Muwashughulikie Alqassam Brigades sio raia wa Gaza.hao hamas wakishughulikiwa msije tena hapa kulialia
Pekueni mahandaki msilipue hovyo majengo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muwashughulikie Alqassam Brigades sio raia wa Gaza.hao hamas wakishughulikiwa msije tena hapa kulialia
Kuisumbua hadi sasa inaisumbua kwasababu PKK ni mtandao mkubwa kidogo na mbaya zaidi Turkiye na Syria wanachangia mpaka.Hata hivyo PKK imeisumbua Turkey muda mrefu!
Msije Anza kusema pray for Palestine..Israel ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Genocide part 2 ikianza msianze kulia lia huku..Nani anapenda michezo ya kufa mkuu. Usijipe moyo mzayuni anachezea kichapo.🤣
Akili hunaEmbu lete ushahidi wa uyasemao.
Maana nikikumbuka so far 2006 alipigana na wanamgambo waliokamilika wakamtoa damu akakimbia na kuacha vifaru pale Lebanon.
Kwamba unashangilia genocide?Msije Anza kusema pray for Palestine..
Huyu ashinde hii vita au asishinde haponi. Wayahudi wana hasira nae vibaya mno.Netanyau ana akili sana... Anajua mwisho wa vita ya Gaza ndio mwisho wa uwaziri wake pia. Kuendelea Kwa vita Gaza ndio ponapona yake.
Oooh!Kijana waendeleaje!?Akili huna
Nenda kawasaidie mabwana zako wamezidiwa.Genocide part 2 ikianza msianze kulia lia huku..
Mkuu huna unalolijia kuhusu yanayojiriIsrael ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Unaropoka sana kijana.Mkuu huna unalolijia kuhusu yanayojiri
Israel ilisambaratisha muungano wa nchi za kiarabu kwasababu walikua wanapambana kwenye uwanja wa vita
Sasa hawa wakuitwa Hamas wanapambana wamezungukwa na raia, wanarusha makombora kwenye nyumba za watu shule misikiti hoapitali sokoni nk
Israel ikiwapiga inaua na raia kibao..... hapa ndio kunachangamoto
Israel inaweza kunyeshea nvua ya mabomu Rafah yote ikawa kifusi ila sasa itaua raia wangapi? Hapa tu inapiga kwa taadhari lakini bado raia wanakufa kama kuku
Wakipigwa wanaanza kulia
Kule hata mtoto mdogo ni HAMAS ndio maana kichapo hakichaguiWanaolia Hamas au raia wa KiPalestina!?
Una huo uthibitisho!?Kule hata mtoto mdogo ni HAMAS ndio maana kichapo hakichagui
Ila hamas wakirusha maroketi mnashangilia ila israel ikianza kushusha makombora hapo gaza hamchelewi kukimbilia ICJ na ICC na kuita mauaji ya halaiki gaza kutafuta huruma ya duniaWanaukumbi.
Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.
Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv
====
Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.