Hamas wameibamiza Israel kwenye kona baada ya kukubali kusitisha vita na kuachia mateka. Netanyahu alaumiwa na kila mtu

Kwa hiyo wewe furaha yako Israel aendelee kumwaga damu za waislam wenzako Gaza? Hao Us na wengineo wameona myahudi hatanii atawamaliza kweli, wameona huruma kwa watoto na akina mama hivyo wanabembelezwa Hamas waache kushupaza shingo
Maana wao wanakaa mapangoni Kama panya
 
Unaandika ujinga.Wangefutwa wote.
 
Hapo Rafah Kwenyewe Ni kama pale Kibera Nairobi ...Usije ukafikiri hawa waarabu wana akili NI ujinga mwingi tu. Ni vile elimu Yao ni dini ya kuua Hajui kingine
 
Sasa kama wanakaa mapangoni mbona bado askari wa kizayuni wanateketea kila uchwao na mapigano ni ya moto haswa?

Acha kulishwa upepo na mashoga dunia ya leo una vyanzo vingi vya kujipatia taarifa usisubiri propaganda za mashoga.
Ni kama watu walivyoaminishwa kwamba Israel ni taifa kuuuuubwa lenye minguvu na hakuna taifa lolote litakalothubutu kurusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Israel.

Ukweli ni kwamba Israel ni kama Burundi tu maana kamiminiwa mvua ya makombora na drones na Iran na zikapiga target kama Waajemi walivyojichagulia maeneo ya kupiga.

Amefanya niini huyo Zayuni zaidi ya kuingiwa baridi?
 
Hata kama hamas wakubali kusitisha mapigano lazima rafah ichakazwe magaidi wengi wa hamas wamejificha hapo
 
We ndio mjinga Israel hio si vita anayo pigana ni genocide tu.

Vita apigane na Hamas c kuvunja majumba, hospital, shule mpumbafu mmoja wewe.
Genocide wanasababisha hamas wenyewe kujificha ficha maeneo ya raia wa gaza na kuvaa kiraia kipindi cha mapigano kiufupi wamewageuza raia kama ngao hao hamas
 
Ama Hamas wawaache mateka au wasiwaachie kipondo kitabaki palepale hadi Israel itakapoona imeshiba

Hao mateka kwenye medani za kivita Israel inawachukulia kama ni maiti tayari
Israel haipigi Gaza kwa sababu ya mateka..... Nope
Israel inapiga Gaza kufyeka mtandao wote wa Hamass na kisha kuja kuweka ukoloni mpya wa kuwakalia kisawasawa kuhakikisha yaliotokea Oct 7 hayajirudii tena
 
Mkuu Israel ana muhadaa tu Hamas aachie mateka ila kipondo kipo palepale
Hamas wenyewe wanajua na ndio maana kila wanavyojaribu kufanya negotiation ili ku by time jamaa wanendelea kutwanga tu
 
We ndio mjinga Israel hio si vita anayo pigana ni genocide tu.

Vita apigane na Hamas c kuvunja majumba, hospital, shule mpumbafu mmoja wewe.
Sasa mkuu kama unageuza majumba ya watu, hospitali, shule, miskikiti kama vituo vya kufanyia mashambulio ulitegemea nini?
 
Netanyahu alishasema siku nyiiiingi kwamba Rafah itapigwa tuu kuwe/kusiwe na usitishaji mapigano!.
Anajaribu kujitoa kimasomaso baada mkakati wake wa kuhakikisha mateka wanakombolewa kwa mabavu umeshindwa!
 
ila kuwa muislam inahitaj kujitoa akili , Hamas ndo walianza vita ila leo mnamlaumu Netanyau kwa kujibu mapgo ya Hamas , huku Afrika waislam mnaua watu ila muda si mrefu mkianza jibiwa mtaanza lia lia liwa mnataka amani wkt muda huu nyinyi ndo mnaivuruga amani

Uislam ni sw uwendawazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…