Hamis Chaurembo: Dereva mjinga aliyeuwa abiria kwa mwendokasi Kigoma

Kwa tabia yake hiyo na mwendo aliokuwa anaenda, pamoja na majina yote hayo utafikiri walikuwa wanaishi mahali ambapo hakuna serikali kabisa

Polisi lazima wanamjua ila amewapoza sana kwa maji ya baridi kwenye vumbi lao huko

Umasikini na tamaa na ujinga unamaliza raia
Na hao utakuta walikuwa wanafurahia mwendo mpaka kumpachika majina ya kipumbavu
Hao polisi walikuwa wanasubiri hilo bomu lilipuke wajinga sana
 
Ngoma zote zilikuwa za njano

Hao wajinga karibia wote wa kakonko kibondo mpaka kasulu huwa wanakimbia sana
 
Nilipanda Probox yake kibondo to Kakonko Nashukuru Mungu siku hiyo ilikuwa saa 12:30 jioni trip yake ya mwisho ya siku. Alitembea speed ya kawaida 80-90kmh. Mungu amsamehe Hamis
 
Kila mtu anajiita sukari ya warembo kwanzia leo mimi najiita chai ya warembo
 
Tatizo tunakimbiza hizi gari alafu hazina matunzo huyo dogo nilishamuona ila nilisikitika japo sikuwa nikimfahamu sana ila stori zake nilisikia nikaona kuna asilimia ya akili zilipungua kichwani mwake. Alafu wajuzi wa mambo walishamuambia afanye yote ila asiingilie familia za watu na hakuwa akielewa sasa kifo kina mengi hicho
 
Ni kweli dogo alikua anatembea dk 20 au chini ya hapo kweli kabisa
 
Wananchi ndio wajing Huwa wanashangilia na pale mmja wao akionya huonekana wa ajabu.
 
Hizo case za kusifiana ujinga ni nyingi na zimewaachia vijana wengi sana ulemavu wa kudumu acha wale waliokufa.

Namfahamu jamaa zamani miaka ya 2006/7 alikuwa kwenye club ya ya wale jamaa wanaoinua pikipiki Baja wa maeneo ya Kinondoni na kutembea na tairi moja ya nyuma,ilikuwa hivi hivi akiinua ni miluzi na kelele za wenzake siku hiyo pale mteremko wa kutoka Morocco Hotel kuelekea Mkwajuni aliinua vibaya akacheza mistake kidogo tu akavunja spinal cord hadi leo hata kuzungusha shingo hawezi anaingia utu uzima akiwa mlemavu.

Ni vitu vya kusikitisha sana.
 
3-6 hours
3 - 6 hours??? Are you serious? Hayo ni makadirio ya mwendo wa chombo kimoja au transit?
Ungesema 3 kwa gari na masaa 6 kwa baiskeli ningekuelewa.
Kwa unavyofikiri hapo Dar to Moro inawezekana kutumia dakika 20 kwa gari?
 
Huyu Dogo ni mpumbavu Sana na nimepanda hio gari mara kadhaa kutoka Kibondo Hadi Kakonko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…