MsomaliNdio nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MsomaliNdio nani?
Sure ,kuna yule marehem Agnes masogange alikua mzuri mno ,pia na huyo kwenye uzuri na mweka kwenye list yangu nafasi ya pili nyuma ya masogange😊.View attachment 3006144
Mzuri sana.
Tamu ni kiti moto tu mkuu🤣🤣🤣Sema sio mtamu
Sema anaonekana anafanya kwa usiri mkubwa sanaNaam.
Ila Kigogo nae kumbe mwingi wa habari, hukohuko kwenye kupewa hii habari ndio nikapenyezewa ameshawala waandishi wa habari wengi tu!
Biggie boss...Rick Ross.. Royce Royce'sHivi yule mpenzi wa Hamisa kutoa majuu aliishia wapi, maana alikuja kwa mbwembwe
Mbele ya mbususu ni mtu mwingineEngineer Mbona Ni MTU loyal, very humbe ni mtu anae onyesha Ni muislam Safi na Alie lelewa kwenye maadili mema..
Hapana,kuna sharobaro flani hivi alikujaga akaenda mpaka kwa mama mobetto na vidola vyake sijui hata aliishia wapiBiggie boss...Rick Ross.. Royce Royce's
Hivi yule mpenzi wa Hamisa kutoa majuu aliishia wapi, maana alikuja kwa mbwembwe
Mara ngapi?? Nifah hili faili huna?Akitoka kimapenzi na Abduly wa Samia uje utuletee taarifa.
Kuna wakati nataka ni-react Kwa namna yangu lakini Kila nikiangalia pembeni namwona Mwamba anasoma comments 😅 🙌Babu kumbe unakula ubuyu ndani ya ubuyu?
Nimekuvulia kofia.
Jamaa alikimbia baada ya kujua demu mdangajiHapana,kuna sharobaro flani hivi alikujaga akaenda mpaka kwa mama mobetto na vidola vyake sijui hata aliishia wapi
Mkuu,Mbele ya mbususu ni mtu mwingine
KumbeHapana,kuna sharobaro flani hivi alikujaga akaenda mpaka kwa mama mobetto na vidola vyake sijui hata aliishia wapi
Never put so much trust in peopleMkuu,
Engineer Yale macho yake Ni ya uaminifu kabisa..
Engineer unaweza kumpa kulinda shamba la miwa na ukawa na uhakika miwa ipo salama 😊
Mimi binafsi Ni mtu wakujiulizaga Sana faida na hasara zitakazo patikana in every move in life 😅😂😂
Ni kweli mkuuNever put so much trust in people
You are very correctNever put so much trust in people
Mzee mrudie MunguNitafute faster ili nikuunganishe na kijana wangu anafanya kazi pale Jangwani. Ila utambue fika vigezo na masharti vitazingatiwa. 😎
Hamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... HalafuNandy mwenyewe tu hamfikii!
Ni hatari sana mkuu tunaishi kwenye dunia ambayo watu wema ni wachache mnooYou are very correct
Leo nimesoma habari za Mchungaji wa KKKT Mwanza kukabiliwa na shtaka la kumbaka Binti mwenye umri wa miaka 15
Ni hatari aisee 🙌