, camp mbili za Israel zikashambuliwa sijui waisrael wangapi wamekufa Israel hasemi, labda wengi tu wamekufa.
Israel aka fyata mkia aka kaa kimya hakujibu mapigo ya Hezbullah, walldhani Hezbullah wataogopa kitisho cha US 😂
Hezbullah hawaogopi US na sikia sasa gazeti la Israel linasema nini kuhusu Hezbullah soma hapo chini
Hezbollah threatens US, as Russia sees ‘high risk’ of 3rd party entering conflict
Waisrael kelele tu,waume zao wamesogeza meli kubwa zaidi ya kijeshi na watawapa msaada wa silaha, intelligence hovyo..watu walipiga mpaka kuchukua miji
Tatizo huwa mnadhani wapelestina wote waislam,mwandishi Abu akleh aliyeuwawa na Israel ni mkiristo,Kuna wakiristo palestinaUkivimbiwa ubwabwa naingia JF kuandika, haya hawa ndugu zako katika dini wanateseka Wapalestina 200,000 wabaki bila makazi, wanaishi kwa misaada ya Umoja wa Mataifa (UN)