Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... Halafu

Hata huku mitaani kuna watu tuna upepo wa pesa ila majukumu sasa!!! Rafiki yangu mmoja anaitwa Manka huwa ananiambia kwenye circle yetu ulipapaswa uwe na pesa kuliko wote, hajui mimi na yeye tunatofautiana mahali, so yeah Hamisa ametokea familia ya kawaida ya ugali bamia, alipo hapo ni pakubwa sana....
Una busara sana Mjukuu, hadi nahisi utakuwa umetokea ile Kanda ambayo Rais wa kwanza wa Tanzania alitokea
 
Tusomeni dini ndugu zangu waislamu, maisha ya dunia ni mafupi sana, why wasioane tu!

وَلَا تَقْرَبُوا الزِّنَا ۖ إِنَّهُ كَانَ فَاحِشَةً وَسَاءَ سَبِيلًا
Al-Isra' (The Journey by Night)
Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
 
.........kwa nini walikuwa open kiasi cha mke kusmell something fishy, all in all wawe makini, coz haya mambo sometimes huwa yanapelekea kushuka kwa ufanisi wa taasisi au club.........
 
Kumbe na wewe uliusoma ule Uzi eeh 🤗

Mimi niliusoma huku nimevaa Msuli kuepusha maana Kila muda network ilikuwa inakuja na kutoka Kwa zile stori 🙌
Daah! Ila yule tajiri mbahiri kweli

Ila naye bibie anaenda kwa mpalange kwa 120k! Bei local sana.

Hawa wa 120k hata exotic escort Tanzania wengi tu

Ilitakiwa amuuzie ki-VIP
 
Daah! Ila yule tajiri mbahiri kweli

Ila naye bibie anaenda kwa Mpalange kwa 120k bei local sana.

Hawa wa 120k hata exotic escort Tanzania wengi tu

Ilitakiwa amuuzie ki-VIP
Nadhani alikuwa na matarajio makubwa kuliko uhalisia

Hao wa exotic ukienda kichwa kichwa unaweza kupigwa zaidi ya hiyo 120k, niliona watu wakijadili humu
 
Back
Top Bottom