Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Hamna watu wanaotapelika kirahisi kama waumini wa dini hii

Nani kakudanganya pombe haina madhara wewe mfia dini?

Kisukari, kuugua ini hakutokani na pombe [emoji848][emoji28]
Kama umesoma organic chemistry, alcohol (pombe) ni organic compound yenye attachment ya hydroxyl group (OH), tatizo lenu mkisikia pombe akili yenu inawaza Kilimanjaro, safari etc. Kumbe hata dawa za usingizi, ganzi etc ni pombe, hata sanitizer ni pombe pia
 
Hizi ni mada za jamii forums huwa zipo siku zote tu, mtu anaponda dini za wazungu ila anataka tuabudu mizimu na ukimuhoji anakwambia ushaharibiwa akili na dini za wazungu na kudharau asili yako. Kwahiyo hakuna cha watu kujitambua hapa mkuu bali ni jitihada za imani za waabudu mizimu katika kufanyia matangazo imani yao hiyo.
Binafsi sidhani kama ntakuja kuabudu mizimu, ila kwangu mm haiingii akilini, mwafrika anamuhubiria mwafrika mwenzake mambo negative kuhusu mababu zetu, halafu mababu wa wasrael ndo"mpango mzima" hata majina tunakatazwa tusichukue ya mababu (IL tuwaenzi) na sidhani kama unaweza ukabatizwa na hayo majina mf kingunge, mbawara etc ila majina magumumagumu ya kigiriki sijui aristocrats etc au majina ya kizungu unabatizwa fresh tu
 
Wakristo tumepungukiwa maarifa...Biblia inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"..hatutaki kutafuta kweli kwa kusoma maandiko,tumekuwa Ni watu wa kufuata wanachosema manabii bila ya kuhoji,tumejawa tamaa ya miujiza na utajiri wa dunia hii,tumesahau neno linatuambia tuwekeze mbinguni ambapo nondo wa kutu havitaharibu hazina yetu... Anyway Mungu ampe kila mkristo ufahamu na macho ya rohoni apate kuona.
Mkuu ,hapo kwenye kuwekeza hazina mbinguni, sielewi, je mtu baada ya kifo anafaidikaje na hiyo hazina. Mana yake tunaambiwa toa sadaka au mjaribu Mungu Kwa sadaka ujiwekee hadhina mbinguni, je, muhusika akienda motoni, au akienda mbinguni hiyo sadaka (hadhina) atarudishiwa au??
 
Shetani anao uwezo wa kuchukua sura na roho ya mtu au ndugu yako aliekufa na kujifanya ndie yeye.Kutambika ni ibada ya kuzimu kuchinja mnyama ni kafara ya damu ile damu inayomwagika ni chakula cha shetani kwa lengo la kuimarisha maagano Kati ya mwanadamu na shetani kwa kuunganishwa na damu. Kinachofanyika pale ni kumuabudu shetani kupitia kivuli cha ndugu. Mtu akishakufa hana msaada tena hata kuwaomba watakatifu yote ni kumuabudu shetani. Mizimu ni wakuu wa giza wanaotawala eneo fulani mfano ukoo, familia, eneo. Mizimu ni mashetani yanayovaaa roho z marehemu waliokufa na ujua historia au asili ya familia au kizazi fulani
Shetani au mashetani ni nani mkuu??
 
Mkuu ,hapo kwenye kuwekeza hazina mbinguni, sielewi, je mtu baada ya kifo anafaidikaje na hiyo hazina. Mana yake tunaambiwa toa sadaka au mjaribu Mungu Kwa sadaka ujiwekee hadhina mbinguni, je, muhusika akienda motoni, au akienda mbinguni hiyo sadaka (hadhina) atarudishiwa au??
Hapo kwa kweli sina Sana utaalamu wa mambo ya insurances!kwani insurance za Dunia hii huwa inakuwaje?Je usipopata ajali huwa inarudishwa??kama hutojali ni hazina,sio hadhina
 
Bora Pepo hii aliyoihaidi ALLAH kuwa wale waliomuamini na wakatenda wema ataenda kuwapa starehe zisizo na ukomo. Hakuna kuabudu huko peponi kwa kuwa duniani ulishajipinda kufanya ibada, kwa wanaume wataensa kupewa wanawake special ambao jicho halijapata kuwaona wala nafsi kuwaza jinsi uzuri wao ulivyo, na kwa wanawake walioamini na wakatenda mema nao wataingia peponi na wataozeshwa kwa wanaume walioingia peponi na si hivyo tu ,ALLAH atawapa maumbo bora kuliko haya waliyokuwa nayo duniani na watakuwa ni wazuri zaidi ya Hur al ayn. Pia kutakuwa hakuna kuzeeka peponi na hakuna kwenda haja, haja zitatoka katika mfumo kama wa jasho ambalo linanukia harufu ya miski. Mtu atakula na kunywa kile nafsi yake inachokitamani.

Tofauti na pepo ya kikristo ambayo wanaambiwa wataenda kukaa na malaika kuabudu tu mwanzo mwisho. Hapa duniani ukiambiwa ukae asubuhi mpk jioni unafanya ibada mwenyewe ufaomba poo! Sembuse huko peponi.
Vp kuhusu wanaume wenye sura na muonekano mbovu, vp kuhusu walemavu. Je watakuwa mahandsomeboy, six parks etc?
 
Binafsi sidhani kama ntakuja kuabudu mizimu, ila kwangu mm haiingii akilini, mwafrika anamuhubiria mwafrika mwenzake mambo negative kuhusu mababu zetu, halafu mababu wa wasrael ndo"mpango mzima" hata majina tunakatazwa tusichukue ya mababu (IL tuwaenzi) na sidhani kama unaweza ukabatizwa na hayo majina mf kingunge, mbawara etc ila majina magumumagumu ya kigiriki sijui aristocrats etc au majina ya kizungu unabatizwa fresh tu
Masuala ya dini na mambo ya mababu sijui asili yetu ni vitu tofauti, imani zipo kwenye kila jamii na mababu zetu walikuwa na imani zao katika kipindi chao kitu ambacho hata hao waliyotuletea huku dini nao walikuwa na mababu zao na walikuwa na imani zao before hizi dini. Sasa huwezi kuniambia nifuate imani fulani kisa tu ni za mababu zetu kwamba ni asili yetu.

Ni sawa na kutaka kuaminishana kila walichokuwa wanafanya hao wazee wetu ndio sahihi, kwa hali hiyo basi hata hizi nguo tunazovaa leo tusingevaa tungetumia mavazi waliyokuwa wakitumia hao wazee wetu.
 
Wote tu nyie mmeshikiwa akili Kuna wengine Mungu anajua kiarabu tu ukisali kwa kiswahili haifai , ukivaa Kama waarabu ndo upo kwenye Imani , ukisalimia kiarabu ndo upo sahihi, mmeacha Mungu wa Babu zenu na kufuata tamaduni za ulaya na uarabuni , nyie wote Ni pipa na mfuniko
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya muislam na mwarabu.Si kila mwarabu ni muislamu na si kila muislamu ni mwarabu,elewa hilo
 
Ungejikita kwenye hii mada ingekuwa jambo jema sana.

Ngoja nikusaidie. Allah aliyotufunulia na kutujuza ni machache sana kuliko ambayo hajatufunulia hasa katika malipo ya waja wema.

Kwahiyo malipo ya Wanawake wema anayajua Allah, ila wanawake wa peponi watakuwa bora zaidi ya hao mabikra tutakao pewa huko peponi. Mola wetu atujaalie pepo ya juu kabisa.

Kuna muda mnatakiwa muwe mnatumia akili zaidi ya mihemko. Someni,kisha mtafakari muujue ukweli.
Kutumia akili ipi?,wote ni ujinga tu,unaaminishwa ujilipue uue watu kwa vile ukifa utaenda kupewa mabikra 70!! Hizi ni akili au matope.
 
we jamaa nakujua ni dhihaka kwa Uislamu kwenda mbele
kwani ukiendelea kutambika uko makaburini mwisho wa siku nani atakayeenda kuchomwa moto ni mimi au wewe?

Sisi tunawalingania kwenye Usawa hamtaki dharau,jeuri na kiburi ndo muloweka mbele

hlf ety kutambika makaburini sasa nani kakwambia mfu tena alooza ety akusaidie ww ulohai na nguvu zako ni wajinga pekee ndio wanaoamini.

NB:Uislsmu ni dini ya kweli isiyo na shaka ndani yake.
Huo moto uliuona..au ni story tu za wanadamu ili kutisha wanadamu wenzao wasiache kusali kwenye dini za kuletewa..kimsingi dini zote hizi zimejengwa kwenye vitisho na kugeuza watu mazuzu..hakuna dini ya mungu wala nini..ni ujinga na hofu za kifo tu ndivyo vinawafanya muwe attached na hizo imani za kidini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakupinga. Majina ya kiafrika ni majina ya kikafiri pia. Muisilamu kama muisilamu anaejitambuwa hawezi jiita jina la kiafrika/kikafiri eti kwa sababu ya utamaduni wa kiafrika na kuachana na majina ya imani yake [emoji16]. Wakati kuna majina bora kuliko yote duniani kama vile MUHAMMAD, ABDALLAH, SALUM, SAID ABDULLATIF, ABDULQADIR, RAMADHAN, SHAABAN, RAJAB, SULEIMAN. Sasa mtu ajiite GONDWE, MAPUNDA, TATU, PILI, ISHENGOMA, RUGEMALILA, SHADRAKI, NGOLO, RUDIGER N.K, huu utakuwa wendawazimu.
Another brainwashed creature..mtumwa wa kiakili..bure wa head.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo moto uliuona..au ni story tu za wanadamu ili kutisha wanadamu wenzao wasiache kusali kwenye dini za kuletewa..kimsingi dini zote hizi zimejengwa kwenye vitisho na kugeuza watu mazuzu..hakuna dini ya mungu wala nini..ni ujinga na hofu za kifo tu ndivyo vinawafanya muwe attached na hizo imani za kidini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wako ndo ulokufikisha hapo sikulaumu
 
Masuala ya dini na mambo ya mababu sijui asili yetu ni vitu tofauti, imani zipo kwenye kila jamii na mababu zetu walikuwa na imani zao katika kipindi chao kitu ambacho hata hao waliyotuletea huku dini nao walikuwa na mababu zao na walikuwa na imani zao before hizi dini. Sasa huwezi kuniambia nifuate imani fulani kisa tu ni za mababu zetu kwamba ni asili yetu.

Ni sawa na kutaka kuaminishana kila walichokuwa wanafanya hao wazee wetu ndio sahihi, kwa hali hiyo basi hata hizi nguo tunazovaa leo tusingevaa tungetumia mavazi waliyokuwa wakitumia hao wazee wetu.
Umeandika upupu..nenda kwa wahindi..nenda kwa wachina..wanaabudu dini zao asili..sio hizi za masharik ya kati.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uislamu ni kopy ya uyahudi na ukristo..iliyochakachuliwa na wajanja kwa maslahi yao..ndio mana falsafa yake imejaa mawazo ya binadamu zaidi wala haijajengwe kwenye misingi ya kimungu...ndiomana waumini wake wanampambania mungu badala ya mungu kujipambania mwenyewe...kwasababu haijatoka kwa Mungu imetoka kwenye mawazo potofu ya wana damu.

#MaendeleoHayanaChama

Sidhani kama uko sahihi....labda ni kuulize ni wapi waumini wa dini hiyo wanampambania Mungu?... KORAN takatifu ni kitabu ambacho kina elimu pana sana na nzuri ukikisoma kwa kutulia, jaribu kujipa muda ukisome hata kama si muislamu..
 
Back
Top Bottom