Hamas wavalia kombati mpya za kijeshi kukabidhi mateka. Kila mmoja kapewa begi na shahada

Kwahiyo umejidanganya kuwa October 7 walivamia kambi 4 za jeshi?.
 
Hamas hutasikia wakijaribu kuwachokoza Israel tena, Iran ndani ya Utawala ya Trump atapigwa vibaya na kufanywa kama Iraq au Libya au Lebanon au Aghanistan
Haha kipindi trump alikuwa rais term yake ya kwanza mlisema hivyo hivyo lkn anaishia kuwawekea vikwazo tu.
 
Kuanzia watoto,wanawake na wanaume wa hapo Gaza wote ni Hamas tu.Israel inajua Kila kitu kuhusu hao viumbe .
 
Sasa unafikili mateka walikua hapo gaza?. Alafu sare zimevaliwa kukabizi mateka Ila kwenye vita wanapiga kirahia unategemea nini?
Walikiwa wapi wasipajue IDF utapajua ww vita ilikuwa ngumu acha chini ya ardhi wanajesh wengi wa marekani na UK wamekufa kwenye mapango. Wakagemea kuingia chini uku wakiongopa kuwa wanawasaka mateka kwenye mapango lkn walipata machimbo yao salama wanaenda kulala kimya wakipokezana kuwasiliana centre mishaara minono wanapata lkn wao wanaenda uchapa usingiz hii mbungi ingefika ata miaka 3 lkn meteka wasingeweza kuwaokoa!! Kunakashfa nyingi zitakuja kuibuka baadae kuusu awa Mateka, Hamas walijipanga sana.
 
Kuna uwezekano mkubwa hao mateka walifichwa Lebanon ya Hizebolah!
Haiwezekani, Gaza ni eneo ambalo ni land locked, wanafikaje Kwa houthis na Hezbollah?

Hamas Wana network kubwa sana underground Askari wa kiisrael kwenda huko ni kujiandikia death warrant.
 
Mtu anajiuliza mbona Hamas kumbe bado wapo wengi lkn ajiulizi mbona mateka wameshindwa kuokolewa kwamaana Mateka awakufikiwa ndio pia Hamas awakufikiwa kama tulivodanganywa IDF ilikuwa zaid inapigana na Majengo hospital na raia Hamas walikuwa Salama. Na mfumo wao wakupigana ulikuwa wanaenda wachache kama 3 tu au w2 Adui lazima Afe japo m1 au w2 ndio IDF ijue Hamas wapo wapi iyo sio VITA rafiki kabisa ikiwa adui ana mtutu wa risasi kubwa mtakufa wengi na ndio iyo imewapata IDF. Ndio mana naamini itawachukua miaka 20 kuja kupigana tena manake vitoto vipya vitapelekwa uku awajui ukubwa wa iyo vita wenyewe watapewa ujasiri tu kwenda kupigana na adui yao.
 
Hamas wanavaa kombati kama maonyesho tu na kufanyia propaganda ila kipindi cha mapigano wanavaa kiraia au kipindi cha vita na Israel wanavaa kiraia
Sasa ulitaka wafanye vipi.
 
Hilo ndilo nimeliona.
Vijana wapya katika IDF watashikwa na woga sana kwenda mstari wa mbele awamu nyengine ya vita ikianza.
 
Hilo ndilo nimeliona.
Vijana wapya katika IDF watashikwa na woga sana kwenda mstari wa mbele awamu nyengine ya vita ikianza.
Israel hawana hiyo unavyoongea wanazaliwa wakijua Wana adui bembeni yao
 
Ni mtu mjinga ambaye ataamini Israel haikujua Mateka walipo.
Yaani iwaue viongozi karibu wote wa hamas, ijue walipo alafu wasijue mateka walipo
Kama ilijua kwanini haikuwaokoa hadi leo wakubaliana kubadilishana wafungwa? Hauoni inawanufaisha palestina kurudisha "magaidi" wao zaidi ya elfu 2!!
 
Hawa jamaa kama Taleban, They watch, we have Time. Yani sisi ni wa hapahapa.
 
Israel hawana hiyo unavyoongea wanazaliwa wakijua Wana adui bembeni yao
Hujyhi kitu, askari wengi wa IDF ni wanakeshi wanaotola nchi za ulaya, matekani marelani kunisi, kilubwa no luwa Israel wefanilowa kudanya nchibya jo ya kidini, so mtu yeyote mwenye damu ya Jewish wanampokea hata kazma ni mwanajeshi wa TZ.
 
Wanachama wapya halipingiki
 
Mimi nataka hii vita iendelee, hata huwa sielewi kwanini kuna kuwa na hizi mambo za kubadilishana mateka. Yani mnamshikilia mtu mmoja anakuwa na maana kuliko watu 100 wanao uwawa kila siku?

Yani Ni nani ana mpa mtu mmoja thamani kuliko wengine? Halafu mnabadilishana hao mateka kesho Israel anakuwa kumkamata namuua huyo huyo mliye pewa jana yake, na wengine wengi zaidi.

Nchi iko vitani, kama una ua, ua tu kwa sababu ndio msingi wa vita kuua watu wake ili mmoja akubali kushindwa sasa, mmna exchange nini ili iweje?

Binafsi nataka mtutu mwanzo mwisho hakuna cha "cease fire" wala "Truce". Piganeni mkishinda tuwape maua yenu, mkishindwa kubalini mmeshindwa.

Waache hizi janja janja za kutegea kupigana, HAMAS bado wapo wengi, na IDF bado wapo wa kutosha, piganeni, msilete michezoya kuigiza, mara cease fire tupate maji, mara cease fire sijui wagonjwa, mna tukera watazamaji.
 
Israel walijua vizuri sana waliko mateka ila tatizo walijua endapo tu wangejaribu kuwakomboa kibabe wasingepata hata moja aliye hai kwani magaidi walikuwa na mpango wa kujilipua na kufa nao wote.

That's the true story, you attempt to rescue the hostages and the attempt backfires because the suicide bombers detonate the bombs killing all the hostages in the process which is tantamount to conquering the whole world and forfeit your own life.
 
Kwanza unajua ktk mateka kuna Wanajeshi wa IDF umo na mkubwa m 1 waliotekwa iyo 7octb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…