Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Ndugu yangu huwa unanifurahisha na kupenda kote dini na kuijua ila huwa hukauki mitaa kama hii.

Asante kwa ukumbusho.
 
.........kwa nini walikuwa open kiasi cha mke kusmell something fishy, all in all wawe makini, coz haya mambo sometimes huwa yanapelekea kushuka kwa ufanisi wa taasisi au club.........
Wambea hawakosekani Mkuu, ila kushuka kwa taasisi hapana.
Kigogo yuko makini na sio kwamba huyo Hamisa ndio wa kwanza.
 
Hii nayo ni habari? Ulitaka awe na nani kwenye mapenzi? Umaskini wako usiwe gubu kwa wenzio. Tafuta hela na umaarufu utaacha huo ubwege. Jinga sana ww
 
Ila Mkwe umempata babu, na amani ananipa tele ndio maana nawapa raha na nyie kwa ubuyu.
I'm real happy for that Mjukuu 🙏

Najua makwazo yapo, ndiyo maana hata vikombe haviachi kugongana kabatini.

Kikubwa mjue ninyi ni Binadamu, na hakuna anayedate na malaika Kati yenu

Vyema muishi Kwa kuchukuliana.

Ni maombi yangu muishi hadi muufikie Uzee pamoja🙏🙏🙏
 
Huyu kahaba ajue tu umri haujawahi kuwa rafiki kwa mwanamke au muuza K yoyote

Ajifunze kutoka kwa Sepenga na mastaa wengine kama Uwoya wametumika wametemwa kama chewing gum saivi hawana soko au limeshuka sana
Eh, jamani! Yamekuwa hayo tena?
 
Hahaha.........umesema sahihi, na kumbe alianza kudate naye kabla Mzee machache hajaaga maisha

Kuna mtu mmoja aliwahi kusema ukiwa na hela hao warembo Wana dalali wao kabisa wa kuunganisha 🙌
Pamoja na kwamba alishaolewa ila bado akawa anadanga?

Mbona mzee nasikia alikuwa na walinzi binafsi ni ngumu kuchepuka?
 
Na jihan ile familia kama ilimuelewa na upepo wa umaarufu ulianza kumjia ila nahisi kuna watu, walimshtua asiingie mkenge wa kuharibu reputation.

Kuhusu nicole na jamaa 😁😁😁 mambo ya daslam ni mengi sana
Endapo angekubali Chibu angetamba nae sana, ile ndio mali safi ya kutoka sio yule mwingine.

Nicole unaambiwa ule mtindi meneja ndio anajua raha yake, Lols.
 
Duuuhh, kwamba mimi niko nyuma sana na ubuyu wa Tz...

Kumbe Mobeto ana watoto wawili kutoka kwa wanaume wawili tofauti.

Mwanaume mwingine aliyejipatia mtoto pale ni nani mbali na Diamond?
Majizzo mmiliki wa EFM Radio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…