Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Akitoka kimapenzi na Abduly wa Samia uje utuletee taarifa.
Mara ngapi?? Nifah hili faili huna?

Mwaka jana miezi ya mwanzoni nimewaona Bambalaga, kona kabisa wakiwa 0 distance na machawa kama wote zilikuwa zinapita Moet zinapelekwa kwenye meza husika za kumwaga.... kuuliza uliza Dully ana apartment kisasa, ndio dada alikuwa anafikishiwa hapo..
 
Nandy mwenyewe tu hamfikii!
Hamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... Halafu

Hata huku mitaani kuna watu tuna upepo wa pesa ila majukumu sasa!!! Rafiki yangu mmoja anaitwa Manka huwa ananiambia kwenye circle yetu ulipaswa uwe na pesa kuliko wote, hajui mimi na yeye tunatofautiana mahali, so yeah Hamisa ametokea familia ya kawaida ya ugali bamia, alipo hapo ni pakubwa sana....
 
Back
Top Bottom