Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Taifa la Israel lilikuwepo kabla ya ujio wa Yesu kristo. Je, hao wapelestina walikuwepo?Unawafanyishaje watu kazi kwenye nchi yao? Wayahudi waliingia palestina kama wakimbizi 1947 leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi . Ukiuliza eti Mungu wenu ndio alisema. Foolish
Paragraph yako ya kwanza hapo kuhusu Tanzania kutokuwa tayari kubadili msimamo wake dhidi ya Hamas waliowaua raia wake, kuliko kuwaunga mkono Israel waliowalinda raia wake umegusa pagumu kweli.Kati ya nchi zote ambazo zinaiunga mkono HAMAS na Palestine hakuna hata moja ambayo itabadili msimamo. Hata Tanzania haipo tayari kubadili msimamo wake wa kuiunga mkono HAMAS. Ipo tayari iwe kinyume cha Israel iliyo walinda mamia ya raia wake wanafunza, kuliko kuisaliti HAMAS iliyowaua raia wake.
Kwanza tangu lini serikali ya Tanzania has ever given a shit kuhusu maisha ya watu wake, wakati yenyewe tu ilikua ikifanya kama HAMAS kwa kuwasunda kwenye viroba huku akina Tundu Lissu wakimwagiwa risasi hadharani.
Tanzania na HAMAS ni mapacha.
Una shida ya afya ya akili kijana wa mnyaaziSawa tuseme nchi ni ya waisraeli tangu kale.
Sasa, Nchi ya asili ya wapalestina ni ipi?
Wapalestina walikuja Israel wakitokea nchi gani?
Hata mchawi akifiwa hulia pia Hamas na washirika wake nao wanalalamika Israel anaua wanawake na watoto. Sijui wao tukio la october 7 waliliona ni zuri?Nenda katoe msaada IDF wanakamuliwa mavi huko Gaza wao wanakazana kuuwa wanawake na watoto.
Hamas haikuua watoto pale Israel? Acha vitoto vyao navyo viuawe. Halafu wanayekamuliwa mavi ni Wapalestina wanaoishi kwa hisani ya Wayahudi tangu 1948.Nenda katoe msaada IDF wanakamuliwa mavi huko Gaza wao wanakazana kuuwa wanawake na watoto.
Wapuuzi hawa
Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Ngoja HAMAS wa Buza waje kushangilia. Mchana walitetea ndugu zào hawaui watu, Sasa wahusika wamekiri tusubiri sapoti mpya.
Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Wewe ni mpumbavuKwa hiyo kauli yao, hao magaidi hawaoni wamejigeuza kuwa maadui na nchi zote zenye raia wao ndani ya Israel?
Ajabu kuna wajinga wanaotetea ushetani unaofanywa na hawa magaidi, wakati wao wenyewe wanakiri kuua raia wasio raia wa Israel, tena wasio na hatia.
Hamas ni kundi lenye wanachama wajinga sana. Kutumia utetezi ukiwemo Nyerere kuwaunga mkono Palestina, Nyerere niliyemjua angewalaani hawa wahuni mchana kweupe, kama alivyowaunga mkono hao Palestina, hakuwa mnafiki.
Au kusema Vita ina "collateral damage", na mwingine wowote ni ujinga mtupu, mbona hatujaskia Israel wakiwaua raia wasio wa nchi yao kwa makusudi kama wafanyavyo Hamas?
- Kwanini hao magaidi wa Hamas wasiwe wanatoa ultimatum, kwa raia wasio wa Israel kuondoka kabla hawajaanza kuwateka na kuwaua?
Huo utetezi wa collateral damage unathibitisha Hamas ni wendawazimu, ningeuelewa kidogo endapo bomu lingetupwa sehemu liue mpaka raia wasio husika, lakini sio kuwachagua kabisa, kisha kuwapiga risasi individually. Never.
Hata kama mnasema vita haina macho, lakini mtambue wanaoipigana wana macho, tusifiche maovu ya hao wahuni kwa sababu zozote, wakemewe.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wayahudi hamlali
Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Punguza hasira. Wapalestina wanapigania uhuru wao. Wewe ungekua unaishi bila uhuru ungekubali?We ni lipumbavu limoja huwezi kusaidiwa,na hata hujui hapa kinaongelewa nini.
Wewe unaongea ujinga gani? Nguvu inayotumika kuifanya israeli ana exist unaijua wewe? Mpango ni huo uliopangwa mwala 1948 ndio huo unaoifanya iendelee kuwepo.Sasa kama unabisha kuhusu huo mpango, ilikuwaje mkimbizi uliyemkaribisha under your control aka-overturn na kuwa boss wa nchi yako? Una uhakika kwanye hili umeshirikisha akili?
Toka lini magaidi wakawa na Akili?Wanadhani kila Raia wa kigeni anaifahamu kwa undani historia ya mgogoro wao na israel. Humo humo israel kwenyewe kuna wasioiunga mkono hiyo vita.
Mbona hatukusikia wameteka ama kuwaua wapalestina waliokuwa wakiishi israel? Kitendo cha mtu kuwepo israel hai justify hicho wanachowafanyia.
Hawana akili ndiyo maana wametoa sababu ya kipuuzi sana isiyokuwa na mashiko.
False flag terror.
Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Kundi la Hamas limejibu kuhusu shutma mbalimbali zinazotolewa kwa kundi hilo kuwa limeua raia wa kigeni ambao hawahusiki na mgogoro wake na Israel
Hamas wamejibu tuhuma hizo kwa kusema kuwa raia wa kigeni kuuawa kunatuma ujumbe kwa mataifa mengine kuwa taifa haramu la Israel sio salama na raia wa nchi nyingine wasiwe wanaendelea kukaa huko,
Msemaji wao ameongeza kuwa raia wa kigeni kwenda Israel kwa ajili ya shughuli yoyote ni kama anaunga mkono taifa hilo haramu na hivyo naye ni muhusika kwenye vita yao isiyoisha dhidi ya Israel
Huo ndio ukweli angalia mayatima wangapi wanatengenezwa na vita, lazima wakae mezani wamalize kwa njia ya mazungumzo otherwise tutakufa tutawaacha wanauana kila siku siyo sawa kabisaHatari sana.
VITA NI USHETANI (KATAA VITA).
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mwambie christiano ronaldo maneno hayo halafu subiri akupe majibu yakoKila mpalestina kokote duniani auliwe!!
Nimeamini muarabu alilaniwa milele!!
Ndio maana kila wanakoenda kunageuka jangwa