HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Punguza hasira, hata wakifa wote haikuzidishii wala haikupunguzii kitu, wale ni mashoga tu wananuka mavi.
Sasa kama wananukq mavi wewe huko tanda himba namabengo unaumia wapi au unataka na wewe unuke wakupake
 
Unapenda kuropoka kijana ila huna unalolijua yaani
Kuhusiana na silaha za hamas kuisha hilo futa kabisa akilini mwako
Hio siku ikifika utwambie ila kwa sasa hatutaki blaah blaah
Mwisho takwimu zinasema kwamba kwenye silaha zinazotumiwa na wanamapambano wa hamas ni chini ya 5 au 10% ya silaha ndio zimetoka nje ya hapo ghaza
Ila zilizobakia 90 au 95% zote zimetengenezwa hapo hapo ukanda wa ghaza
Sasa kama 10% tu ndio zimetoka nje hizo za ndani 90% mtazizuiaje na ili mzizuie sharti muingie kwenye mahandaki maana viwanda bubu ndio vipo huko na nyie wazayuni mnaogopa kufa
Mazayuni safari hii mpaka mtatema bungo yaani
 
Wanasubiri kutoka wapi na IDF wanaondoa majeshi gaza kwenda North front kujaribu bahati yao kwa Hezbollah kama wataweza
Israhell hakuna atakapo toboa yaani kama hamas kateseka hv na huko kwengine atapondwa pondwa zaidi
Mpaka ateme bungo yaani safari hii mzayuni mwepesi kama pamba
 
Mdasavuzi wa Israeli kutoka bonyokwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie viumbe mnashindana ujaza uharo humu.
Dah...
Hii vita tutaona kila wasomi wa parokia wanavyomwaga mapovu
humu.
 
Utawapa wew RPG? Hemu achana na akili za Mudy tumia zako Zaki mbagala mbagala angalau kwa nusu saa. YAAANI WEW NA FAMILIA YAKO MNAONA HAMASI ATAIBUKA KIDEDEA KWENYE HII VITA?
Huu sio mpira we dada
Acha kufukiri ki UPAKO UPAKO
Vita inashinda na kushindwa kwa namna tofauti.

Lengo la makafiri wa Israel ni KUMALIZA HAMAS.
We kwa akili ya kibonyokwa u unategemea HAMAS IISHE!

Na Je HAMAS wasipokwisha Hio Vita hao mabwana zenu watakuwa wameshinda?
 
Ni vijana wadogo sana ndio maana wanachapika kirahisi, walitakiwa waajiri wababe walioshiba na wenye miaka 40+, ni bora wangeomba usaidizi kwa nchi za kiafrika

Unafikiri hao wa miaka 40+ wengine wamebandikwa papuchi miaka mingi hata uwezo wa kukimbia wanao tena ,?? makalio yaliyozibuliwa miaka tokea wako vijana, si wako kama Nabii Tito , wanaweza kupigana kweli ?? πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Haiwapunguzii seacefire hamas kama kubondwa kabondeka kweli kweli..........pale mpaka wainuke tena miaka 30 ya kubaka..............hapo ni majengo bado miundo mbinu mingine
Pesa zipo Doha na Iran wamesema wataijenga Gaza upya na kwa uharaka.
Pesa zipo mzee kaa kwa kutulia.
 
Ni vijana wadogo sana ndio maana wanachapika kirahisi, walitakiwa waajiri wababe walioshiba na wenye miaka 40+, ni bora wangeomba usaidizi kwa nchi za kiafrika
Wayahudi wengi MASHOGA.
nchi yao ndio makao makuu ya MASHOGA ukanda wote.
Na Ofisi yao ni kubwa kuliko Ya Newyork.


 
Hamas walisha sema hapo sio bustanini, wacha wapate kilicho waleta
 
Subili na revenge yake. Hao ni 21 subili after myth
Pole sana yahudi mweusi wa Ifakara,Hamas wanaua IDF wenye mafunzo na sio raia wasio na hatia,

Kwa hiyo wewe ukisikia Yahudi kaua raia au kuvunja majengo ndio unahesabu wapalestina wangapi wanauawa?

Hapa tunaongelea wanajeshi kuuawa na sio wanawake na watoto,

Naona yahudi mweusi wa Ifakara umeumia sana ila Wayahudi hawakutambui wala hawaitambui dini yako.
 
Nani analia lia? Wiki hii wapalestina wangapi wameuwawa? Na Waisrael wangapi wameuwawa? Mind you leo Jumanne. KAZI KUJIPA MOYO TU. Kufikia Jumapili wiki hii jumlisha idadi ya wapalestina na Waisrael ndo utajua muelekeo wa vita huko tunakoenda.
Sisi hamas kazi yetu kuwafyeka tu wazayuni idadi mtajifanyia wenyewe yaani
 
Sisi hamas kazi yetu kuwafyeka tu wazayuni idadi mtajifanyia wenyewe yaani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani wafuasi wa Israel wakibongo wananifurahisha sana.
Wazayuni wenyewe wenye watoto wao vitani wanalalamika watoto wao warudishwe wanakufa sana.
Jitu linakuja kukomaa eti ooh mtalipizwa vibaya.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wameingia Hizbollah kupitia Shebah farms.
Ila hizbollah inawa zoom tu.
Ngojea wakutane na suprise nyingine maana Hizbullah watu wa surprise.
Washaingia? πŸ€”
 
Akili za wazayuni wa jf hazina akili na sijui kama wana akili
 
Duuh hem acha tungoje kuna suprise nyengine huko bila ya shaka wazayuni wenda pewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…