Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Oya nimukukubali sana the way ulivyo muhandle jamaa very maturely.

Ila dizaini naona kama LIKUD anakuelewa hivi, sema anazunguka zunguka tu kama madalali wa kariakoo😅
Nope hawezi kuwa type yangu. Me I like them young 18 to 22.. I love their auras.
 
Ghosts😂😂😂 so am i that strong living with ghosts oooh
Kwani kuishi na ghosts ndio kuwa strong?

Halafu kwani sentensi yangu ume ielewa aje?

So nikisema " I ghosted her" pia nakuwa nimezungumzia mizimu?
 
mie nadhan akili kubwa ni kustahimili na kudumu katika ndoa sio kulipiwa mahari kubwa au kumudu kulea watoto wawili kila moja na babake.

Ni uamuzi mgumu wa kijasiri sana kwa mwanaume kamili wa Burkina Faso, kujizatiti kuchukua na kubeba mzigo ulowashinda wanaume wawili wa Dar🐒
 
Putting me in 18/22?!!! You are wrong
Nimemwambia jamaa ili niwe na wewe you have to be 18 to 22. But you sound like someone who was born in 1988 or something
 
Anafanya vizuri kivp? Ana biashara official inayojulikana?
 
Kwa hiyo mkuu unashauri wa kayumba wategemee kutegesha mimba ovyo ovyo na kuvamia mahusiano ya watu ama?

Wanaume wote wa hamisa kaiba. Kuwa makini usije mpitisha binti yako kwenye alama ya tununu atateseka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…