Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

Unaambiwa familia inamiliki migodi ya dhahabu atakosa silaha ya kujilinda?
 
Mnatetea kitu gani? Zile siraha aalizowapola ma-askari zilikuwa siyo silaha za kivita? Askari huwa wanabeba bunduki ya kuwindia enhee.......!!!
Huyu jamaa nimemdharau sana sijui kwa nini
 
Hapa ndio pa kufanyia uchunguzi hizo likizo akienda huko nje alikuwa anaenda wapi na kufanya nini.
Hii agenda ya kusikiliza majirani eti marehemu alikuwa mstaarabu mara mpole mara mto misaada hizo waweke pembeni kwanza
Niliwahi kusoma habari ya kijana mmoja kutokea nchi za ulaya alikuwa akieleza jinsi alivyotaka kuangukia kwejiunga na vikundi vya ugaidi. Ila sifa mojawapo niliyoiona Ni kuwa wanakuwaga wapole Sana kwenye jamii lakini myoyoni mwao Ni hatari zimejaa.
 
Asante sana umenielewa nachouliza hapa.
Kuna watu wanasema eti you tube kuna kila kitu ukiingia.
 
Ndo muache kuonea raia,wapo wengi tu mtaani ni muda tu ukiingia kwenye anga zetu mbona utasema komando wa Amazon huyoooo.
Vijana wa JKT nao hamjawaeka bure mitahani oooh
 
Hujasikia kuwa aliwahi kwenda masomoni nchi mojawapo ya kiarabu. Wazazi wachunguze watoto wao huko nje wawe wamewapeleka wenyewe au wamepelekwa kwenye taasisi zinazojifanya ni za kidini
Ahaa basi polisi wetu waanzie hapa huko alikoenda kusoma ilikuwa kusomea nini baada ya dini au laa
 
Hapa ndio pa kufanyia uchunguzi hizo likizo akienda huko nje alikuwa anaenda wapi na kufanya nini.
Hii agenda ya kusikiliza majirani eti marehemu alikuwa mstaarabu mara mpole mara mto misaada hizo waweke pembeni kwanza
Na wkt mnachunguza alipatia wapi mafunzo mchunguze pia mlifanya Nini mpk akaamua ku deal na police tu,asiguse hata raia mmoja.
 
Unamaanisha hivi?
Your browser is not able to display this video.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ aiseee.
 
Ahaa kwa hiyo wawe wanarudisha wakipigwa
 
Sawa siku kitu live ndo mimavi inachungulia.kwani hao wanaocheza gemu la kukimbiza magari ina maana siku umpe gari aingie nalo road ndo ataendesha si ndio???
Kujifunza kutumia silaha kupitia YouTube Ni sawa na Kujifunza kuogolea kupitia YouTube siku ukiingia kwny swimming pool/baharini utakunywa vikombe mpk ushangazwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…