Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
TakatakaNguvu inatumika kutetea biashara iliyotumia mtaji mkubwa sana mpaka dakika hii. Ni biashara inayokwenda kutupaisha kiuchumi ukizingatia volume nzima ya kinachotegemewa kuja ni kikubwa sana kutoka DRC.
Rais Tshisekedi alifanya ziara nchini ya siku kama tatu hivi, siku ya kwanza kabisa akaenda bandarini kutazama ukarabati umefikia hatua zipi, na ni wakati wa JPM.
Sawandio ,FATILIA Kuna clip Lisu kafanua vizurisana ,awamu zote na mikataba
Marehemu ndiyo alisema tuingie kwenye mkataba na haya matapeli?😂😂😂😂 ya ndani yanazidi kuwekwa Wazi johnthebaptist
-
“Timu ya uchunguzi [kuhusu bandari] iliteuliwa na Hayati Magufuli. Kimsingi ni mwendelezo wa kazi, sio kitu ambacho kimekurupuka ghafla, ni mchakato wa muda mrefu wa serikali kuhakikisha tunakuwa na bandari yenye ufanisi.”
kwa hiyo hili lipite tuMbona hao watu wa dini hawajawahi kutoka hadharani kupinga mikataba chungu zima ya migodi uko nyuma?
Wamekutapeli nini?Marehemu ndiyo alisema tuingie kwenye mkataba na haya matapeli?
Ni wanafiki hawana uchungu wa nchi hamna Raisi alio tuumiza kuuza mali za umma kama Mkapa ikiwemo nbc ttcl nk ila mbona hao wakatoliki hawakujitokeza kumpinga au kisoma mikataba.kwa hiyo hili lipite tu
Jazia hoja yako ieleweke sio kuishia njiani.Takataka
TakatakaJazia hoja yako ieleweke sio kuishia njiani.
Watanzania ni watu wepesi sana kuingia katika hoja za kibaguzi. Wanaomshambulia Samia leo hii wamesahau yote aliyoyafanya Mkapa.Ni wanafiki hawana uchungu wa nchi hamna Raisi alio tuumiza kuuza mali za umma kama Mkapa ikiwemo nbc ttcl nk ila mbona hao wakatoliki hawakujitokeza kumpinga au kisoma mikataba.
Hivi ule mkataba ww una nyumba Yako unapangisha unaweza kusaini masharti kama yale?Watanzania ni watu wepesi sana kuingia katika hoja za kibaguzi. Wanaomshambulia Samia leo hii wamesahau yote aliyoyafanya Mkapa.
Kinachoonekana kumponza Samia ni jinsia yake zaidi kuliko uongozi wake.
Nikutukane tusi Kali au nikuache ww k....maAisee jpm Kumbe ndio mwanzilishi wa huu ufisadi
Kaka uzoefu wetu unaonyesha kuwa uwezo wetu wa kujiendesha ni mbovu sana.Kwani wakiwa Waarabu kuna tatizo gani?
Mbona ASAS ni Mwarabu na ana visima vya Mafuta Saudia na tuko naye CCM fresh tu tena Mnec
Nyumba na bandari ni vitu tofauti kabisa. Nadhani unao uzoefu wa shughuli za bandari kiasi cha kuona ubabaishaji ulioopo pale bandarini.Hivi ule mkataba ww una nyumba Yako unapangisha unaweza kusaini masharti kama yale?
Hakuna jinsia hapo Mh rais kachemka.
Naongelea masharti yaliyoko kwenye mkataba unaweza kumpangisha mtu milele?Nyumba na bandari ni vitu tofauti kabisa. Nadhani unao uzoefu wa shughuli za bandari kiasi cha kuona ubabaishaji ulioopo pale bandarini.
kwa hiyo mkuu unashauri hili lipite tu !Ni wanafiki hawana uchungu wa nchi hamna Raisi alio tuumiza kuuza mali za umma kama Mkapa ikiwemo nbc ttcl nk ila mbona hao wakatoliki hawakujitokeza kumpinga au kisoma mikataba.
Huna akiliNyumba na bandari ni vitu tofauti kabisa. Nadhani unao uzoefu wa shughuli za bandari kiasi cha kuona ubabaishaji ulioopo pale bandarini.
Punguza povu uandike kitu cha maana.Huna akili
Ndiyo nyie maisha yakuwa magumu unaenda kuuza tigoKaka uzoefu wetu unaonyesha kuwa uwezo wetu wa kujiendesha ni mbovu sana.
Naongelea uhalisia unaotokana na uzoefu wa kufanya shughuli za logistics kwa miaka tisa siongei kama mtu tu wa kwenye vijiwe vya kahawa.
Rudi kwenye mada mkuu punguza mapovu. Huu ni mjadala tu.Ndiyo nyie maisha yakuwa magumu unaenda kuuza tigo
Unaongea kama Chris Lukosi mtaalamu wa Clearing & Forwarding au Baharia mbobezi the late Le mutuz ripKaka uzoefu wetu unaonyesha kuwa uwezo wetu wa kujiendesha ni mbovu sana.
Naongelea uhalisia unaotokana na uzoefu wa kufanya shughuli za logistics kwa miaka tisa siongei kama mtu tu wa kwenye vijiwe vya kahawa.