Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hizi ni lugha za mjini wewe mgalikoko utajulia wapi? Uwe unauliza kwanza acha kiherehere.
 
Sema anaonekana anafanya kwa usiri mkubwa sana

Anaonekana anamuheshimu sana mkewe

Huyo danga hamisa ajiandae kuachwa tu kama alivyoachwa na wengine
Kabisa, jamaa yuko vizuri sana na hawezi kukubali kuharibu reputation yake kwa wadangaji.
Huyu atapita tu, na hata wakiendelea ni kimyakimya hatutokaa tuone mapichapicha.

Ila awe makini na Hamisa, anajua kutunza 'risiti' zake.
 
Waacheni watu wapanuane viiuno hakuna shida yoyote mkuu
 
Ninalo darling na nimeshampa mbona? Nakosaje ubuyu mkubwa hivyo?
Hilo file nilipewaga wakati la moto bi mkubwa ndio alikuwa kaingia madarakani.
 
Hizi ni lugha za mjini wewe mgalikoko utajulia wapi? Uwe unauliza kwanza acha kiherehere.
Rubbish!

Iwe lugha ya Mjini au ya Kijijini ila maana yake unataka tumpe sifa mwanamke kwa kufanya zinaa na wanaume wengi,

Kumpa mtu maua yake au kumpa kombe maana yake ni kumpa sifa anayostahili kwa kitendo alichokifanya/anachokifanya,

Mwenye kiherehere ni wewe,kama unaona Mobeto anafaidi nenda na wewe ukatafunwe hovyo ili tukupe hayo maua yako.
 
Kuna wakati nataka ni-react Kwa namna yangu lakini Kila nikiangalia pembeni namwona Mwamba anasoma comments πŸ˜… πŸ™Œ

Bora tumezeeka sasa πŸ€—
Ila Mkwe umempata babu, na amani ananipa tele ndio maana nawapa raha na nyie kwa ubuyu.
 
Mkuu punguza jazba. Haya ni mambo ya mtandaoni tuu.
 
Sawa, mpe na 'shamba' lako alime pia Mkuu.
 
Ndio maana nakupendaga, Asante.
 
Wewe ndio mishe zako mjini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…