Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vutu haina haja ya kugoogle vinaonekana wazi, she's nothing but a looser! Ni vile tu anatumika sanaNgoja niingie mzigoni nitafute ukweli, nitakurudia nani yuko njema kati yao.
Kifuta jasho ni hamasa ya kupata zaidi kazi ikikamilika.kumbe we amacha, me nataka pro, sasa nikitanguliza kifuta jasho kaz ikakushinda je?
My point was,Aziz hatafuni ule mzigo bali kuna something behind,hiyo ya kumlainisha Aziz asain yanga na hiyo ya kwako may be am not sure ila Azizni mshika pembe,hata hivyo unadhan Hamisa atamuacha bila kumchuna?Wewe ulisema tofauti bwana. Kwamba Hamisa anatumika kumbakisha Aziz Ki Yanga, anamchuna sijui nini ndio nikakwambia wala hawana mahusiano Hamisa yupo na Kigogo pale Yanga.
Wanasema abiria chunga mzigo wako, naona Mkwe anachunga Kwa umakini Mkubwa 🤗Babu nimecheka mnooooo! Anapita tu lakini hana shida.
Tuwaachie vigogo mkuu na Mobeto!Mhhhh unamaanisha nini Mkuu?
Wewe akili yako iko sawa kweli? Yani kumbe wakati unafundishwa shule na waalimu wako kumbe walikuwa wanakuamulia kipi cha kufanya?So its no longer the origin version kumbe ni edited version ya wenye Uzi wao? Yaani there are some people who decides what nifah apost na kipi asipost. Rubbish
Crush wako Lucas mwashambwa akisoma hapa ataumia sana..Na mimi Guede nampataje?😥
Kati ya mtihani mgumu ambao wanaume wengi tunashindwa/tumeshindwa kuushinda, basi ni huu wa kubakia njia kuu. 😩Kwahiyo Kigogo amewawakilisha vyema kiumeni?
Hamisa amuache nani sasa? Maana hatoki kimapenzi na huyo Ki.My point was,Aziz hatafuni ule mzigo bali kuna something behind,hiyo ya kumlainisha Aziz asain yanga na hiyo ya kwako may be am not sure ila Azizni mshika pembe,hata hivyo unadhan Hamisa atamuacha bila kumchuna?
Hamisa sio mtamu
So do you believe she's worth everything she possess? If u still support her basi nime kudowngrade pia 🤣Your opinion doesn’t count.
Mungu aendelee kuwapigania, wanawake tunaumia mno. Ndio maana matukio hayaishi wanawake nao wamecharuka kuua waume zao.Kati ya mtihani mgumu ambao wanaume wengi tunashindwa/tumeshindwa kuushinda, basi ni huu wa kubakia njia kuu. 😩