mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Endelea kuota, mlikuwa na imani kubwa sna mnakwenda kukuta kitu ktk ile hospital mkaambulia aibu. Jiandae na aibu nyingine hapo khan yunusSio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
Allahu AkbariiiTakbiiiir
Mnajidanganya kuhusu Hamas kuishiwa silaha sahau, nyuma ya Hamas kuna Iran na Hizbollah ambao kwa sasa ndio wanawapata support.Kama ilivyo kwao kuna wanajeshi kutok UK,US,France na Canada hivyo hivyo ndani ya Hamas kuna watu kutoka Hizbolah, Iran ,Iraq na Wahouth wanawapa tafu Hamas.So hii vita sio ya leo wala ya kesho.Wakiondoka inakuwa safe heaven ya ugaidi. Mojawapo ya garama za vita ni loss of lives. Its just a matter of comparison anachokufanya Israel kila siku kinaiimalisha Hamas au kinaidhoofisha? AMINI NAKUAMBIA HAMAS KUNA SIKU IJAYO ISIYO NA JINA WATAKUWA HAWANA HATA RISASI HATA MOJA....UKI FIRE RISASI ZINAPUNGUA KWENYE MAGAZINE NA HUNA ACCESS YA KU REPLACE HUKO KWENYE HANDAKI. RPG NA BUNDUKI NA VILIPUZI VYOTE VILIPITA KWA MAGENDO MPAKA WA RAFAL( GAZA NA MISIRI) KWA SASA NI TOTALLY IMPOSSIBLE. HATA ROLI LILILOBEBA MAJI YA KUNYWA LINAKAGULIWA MPAKA KWENYE AIR CLEANER.
Wanasonga mbele kurudi nyuma labdaHamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa
Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
π€£π€£π€£π€£π€£Sio rafiki kwa Israel pia na Hamas wameonba ceasefire baada ya kuona wamezungukwa Khan Younis tegeni sikio wiki hii Kuna kitu kikubwa IDF wanaenda kukionyesha kwa Dunia kuwahusu hao wapumbavu.
Huko irani kuna kijiji wananchi hawajawai kuangalia TV......ndio pesa wakazigawe bure kwa hamas kisa mabikira 72 yenye macho kama mayai??punguani ni wewe tu sio watu wotePesa zipo Doha na Iran wamesema wataijenga Gaza upya na kwa uharaka.
Pesa zipo mzee kaa kwa kutulia.
Kupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhaliWanasonga mbele kurudi nyuma labda
Tokea wasonge mbele wangekua washaibeba ghaza yote
Na ndio ukweli huu wanaona hawapo salama kabisaaaaaHatua waliyofikia wapalestina washagundua hakuna aliye salama kama wapalestina elfu25 washauliwa ikiwemo vichanga na wanawake, hawana namna nyingine zaidi ya kupigana, ndiomaana nguvu imekua kubwa sana upande wao wangeungana tangu awali pengine ata izo namba za vifo zingepungua.
Hakuna mwanaume wa kipalestina anaeogopa kifo sasa ivi mioyo yao ishakufa ganzi hawana uoga tena.
Hizi habari hua mnapewa huko mkienda kuuziwa chumvi na maji ya upako?Sasa hivi hawavai hivi wanavaa kama raia wa kawaida wengine wanavaa mpaka mabaibui huku wakiwa wameficha RPGs
Msharudi kwenye kuwafukia hao wazayuni auπKupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhali
Khaa!Huko irani kuna kijiji wananchi hawajawai kuangalia TV......ndio pesa wakazigawe bure kwa hamas kisa mabikira 72 yenye macho kama mayai??punguani ni wewe tu sio watu wote
Mbona hujiulizi ni kwann hii habari ya kuizunguka Khan yunis wamezisema baada ya kupokea kipigo hicho jana?Hizo ni gharama za vita uzuri ni kwamba Khan Younis imezingukwa soon nyani atatema bungo maana juzi Kiongozi wao kaomba ceasefire ila Pm kamgomea.
Katika hao raia IDF imeshindwa kuthibitisha kuwa kuna hamas ama kupata hata silaha yake.Kupigana na mtu ambaye anajificha ktkat ya raia sio jambo dogo, hao wapuuzi wangekuwa Wana Kambi au uniforms maalum hii vita ingechukua wiki tu kwa IDF ila kwakuwa hawataki kusababisha maafa makubwa kwa raia wa Gaza ndio maana unaona vimechukua muda pongezi kwa IDF tafadhali
ππππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£Hizi habari hua mnapewa huko mkienda kuuziwa chumvi na maji ya upako?
Weka vivid evidence ya unachokiongea hapa,
hizi porojo wapelekee wale wanaokuita kondoo ili wakakuchunge vizuri zaidi.
Kumbe wateule wa mungu nao huwa wanakufa ? Nikadhani risasi huwa zina wapiga na kudunda.Kuna vita ambayo wanajeshi hawafi?
Kwa hiyo hiyo Al Jazeera unaitizama ww mwenyewe tu wengine hatuna tv ndani kwetu?Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
Makao makuu mlituambia yako gaza kasikazini kwenye hospital ya Al shifa tena leo yamehamia Khan yunis?πππππHamas hawauliwi sio? Kuna vita isiyokuwa na vifo ? Kikubwa ni kwamba IDF inasonga mbeli walianzia North Gaza wakatembeza kipigo wakaja Gaza City na sasa Khan Younis makao makuu ya hao wajinga wajinga huko ndio kusonha mbele sasa