Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Jamii imeshazoea maisha ya umalaya umalaya sasa.

Hizi taarifa zinaharibu vijana wanaokua ambapo wanaona maisha ya kihuni ni tunu
 
Ndio maana nikakuambia huna unachokijua. Wenyewe wenye forum yao walinipa muongozo wa jinsi ya kuwasilisha, sasa wewe unakuja na bangi zako unabwabwaja tu.

Haya nenda kwenye thread za watu wazima hii tuachie wenye utoto.
 
Wanavyojifanya hawapendi udhinifu uaweza kuta ubani ulishapita kwa sheikhe zungu pori!
 
So its no longer the origin version kumbe ni edited version ya wenye Uzi wao? Yaani there are some people who decides what nifah apost na kipi asipost. Rubbish
Ndio maana nikakuambia huna unachokijua. Wenyewe wenye forum yao walinipa muongozo wa jinsi ya kuwasilisha, sasa wewe unakuja na bangi zako unabwabwaja tu.

Haya nenda kwenye thread za watu wazima hii tuachie wenye utoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…