Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sina uzoefu nazo mkuu.Hivi zingine kama za wachezaji huko Majuu huwa hazifutiki hata kidogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uzoefu nazo mkuu.Hivi zingine kama za wachezaji huko Majuu huwa hazifutiki hata kidogo?
Chale na tattoo wapi na wapi.mada nzuri umeitia doa.nyamaume.Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Hapo ni Sawa na kuonja biaBujibuji Simba Nyamaume, Je kuchora tattoo ya Jina la mtu unaempenda labda alikusaidia kwenye mazingira fulani magumu na ukakaa sawa hii ina matokeo gani hasi?
Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
mwanamke akichora tatoo sehemu yoyote ya mwili wake atahakikisha watu lazma waione....hapo ndo shida inapoanzia.Kwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA
Vilitabiriwa vitakuja na sasa vimekuja mwashangaa nini sasaWAEBRANIA 13:8.
Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.
Binadamu ndiyo vigeu geu lakini duniani hakuna kipya ambacho hakikutabiriwa katika BIBLIA takatifu.
Shida yenu ni wavivu kusoma NENO LA MUNGU "BIBLIA" ndiyomaana mnayumbishwa na hadaa za dunia kama mawimbi.
Kweli kabisamwanamke akichora tatoo sehemu yoyote ya mwili wake atahakikisha watu lazma waione....hapo ndo shida inapoanzia.
Umenena vyemaHii kitu uliyoandika wengi hawaielewi ila ukweli ni kwamba ukishachora tatoo mwili wako unakuwa wazi (exposed) kuingiwa na roho chafu na mambo yote mabaya yatakuhusu iwe physically au spiritually kwasababu kitendo cha kuchora tatoo tayari mwili wako umeshakuwa ubao wa matangazo kwenye ulimwengu wa giza.. no way to escape utaishi kwa utatanishi sana..
Huwa napenda sana majibu na mawazo yako. Be blessed broHuo ni msimamo wake huyo!🙄🙄
UnitagKuna kisa nitakuja kukisimulia hapa siku moja
Si kweli, tattoo zinafungua milango ya maroho machafuYou had an inborn bad character, only to link it with tattoos!
🤣🤣Heeeee kumbe!!
Mungu anisaidie kilichofanya nisichore tattoo ni hofu ya Mungu kua nikifa ntamuambia Nini Mungu yaani naenda na ushahidi kabisa ila kukosa hvyo ningechora kipepeo kiunoniHa ha ha...
mwoga Sana wewe,
Wenzio Sasa uyo wanamla kabisa[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kweli kabisa
Kuna kaka pia namjua ana tattoo asee ana tabia mbaya over mbwa [emoji240]
Messi ni nani?!!Mbona Messi ana tatoo kibao tu
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Siwahukumu wanaochora tatoo lakini kwakweli sijawahi kuwaona hao jamaa wakiwa na akili sawa
Kuna watu wajinga sana, yahani wanaona hawawezi kuonekana ma super stars kama hawajajichora matatuu. Mimi huu uigaji wa mambo ya kijinga ulinishindaKwanini huwezi kujiunga na majeshi kama una tatoo? Kwanini huwezi kujiunga na upadre au uchungaji kama una tatoo?
Tatoo zinavuta nguvu hasi (negative energy) yaani hata kama ulikuwa mwema sana kabla hujachora, ukichora utajikuta tu unapata hamu ya kufanya mambo mabaya.
Mabinti wengi wenye tatoo hawaithamini tena miili yao, ndio maana wako tayari kufanywa popote ili mradi tu wapate pesa.
Wengi baada ya kuchora tatoo wakajikuta wana hamu ya bangi, sigara na madawa ya kulevya.
Hata Mungu mwenyewe ndio maana alikataza kuchora tatoos.
Law 19:28 SUV
Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi BWANA