Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Au kwa akuwa aliona ni don akajisema ngoja kwa sasa niende naye mdogo mdogo baadaye nitakula mema ya nchi.

Mwisho wa siku mkia umeliwa kwa bei ya chee tajiri katokomea mitini
Hahaha.........umesema sahihi, na kumbe alianza kudate naye kabla Mzee machache hajaaga maisha

Kuna mtu mmoja aliwahi kusema ukiwa na hela hao warembo Wana dalali wao kabisa wa kuunganisha 🙌
 
Jihan hata mimi namkubali, Chibu alitaka kujiweka dada wa watu akashindwa ule uswahili wao.

Ukitaka kuujua umuhimu wa Nicole mguse Meneja chotara wa Chibu. Nicole ni ‘pepo’ yake.

Na jihan ile familia kama ilimuelewa na upepo wa umaarufu ulianza kumjia ila nahisi kuna watu, walimshtua asiingie mkenge wa kuharibu reputation.

Kuhusu nicole na jamaa 😁😁😁 mambo ya daslam ni mengi sana
 
Hamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... Halafu

Hata huku mitaani kuna watu tuna upepo wa pesa ila majukumu sasa!!! Rafiki yangu mmoja anaitwa Manka huwa ananiambia kwenye circle yetu ulipaswa uwe na pesa kuliko wote, hajui mimi na yeye tunatofautiana mahali, so yeah Hamisa ametokea familia ya kawaida ya ugali bamia, alipo hapo ni pakubwa sana....

Nandy yupo kwenye top 2 ya wasanii wa kike Tanzania kwa hiyo ni rahisi kuona stream yake ya pesa inapotoka. Kuanzia record sales hadi endorsements

Hamisa ni socialite anaetegemea endorsements ambazo kiukweli ni kubwa na nyingi. Hata Hiyo biashara ya clothing ni ngumu kujua inamlipa kwa kiasi gani

So ukiangalia kwa angle ya "kazi". Nandy lazma awe anaingiza pesa nyingi zaidi ya Hamisa
 
Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!

.

Duuuhh, kwamba mimi niko nyuma sana na ubuyu wa Tz...

Kumbe Mobeto ana watoto wawili kutoka kwa wanaume wawili tofauti.

Mwanaume mwingine aliyejipatia mtoto pale ni nani mbali na Diamond?
 
Hamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... Halafu

Hata huku mitaani kuna watu tuna upepo wa pesa ila majukumu sasa!!! Rafiki yangu mmoja anaitwa Manka huwa ananiambia kwenye circle yetu ulipaswa uwe na pesa kuliko wote, hajui mimi na yeye tunatofautiana mahali, so yeah Hamisa ametokea familia ya kawaida ya ugali bamia, alipo hapo ni pakubwa sana....
Usimtetee malaya eti katokea familia maskini kazi yake kudangadanga. Nandy ni hustler hata kama familia yao wapo vzr she knows her worth.
 
Kuna vutu haina haja ya kugoogle vinaonekana wazi, she's nothing but a looser! Ni vile tu anatumika sana
Anamtetea mdangaji 😂 😂 😂, anasema ipo siku atapata wa kudumu nae wakati mtu ni GOLD DIGGER binadamu bhana.

Mwanamke pekee ambaye trends zake over 90% ni kutiwa tu wanaume alaf hapo bado ana binti wa kike
 
Huyu demu sio mtamu!! Rickross nae aligusa usku mmoja akakimbia, yahan wanaume wenye pesa anawanasa kwa mvuto wa nje like shape , sura n.k ila papuchi yake sio tam....majizzo alipiga mara ya kwanza ,,akajiuliza mhm au nimelewa ngoja nihakikishe akapga tena akasema kumbe kopo, ila ndo hvo na mimba ikajaa, akaja diamond akapiga Mara ya kwnza ,,,akasema mhmm,,,au uchovu wa kutoka kwenye shoo,? akapga mara ya pili akasema mbn kinachoonekana na kilichomo ni tofauti ila na mimba ikanasa?, Akaja mwanetu Billnas akachapa mara moja akasema Bora nirudi kwa mpare wngu nandy, akaja Otile akapiga usku mmoja akasema ehee Bora nirudi kwetu Kenya, akaja Rickross akapga akasema! what is this meen? let me take Bellaire champagne...akasepa hata nauli hakumpa,,,demu karudi bongo akakaa anawaza alivyopoteza pambano na bilionea mkubwa Rickross,,,akaja yule jamaa sijui nani, alikuwa anavaa kaunda suti anavalia raba kubwaaa..... akampeleka na muimbili wakatembelea wagonjwa,,,wakarudi nyumban usku jamaa akaomba mechi,, dada wa watu sio mchoyo akampa uwanja,,,jamaa akapga akasema duh! mbona kama bofulo? Jamaa akaamka asubuh akasema nafatilia biashara zangu China ,,akaenda mazima!! Sasa mwanetu wa Yanga Ally Kamwe nae akataka ajaribu kupiga ,,,Ila za chinichini demu imemkazia inahisi huyu dogo anaongea sana atamsema kwa watu kwamba hali huko ndani sio shwari. Sasa akaja mwanetu mburkinabe! Aziz Ki, tunasikia mda wowote atapewa mechi,,, tusubr atavumilia bofulo au nae atakimbia!! Itaendelea.......
Kwamba Majizo ndio katangulia kumzalisha kabla ya Mondi?

Nataka kujua hawa watu waliomzalisha naona sijibiwi
 
Nimesoma heading na paragraph ya mwisho tu.

Hamisa apewe kombe lake!

Alikua anashindana na kina nani kubadili wanaume mpaka yeye akawa mshindi na inahitajika apewe kombe lake?

Tumefikia Dunia ambayo umalaya ni sifa? yani tunashauriwa malaya tumpe maua kwa kubadili wanaume?
 
Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghafla🤣 husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
Anaangalia maokoto, kuna wale wa uwanja wa fisi wanapigwa pipe kwa buku tatu, yeye kachagua kupigwa pipe kwa mamilioni
 
Back
Top Bottom