Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Na mimi Guede nampataje?πŸ˜₯
Acha tamaa wewe mwanamke. We si unaye ndugu yetu Lucas Mwashambwa sasa guede wa nini? πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜† We hadhi yako ni chawa wa Makonda ndugu Lucas. Hata hivyo wanawake mna huruma na mna pepo yenu. Kwahiyo sister umefika kwa Lucas? DahπŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
 
Jihan hata mimi namkubali, Chibu alitaka kujiweka dada wa watu akashindwa ule uswahili wao.

Ukitaka kuujua umuhimu wa Nicole mguse Meneja chotara wa Chibu. Nicole ni β€˜pepo’ yake.
 
Pengine Hamisa ana shida kichwani au ametupiwa kitu anapaswa kwenda kwa Mwamposa ni wazi ana mikosiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Shida ya Hamisa sio kupata mwanaume wa maaana shida ya Hamisa ni kumtunza to keep…..! Huyo kigogo atajipigia halafu atamtupa wengine watakamata! Hamisa anayoshida lazima amtafute Mwamposa au GwajimaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…