Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

Hamisa bado anampenda sana Diamond, hii couple mpya anayoitangaza ni feki

amekufanyia nini?
unajua vyema silaha zangu asizoweza mtu kuzikwepa lakini nimeziweka mbali sina mpango kuzitumia, mpuuze hadi ajione mjinga
Si unajua mateja akili zao bana!

Yaani likishajidunga sindano zake linakuja humu kuhara hara, yaan asione nimekomenti kitu muwasho wa uteja lazima umlete mahali nipo!

Kibaya zaidi mi sinaga time nalo kabisa coz nishaona hii namba ina msongo wa mawazo, afya ya mgogoro, teja so nikawa namuonea huruma tu nikapiga kimya!

Kumbe ohoooo teja akaona namuogopa bana kiburi kikazidi akajiona yy ndo yy humu jf!

Sasa ngoja nishushe mzigo watu wamjue na wajihadhari nae...ovyoo sana yaan eww!
 
Si unatujua mateja akili zao bana!

Yaani likishajidunga sindano zake linakuja humu kuhara hara, yaan asione nimekomenti kitu muwasho wa uteja lazima umlete mahali nipo!

Kibaya zaidi mi sinaga time nalo kabisa coz nishaona hii namba ina msongo wa mawazo, afya ya mgogoro, teja so nikawa namuonea huruma tu nikapiga kimya!

Kumbe ohoooo teja akaona namuogopa bana kiburi kikazidi akajiona yy ndo yy humu jf!

Sasa ngoja nishushe mzigo watu wamjue na wajihadhari nae...ovyoo sana yaan eww!
hebu njoo
 
Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin
Halafu Mwl nimekumiss...
Lakini ukweli unaonesha Hamisa ana maumivu ya Diamond...hapo ana jifariji
 
Jamvi La Wanawake Hili Ngoja Tuone Wanavyoparuana
 
Hivi weye nimwanmme kweli ? Dar si sehemu nzuri ya kuishi kabisa
1541836310230.png
1541836310230.png
1541836310230.png
1541836310230.png
 
Suala la kwamba wana date 100% si kweli.

Na kama ni kweli basi anajirahisisha sana kwa wanaume hivyo mpaka anaingia kaburini suala la ndoa atalisikia kwenye bomba.
Wangapi walijiuza na wakaolewa bana???? Kwani hamisa amekuwa Malaya sana kuliko ndugu na jamaa zenu wa kike ambao hawayatangazi mahusiano yao mitandaoni km wanavyofanya wasanii??
 
Huwezi kuusemea moyo wa mtu as if unajisemea wewe, kaamua kupost sawa, undani wake hatuujui, awe kaka, awe danga au mpenzi nayo ni maisha yake bana kwan hakuwai kupenda kabla ajakutana na domo eti ndo ashindwe kumove on
 
Khaaaaaa kuna watu mnajua kuhukumu sana as if nyie ni malaika. Eti umshatabiri kabisa kuwa hawez kuolewa. Who are you to determine her fate. Let her live her life to the fullest. Tumeona watu wametembea na wanaume wingi a abiria wa dar express mbili na ya tatu imekula mzinga na kuua wote lkn Bado anaolewa na anatulia kwenye ndoa sembuse hamisa aliyeko kwenye 20+ yrs?
Cc Asprin
Afu huwa wepesi sana Kujaji watu mitandaoni, hawa wanaume utafikiri mifano hawana ata kwa Dada zao na hata mama zao wenyewe, suala la kuolewa ni muda tu na Mungu akishakupa hata km walihukumu vipi wanadamu
 
Back
Top Bottom