Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Mkuu umewahi kujiuliza ni kwanini Israel ilijua walipo viongozi wote wa Hamasi na ikawafyekelea mbali lakini ikashindwa kabisa kujua walipo mateka ndani ya Gaza hiyo hiyo?
 
Ni mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Shida ni kuwaokoa wakiwa hai sio kujua walipo, unaweza kujua walipo Hamas wakijiridhisha uko karibu wanatandika risasi mateka mnakosa wote
 
Acha udini wewe yaani gaza iliyoalibiwa hivyo unadai Israel imeshindwa! Duhh haya ni maajabu, kama unaamini hayo magaidi yajaribu tena kuipiga Israel.
Udini upo wapi mkuu? unajua mimi dini gani?
Nachojaribu kusema ni Israel walikuwa na lengo kuimaliza Hamas lakin wameingia makubaliano wakati Hamas bado ipo
 
Netanyahu ndio akajakushtuka mwishoni kuwa Hamas uwezi kuitoa GAZA galama ya kuitoa kubwa sana ikiitaji pesa na uhai wawatu upotee kwawingi kaona isiwe janga kubwa zaid karusha taulo!!!
 
Kina nani hao?
Mbona viongozi wote waliokuwepo na waliwekwa kwa muda waliuwawa?

Kwa mfano, kwa sasa ni nani kiongozi wa Hamas
Ukitaka kujua kuna kiongozi soma mazingila tu siunaona kilakitu kinaenda km ilivotalajiwa mateka Nk basi jua viongoz wapo ndio wanaosimamia iyo show!!!!
 
Shida ni kuwaokoa wakiwa hai sio kujua walipo, unaweza kujua walipo Hamas wakijiridhisha uko karibu wanatandika risasi mateka mnakosa wote
Na hicho ndio kilifanya IDF ijifanye haijui walipo
 
Mkuu umewahi kujiuliza ni kwanini Israel ilijua walipo viongozi wote wa Hamasi na ikawafyekelea mbali lakini ikashindwa kabisa kujua walipo mateka ndani ya Gaza hiyo hiyo?

Kama unamajibu ni vyema ukashare nasisi, binafsi najiuliza hilo swali pia.
 
Ukitaka kujua kuna kiongozi soma mazingila tu siunaona kilakitu kinaenda km ilivotalajiwa mateka Nk basi jua viongoz wapo ndio wanaosimamia iyo show!!!!
Muhammed Sinwar ndio kiongozi wa combat kwa sasa, ni mdogo wa Yahya huenda akarithi mikoba. Anakubalika sana na Israel hawamjui sana kama ilivyokua kwa brother ake ambae walikaa nae jela kwa miaka mingi
 
Mossad wameshindwa kujua mateka wako wapi hadi CEASEFIRE DEAL ilipotokea? Shame on you MOSSAD,ISRAEL AND NETANYAHAU.

Dunia tunashukuru tu wameacha kuuwana kama kuku, for the good sake of women and children and the world's peace is restored although najua haijaisha hii but let take pose for now until next time if GOD wishes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…