Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nitafute faster ili nikuunganishe na kijana wangu anafanya kazi pale Jangwani. Ila utambue fika vigezo na masharti vitazingatiwa. 😎Na mimi Guede nampataje?😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute faster ili nikuunganishe na kijana wangu anafanya kazi pale Jangwani. Ila utambue fika vigezo na masharti vitazingatiwa. 😎Na mimi Guede nampataje?😥
Mimi nilijua mapema sana baada ya kuanza kuona alama za nyayo zake Kila unaposhiriki mjadalaHalafu anachunga kimyakimya hataki kelele, hadi uwe na chembechembe za kijasusi ndio utashtuka.
Kwa kweli muendelee tu kutuombea maisha marefu. Ila kwa kweli tunapitia wakati mgumu sana kuvishinda vishawishi na hasa tunapokuwa na mafanikio makubwa (umaarufu) katika nyanja za kiuchumi, kijamii na pia kisiasa.Mungu aendelee kuwapigania, wanawake tunaumia mno. Ndio maana matukio hayaishi wanawake nao wamecharuka kuua waume zao.
Wewe gede anampenzi kutoka urugwaiNa mimi Guede nampataje?😥
Hivyo ni visingizio tu, utulivu unaanza na akili yako mwenyewe nini unataka.Kwa kweli muendelee tu kutuombea maisha marefu. Ila kwa kweli tunapitia wakati mgumu sana kuvishinda vishawishi na hasa tunapokuwa na mafanikio makubwa (umaarufu) katika nyanja za kiuchumi, kijamii na pia kisiasa.
Sema sio mtamuKumbe huyo ndio hamisa, ni mzuri kwa kwel.
InjiniaMhandisi yupi Mkuu?
Engineer Mbona Ni MTU loyal, very humbe ni mtu anae onyesha Ni muislam Safi na Alie lelewa kwenye maadili mema..Hatari sana inamaana Engineer anasafisha dubwasha lake hapo
Huyu alikua(ga) my celebrity crush, sijui hata iliishia wapiView attachment 3006144
Mzuri sana.
Hivi yule mpenzi wa Hamisa kutoa majuu aliishia wapi, maana alikuja kwa mbwembweTununu ana nyota ya kutumika tu. Si wapo dini moja amuoe tu kama mke wa pili japo jamaa ataporomoka sana kiuchumi,tununu hana akili za uwekezaji bali kutumia kukomeshea waja
Sema sio mtamu