Hamas wajibu sababu ya kuteka na kuua raia wa kigeni: Inatuma ujumbe taifa haramu la Israel sio salama kuingia

Unawafanyishaje watu kazi kwenye nchi yao? Wayahudi waliingia palestina kama wakimbizi 1947 leo hii wale waliowakaribisha ndio wamegeuka kuwa wakimbizi . Ukiuliza eti Mungu wenu ndio alisema. Foolish
Taifa la Israel lilikuwepo kabla ya ujio wa Yesu kristo. Je, hao wapelestina walikuwepo?
Yakobo, Suleman n.k wote hao ni wayahudi.
Miji yote ya Israel ilikuwepo sasa hao wapelestina ndiyo walijichanganya.
Mkitaka kuifuta Israel, mnabidi muifute Biblia isiwepo duniani hata kurasa moja
Naona FaizaFoxy unatumia ID ya kiume
 
Paragraph yako ya kwanza hapo kuhusu Tanzania kutokuwa tayari kubadili msimamo wake dhidi ya Hamas waliowaua raia wake, kuliko kuwaunga mkono Israel waliowalinda raia wake umegusa pagumu kweli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nenda katoe msaada IDF wanakamuliwa mavi huko Gaza wao wanakazana kuuwa wanawake na watoto.
Hata mchawi akifiwa hulia pia Hamas na washirika wake nao wanalalamika Israel anaua wanawake na watoto. Sijui wao tukio la october 7 waliliona ni zuri?
Huyo ndiyo yule malaika mtoa roho Israel huwa hachagui wa kumtoa roho
 
Nenda katoe msaada IDF wanakamuliwa mavi huko Gaza wao wanakazana kuuwa wanawake na watoto.
Hamas haikuua watoto pale Israel? Acha vitoto vyao navyo viuawe. Halafu wanayekamuliwa mavi ni Wapalestina wanaoishi kwa hisani ya Wayahudi tangu 1948.

Israel wanafanya territorial expansion ambayo Wapalestina hawana jeuri ya kufanya hiyo expansionism, yet unasema eti Waisrael wanakamuliwa mavi! Kweli huna akili.
 
Wapuuzi hawa
 
Ngoja HAMAS wa Buza waje kushangilia. Mchana walitetea ndugu zào hawaui watu, Sasa wahusika wamekiri tusubiri sapoti mpya.
 
Wewe ni mpumbavu
Wazayuni wanaporusha makombora na drones na kulipua makazi ya raia na kuua maelfu ya wapalestina indiscriminately na risasi unadhani wao wanaouawa ni nguruwe ?
Pumbavu
Unapokuwa kwenye line of fire ukabondwa ni tatizo lako ,Israel inajulikana ni war zone
Na propaganda zinazosambazwa na wazayuni kamwe ni mwendawazimu tu ndio ataziamini .
Hiyo miili Hamas wana facilities gani za kuhifadhi maiti muda wote huo ,wakati tunaambiwa hamna nishati hapo Gaza ?
Watu hata akili hawatumii
 
Wayahudi hamlali
 
Sasa kama unabisha kuhusu huo mpango, ilikuwaje mkimbizi uliyemkaribisha under your control aka-overturn na kuwa boss wa nchi yako? Una uhakika kwanye hili umeshirikisha akili?
Wewe unaongea ujinga gani? Nguvu inayotumika kuifanya israeli ana exist unaijua wewe? Mpango ni huo uliopangwa mwala 1948 ndio huo unaoifanya iendelee kuwepo.
 
Toka lini magaidi wakawa na Akili?
 
False flag terror.

Hamas wamelishwa maneno.

Hii ni movie. Kuna Allah akhbar imepachikwa.

Tufanye analysis kidogo.

Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?

Nina maswali:

1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?

3) 👉🏽Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?

4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?

5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.

Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.

Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Fanya analysis.

Ona jambo ktk uhalisia wake kwa kujiuliza.

Hiki ni nini

Kina maana gani wakati huu.

Usipopata majibu ya maswali haya utakuwa hujaona mambo ktk uhalisia wake.
 
Sitetei Hamas ila ninachokifahamu Hamas matamko yao hutolewa na msemaji wao Abou Obaida tangu vita vyao vya Oktoba 7.

Na matamko yao huwa nayapata imma yawe ya kifursi, kiarabu ama kingereza kwa sababu huwa nasaidiwa link na ndugu zangu waliyo Iran.

Tunaomba tusaidiwe tupatiwe video ya Abou Obaida akiisema hiyo kauli.
 

Kila mpalestina kokote duniani auliwe!!


Nimeamini muarabu alilaniwa milele!!
Ndio maana kila wanakoenda kunageuka jangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…